Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,118
Jamani mama mchungaji......sio hivo mwaya mwenzio sikuona, si wajua the way siko sana jamvini these days? Hope hutajali sana kama nikikuPM b'dae!!
Ukisahau haki sili kwa masaa manne.
Jamani mama mchungaji......sio hivo mwaya mwenzio sikuona, si wajua the way siko sana jamvini these days? Hope hutajali sana kama nikikuPM b'dae!!
Kakondoo nilikuomba uniPM naona umegoma.
Mpe mwenzio pole kwa maswahibu.
haya mambo yapo,kuna story naijua ni nzito kuielezea kuliko hii,kikubwa unaambiwa iwe siri.lakini kwa yanaemkuta,yana mu affect sana.pole sana gm.kitendo alichokuwa akikifanya ndugu yako,ni kibaya mno,aliku manipulate,na wewe ukaingia.hujiulizi kwa nini ilikuwa siri?kwa sababu ni wrong.na kwa nini umeshindwa kukielezea nyumbani?kwa sababu deep down unajua ni wrong.kwa sasa usiwe na relationship yoyote ile,jipe muda,jaribu ku focus na mambo mengine kabisa.wazazi jamani,mkikaa na watoto wenu,mkiona kuna mabadiliko yoyote yale ya kitabia,jaribuni kuchunguza.kuna mambo mengine mtoto huwa hasemiFunguka mkuu kama ulibandua ndugu yako!
Naomba niwe mkweli japo kidogo leo.
I knew it, something was wrong somewhere!
Maan hiyo attension seeking yako ilikuwa inaniwacha mdomo wazi.
Baada ya kusema hayo, nakupa POLE ya dhati. Hapa kuna mchanganyiko wa mambo kadhaa siwezi kukulaumu saana kwa kitendo hicho.
Kama ni muumini, shika imani yako ili uweze kukopu kwa sasa.
Pole sana, nakusamehe bure kwa sredi zilizopita. Dah! Sina hata la kusema.
Wazazi tuko wapi, shetani anakula vizazi vyetu tukiwa hapo hapo.