Historia ya maisha yangu. sina raha.

''Haramu zote tamu'' ,by kongosho

What you have done is called moral decay-- when people start living like animals they can do anything-- both you and your brother are sick and more so your silly brother.
 
Pole sana, lakini kitendo mlichokuwa mnakifanya hakikuwa kizuri hata kidogo! Na bahati yako Mungu amekupenda huyo kaka bwana amefariki(naomba usinielewe vibaya lakini ndiyo ukweli) la sivyo hayo mahusiani yenu yangewaletea balaa kubwa zaidi mbeleni kama vile wazazi wenu wote wawili kufa kwa mstuko au kuuana na mambo kama hayo.....

Kwa sasa, wewe tulizana ni ngumu kwa sababu ya mazoea lakini ukiamua unaweza kabisa...anza kujishughulisha na mambo ya ibada kwa sana huku ukimshirikisha Mungu akuvushe salama kwenye kipindi hiki, na umuombe msamaha kwa kukiri kuwa lile lilikuwa jambo ovu mbele ya macho yake....Utabarikiwa.
 
Du pole ila sijui ya nini zaidi unakifaa. Ya kutembea na kaka yako, kumkosa mpenzi wako au kufiwa na kaka yako!

Capitalize kwa inayokufaa!
 
Story nzuri ila sijaelewa kwa nini baada ya kufa starring movie haijaisha.well kila baada ya muda fulani tunawapoteza tunaowapenda.

Ushauri wangu; Amini umepoteza kaka yako kipenzi na si vinginevyo.Jutia ulichokifanya, na kama nimekuelewa vizuri hujutii mahusiano haramu na unawaogopa kaka zako waliobaki si kwa sababu hutaki aina hiyo ya uhusiano haramu bali hutaki kumpoteza mpenzi mwingine.Tubu.
 
Ebwana eee!
Haya mambo ya kubanduana ndani kwa ndani yapo sana ktk jamii zetu ila huwa siri na wanapo bambwa huwa siri ya kifamilia,najipanga kufunguka hapa!
Anyway pole sana bebii G mpoleeeee!

Funguka mkuu kama ulibandua ndugu yako!
 
So touching, pasipo kujali ni stori ya kweliama ya kutunga, binafsi kilichotokea hapo ni tatizo la kisaikolojia, ambapo imekuwa kwako ni vigumu kukubali kwamba kaka yako hayuko tena, ili kutibu tatizo lako lazima uwe na moyo wa kijasiri kaa chini ujiambie kwamba kaka mpenzi hayupo tena na maisha ni lazima yaendelee na hata kama angekuwepo bado iko siku huo uhusiano wenu ungekufa tu kwani ninyi mlishakuwa familia moja sasa, wewe umejifunga hapo ndio maana wateseka. Chukua maamuzi magumu yatakayo kufanya usonge mbele na usiishi kwa kuwalinganisha wanaume wengine na huyo aliyekuwa kaka mpenzi wako kwani hilo nalo ni tatizo.Nilitamani ningesema sana ila mengi yameshazungumzwa.
 
Sijui niseme nini... kwetu huyo kaka ni kaka yako na hamtakiwi kua na mahusiano ya kimapenzi. Pia alikua kakuzidi miaka 7, so alikua ni mtu mzima wewe ulipokua bado mtoto (16). Sasa sijui kama ilikua ni sawa to have sexual relations at that age. I am a bit confused hapo.
Pole kwa kufiwa, just get over it. Be strong.
Na sasa hivi naamini wewe sio mtoto tena, jaribu kufikiria tena upya: huyo kaka alifanya sawa? Are you happy he did that to you?
 
Nilipoona GM nikajua ana chit chat, kumbe ilikuwa MMU. Ila hii story nahisi itafaa kwenye magazeti ya udaku.
 
pole sana dada...Funga hata cku 2 muombe Mungu atakusaidia..pia uwe unaji keep busy ukikaa idle ndo unawaza
 
Wote tungejaaaa raha si tungejiunag ccm muda huu ..we vumilia tu mwaya muda ukifika utatoka tu
 
Sorry to kill the romance...
Am I the only one to see a criminal who escaped justice because he was covered by his victim?
Am I the only one to see that the crime was aggravated by the fact that the perpetrator was a family member?
Am I the only one to believe that the girl in this story has developed subsequent mental problems and need specialized attention to realize that she was abused, and her idea of love has been misshaped?
People...
Nalog off (source Washawasha)
 
um so sorry Gm kwa yaliyokukuta!is heart touching life story! nahis maumivu uliyonayo,but that is a part of life kupata furaha na wakati mwingine maumivu!jipe moyo, zaid sana muombe mungu akusamehe kwa yaliyopita na akusaidie kusahau yaliyopita,na ni vizuri ujitahidi kukubaliana na matokeo ndiyo yameshatokea huwezi kubadili ukweli lakini maisha yanendelea,nadhani ni vizuri ukajipa muda wa kuwa peke yako utafakari kwa kina ni mtu gani unamuhitaji,then akitokea wa aina hiyo nadhani utakuwa happy nae na utampenda,but one mor thing usiwe unalinganisha ulienae na kaka yako kwa sabb always utaona tofauti kwani bianadamu hawalingani kwa kila kitu.,ukipenda ushauri wangu nitafute kwenye pm nikushauri zaidi.
 
Mimi nimenasa uwongo wako pale mlipo enda night club na mpaa siku ya pili hamkurudi nyumbani...vipi mama yako na baba yako wa kambo wasiwapige Q mlikuwa wapi mbona hamkurudi nyumbani.

Si waliaga wanaenda muziko jamani? Muziki unaishaga alfajiri ndugu. Ndo maana hawkurudi, na wazazi wao wanaja kuwa wote wa2 wanapenda muziki. Plus familia ina fwedha, so mabo ya kidhungu kidogo.
 
Kakondoo nilikuomba uniPM naona umegoma.

Mpe mwenzio pole kwa maswahibu.

Jamani mama mchungaji......sio hivo mwaya mwenzio sikuona, si wajua the way siko sana jamvini these days? Hope hutajali sana kama nikikuPM b'dae!!
 
Back
Top Bottom