Mjenga Nchi
Member
- Apr 21, 2020
- 6
- 19
Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,
1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.
2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.
3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.
NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.
Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.
Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)
1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na
2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo
3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.
Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?
Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?
Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.
2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.
3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.
NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.
Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.
Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)
1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na
2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo
3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.
Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?
Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?
Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.