Hiki kiburi, jeuri na dharau Prof. Kitila Mkumbo nguvu anaipata wapi

Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,

1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.

2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.

3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.

NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.

Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.

Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
Dogo, CCM ina namna yake ya kupata taarifa za wanachama wake na wagombea wake. CCM sio Chadema au ACT Wazalendo. Unafikiri Mzee Mangula aliitwa "Mzee wa Mafaili" kwa bahati mbaya?
 
hivi Prof wewe kuhama ACT Wazalendo na kuhamia CCM ulivutiwa na itikadi ya CCM au ulivutiwa na kipi?
Tanzania hatuna tatizo la itikadi, tuna tatizo la watu. Ushawahi kuona mtu yoyote akijadili itikadi Tanzania achilia mbali kulalamikia?
 
Tanzania hatuna tatizo la itikadi, tuna tatizo la watu. Ushawahi kuona mtu yoyote akijadili itikadi Tanzania achilia mbali kulalamikia?
Kwahiyo wanasiasa wetu wanaamini katika fursa ya kuongoza na siyo itikadi right ?
 
Kwahiyo wanasiasa wetu wanaamini katika fursa ya kuongoza na siyo itikadi right ?
Itikadi na kuamini ni kitu kimoja. Kwa lugha nyingine kile mtu anachoamini ndio itikadi yake.

Sasa Tanzania hatuna tatizo la itikadi/imani bali tabia.
 
Mkuu, kama ulivyotabiri miaka kama 2 kabla, kuwa Mh. Magufuli atakuwa rais 2015, Kitila ndio mrithi wa Magufuli 2025. It is a matter of time. Itunze comment hii.

Pimbi awe Rais? Hahahaa! URAIS utakuwa RAHISI.
 
Itikadi na kuamini ni kitu kimoja. Kwa lugha nyingine kile mtu anachoamini ndio itikadi yake.

Sasa Tanzania hatuna tatizo la itikadi/imani bali tabia.
Hatuna Tatizo kivipi wakati watu hawafuati itikadi za vyama huko kwenye vyama vya siasa badala yake wanafuata fursa za kuongoza tu haijalishi hata kama chama anachoongoza kinaitikadi asiyoiamini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,

1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.

2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.

3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.

NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.

Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.

Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
Hatari ngoja tuone inawezekana JIWe akagawa jimbo la Lameck Madelu ili wagombee wote na KM.
 
Tuache hizi siasa za majitaka. Nina miaka zaidi ya mitano sijawahi kufika Kinampanda. Tafadhali sana
Kutofika Kinampanda kwa miaka mitano nalo ni jambo baya mkuu, we ni KM wa wazara ya maji. Ina maana huoni shida zetu za maji huku, tunatumia maji chumvi na tunayapata a kilomita away. Jitahidi ufike mkuu.
 
Back
Top Bottom