Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Alichosema Kitila Mkumbo kwenye Sherehe za Uhuru Dodoma.
Wakati tunaanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 mwaka 2000, ilikuwa ni 32% pekee ya Watanzania waishio vijijini walikuwa wanapata huduma ya maji safi na salama, tukajiwekea lengo kuwa ifikapo 2025 tuwe tumesogeza hadi asilimia 85. Kwa takwimu za mwaka 2022 tuko asilimia 77" Prof. Kitila, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji
Wakati tunaanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 mwaka 2000, ilikuwa ni 32% pekee ya Watanzania waishio vijijini walikuwa wanapata huduma ya maji safi na salama, tukajiwekea lengo kuwa ifikapo 2025 tuwe tumesogeza hadi asilimia 85. Kwa takwimu za mwaka 2022 tuko asilimia 77" Prof. Kitila, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji