Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,507
- 113,629
Hoja ya kupokezana urais, haijaandikwa popote bali ipo na ina existHv hili limeandikwa wap?Au usia wa baba?
P
Hoja ya kupokezana urais, haijaandikwa popote bali ipo na ina existHv hili limeandikwa wap?Au usia wa baba?
hatari, yasije mkuta ya Rage.Tatizo ni kwamba Kitila yupo na mpishi na huyu jamaa yetu naye anategemea senti za magae kuwapa ili wamrudishe lakini ukiongea na majority wengi wanamtaka Kitila na pesa wanavuta kotekote
hatari, yasije mkuta ya Rage.Tatizo ni kwamba Kitila yupo na mpishi na huyu jamaa yetu naye anategemea senti za magae kuwapa ili wamrudishe lakini ukiongea na majority wengi wanamtaka Kitila na pesa wanavuta kotekote
hatari, yasije mkuta ya Rage.Tatizo ni kwamba Kitila yupo na mpishi na huyu jamaa yetu naye anategemea senti za magae kuwapa ili wamrudishe lakini ukiongea na majority wengi wanamtaka Kitila na pesa wanavuta kotekote
Lete ushahidi ndiyo tutajua kuwa unaongea ukweli. Bila ushahidi tutajua kuwa umetumwa kwa ajli ya kumchafuaHivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,
1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.
2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.
3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.
NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.
Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.
Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)
1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na
2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo
3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.
Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?
Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?
Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
Kiti ulichokalia mzee ndiyo kinaleta shida kwa sababu hata mimi pia nakitamani. Achana naoTuache hizi siasa za majitaka. Nina miaka zaidi ya mitano sijawahi kufika Kinampanda. Tafadhali sana
Wala hajatumwa na Mwigulu. Inaonyesha kama kuna mtu asiyejulikana ana mpango wa kuwagonganisha hawa wawili ili yeye aje aibuke kirahisi, wenyewe wakiwa wamemalizanaUmetumwa na Mwigulu umchafue Kitila Wewe. Huo ni uzandiki na unaa.
Pengine alishapajua na ndiyo maana anaogogopa kwenda huko kwa sababu labda akionekana tu ataanza kuandamwa kuwa amekwenda kufanya kampeni. We fikiria hajawahi kufika huko muda wote huo lakini bado anatuhumiwa, angekuwa ameshakanyaga huko si ndiyo ingekuwa balaa!Kutofika Kinampanda kwa miaka mitano nalo ni jambo baya mkuu, we ni KM wa wazara ya maji. Ina maana huoni shida zetu za maji huku, tunatumia maji chumvi na tunayapata a kilomita away. Jitahidi ufike mkuu.
Wao huwa wanadai kuwa "ni mpumbavu tu anayeweza kuwa na msimamo wa aina moja wakati wote". Huoni kuwa hoja yao hii ni nzito sana juu ya maamuzi ambayo huwa wanafanya?
Sawa mkuu
Nyie mtakuwa ni ng'ombe mliokatwa mikia. Maana CCM ya sasa ina makundi makuu matatu tu.Sisi tusiokua kati ya makundi hayo mawili mnatuweka wapi maana ndiyo leo nayasikia
Miongoni mwao ni Kitila Mkumbo na Kabudi ?
Yani Kitila awe waziri mkuu ahaahaha msaliti mkubwa.kama hamjui huyo ndio waziri mkuu ajae!!
Kitila ni number one!Miongoni mwao ni Kitila Mkumbo na Kabudi ?
Sasa atatemebelea vijijini vingapi Mapuma Miyoga ....si unajua sisi ni Wazalendo huwa tunaangalia Tanzania yote sio kuangalia nyumbani tu! Sio kama Chttle !Kutofika Kinampanda kwa miaka mitano nalo ni jambo baya mkuu, we ni KM wa wazara ya maji. Ina maana huoni shida zetu za maji huku, tunatumia maji chumvi na tunayapata a kilomita away. Jitahidi ufike mkuu.
Sasa atatemebelea vijijini vingapi Mapuma Miyoga ....si unajua sisi ni Wazalendo huwa tunaangalia Tanzania yote sio kuangalia nyumbani tu! Sio kama Chttle !
Pengine alishapajua na ndiyo maana anaogogopa kwenda huko kwa sababu labda akionekana tu ataanza kuandamwa kuwa amekwenda kufanya kampeni. We fikiria hajawahi kufika huko muda wote huo lakini bado anatuhumiwa, angekuwa ameshakanyaga huko si ndiyo ingekuwa balaa!
Hajazuiliwa ila wambea sasa macho kwake kila siku lazima mtu aogope. Tuseme ukichongewa kwa Katibu Mkuu au Mwenezi kuwa unafanya kampeni si tayari wanakuwa wamekumaliza? Bora hujaenda ili wakichongea ushahiidi uwepo kuwa hujawahi kukanyaga sehemu hiyo, halafu wambea wanakuwa wamejimaliza wenyewe, wewe uko salamaSidhani kama anazuiliwa kuja Nyumbani??? Sijui yeye anatoka kijiji gani ila huku kote ni nyumbani, au ndio hana hata kibanda akija atafikia kwa baba???
Mkuu umekubali kumuachia jimbo la iramba?halafu we unagombea wapi?ulimtisha kuwa asifate mamba kwenye kina kirefu au sio???Huyu ndio waziri ajaye