Prof. Kitila Mkumbo: Pato la kila Mtanzania ni milioni 2.8

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Ripoti ya Hali ya Uchumi Nchini imeonesha Pato la Mtanzania mmojammoja (GDP Per Capital Income) limeongezeka kutoka USD 399.5 (Tsh. 322,397) kwa thamani ya dola mwaka 2000 hadi kufikia USD 1,200 (Tsh. 2,880,000) Mwaka 2022.

Akiongea leo Jijini Dar es salaam Mkumbo amesema “Tuelewane hapa tukisema hivi Watu wanasema mbona hiyo hela sina mfukoni, hesabu zake unazipata kwa kukusanya mapato ya Nchi nzima Watu wote milioni 61.7 mapato yao yote ambayo yanakaribia kufikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila Mtanzania mmojammoja”
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Ripoti ya Hali ya Uchumi Nchini imeonesha Pato la Mtanzania mmojammoja (GDP Per Capital Income) limeongezeka kutoka USD 399.5 (Tsh. 322,397) kwa thamani ya dola mwaka 2000 hadi kufikia USD 1,200 (Tsh. 2,880,000) Mwaka 2022.

Akiongea leo Jijini Dar es salaam Mkumbo amesema “Tuelewane hapa tukisema hivi Watu wanasema mbona hiyo hela sina mfukoni, hesabu zake unazipata kwa kukusanya mapato ya Nchi nzima Watu wote milioni 61.7 mapato yao yote ambayo yanakaribia kufikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila Mtanzania mmojammoja”
NCHI IMEPOTOMOKA KUTOKA UCHUMI WA KATI ILA PATO LA MTANZANIA LIONGEZEKE HUO NI UONGO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Hata hesabu nyepesi hajui professor wa wapi huyu?

399.5 x 2500 = 998,750 hii ndio hesabu sahihi.

399.5 (Tsh. 322,397) hiiwametoa wapi?

Kwahiyo wameona figure sahihi ni kubwa wameamua kudanganya?
 
Hata hesabu nyepesi hajui professor wa wapi huyu?

399.5 x 2500 = 998,750 hii ndio hesabu sahihi.

399.5 (Tsh. 322,397) hiiwametoa wapi?

Kwahiyo wameona figure sahihi ni kubwa wameamua kudanganya?
We nae mburura
 
Pato la Mo-Dewji, Bakhresa na mimi unajumlisha halafu unagawa na watanzania , huku Mo peke yake unakuta ni pato la watanzania malofa 10m.

Tuache porojo na akili za kufikiria uchaguzi, tufanye hesabu sahihi ya idadi ya masikini, kipato chao na nini kufanyike ili kuwatoa kwenye umasikini.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Ripoti ya Hali ya Uchumi Nchini imeonesha Pato la Mtanzania mmojammoja (GDP Per Capital Income) limeongezeka kutoka USD 399.5 (Tsh. 322,397) kwa thamani ya dola mwaka 2000 hadi kufikia USD 1,200 (Tsh. 2,880,000) Mwaka 2022.

Akiongea leo Jijini Dar es salaam Mkumbo amesema “Tuelewane hapa tukisema hivi Watu wanasema mbona hiyo hela sina mfukoni, hesabu zake unazipata kwa kukusanya mapato ya Nchi nzima Watu wote milioni 61.7 mapato yao yote ambayo yanakaribia kufikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila Mtanzania mmojammoja”
Hebu aache hesabu za makaratasi aje kwenye uhalisia wa mtanzania aone mambo yapoje kwa ground.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Ripoti ya Hali ya Uchumi Nchini imeonesha Pato la Mtanzania mmojammoja (GDP Per Capital Income) limeongezeka kutoka USD 399.5 (Tsh. 322,397) kwa thamani ya dola mwaka 2000 hadi kufikia USD 1,200 (Tsh. 2,880,000) Mwaka 2022.

Akiongea leo Jijini Dar es salaam Mkumbo amesema “Tuelewane hapa tukisema hivi Watu wanasema mbona hiyo hela sina mfukoni, hesabu zake unazipata kwa kukusanya mapato ya Nchi nzima Watu wote milioni 61.7 mapato yao yote ambayo yanakaribia kufikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila Mtanzania mmojammoja”
🖕🏽🖕🏽🖕🏽
 
Tunamwomba Mama Samia asirudie kosa la 2020 kuingilia uchaguzi na kuwaweka wabunge wapumbavu kama huyu Kitila. Uchaguzi wa 2020 ulituletea watu wapumbavu sana bungeni. Kitila, Kimei, Babutale, Shigongo, Gekul na wajinga wengine hawapaswi kurudi 2025.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Ripoti ya Hali ya Uchumi Nchini imeonesha Pato la Mtanzania mmojammoja (GDP Per Capital Income) limeongezeka kutoka USD 399.5 (Tsh. 322,397) kwa thamani ya dola mwaka 2000 hadi kufikia USD 1,200 (Tsh. 2,880,000) Mwaka 2022.

Akiongea leo Jijini Dar es salaam Mkumbo amesema “Tuelewane hapa tukisema hivi Watu wanasema mbona hiyo hela sina mfukoni, hesabu zake unazipata kwa kukusanya mapato ya Nchi nzima Watu wote milioni 61.7 mapato yao yote ambayo yanakaribia kufikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila Mtanzania mmojammoja”

Huyu sasa karibu atapandwa na kichaa. Unampa uwaziri wa uwekezaji mtu ambaye hajua hata hesabu ndogo kabisa, ndiyo unapata aibu kama hii. Mtu eti amesomea Saikolojia ambako hakuna hata hesabu za kutoa na kujumlisha unampeleka kwenye uwekezaji! Uwekezaji ni uchumi, na uchumi ni hesabu.

Wakati Mkapa anaondoma kwenye uongozi GDP per capita ya Mranzania ilikuwa USD980. Wakati wa Magufuli ilifikia USD 1,080; sasa huo upuuzi wa kudai kuwa eti mwaka 2000, GDP per capita ilikuwa USD 399, Kitila anaiokota wapi?

Puuzeni hiyo taarifa ya Waziri mbumbumbu wa hesabu.
 
Back
Top Bottom