Hiki kiburi, jeuri na dharau Prof. Kitila Mkumbo nguvu anaipata wapi

Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,

1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.

2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.

3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.

NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.

Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.

Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
"Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu"

Hapo ndipo tango pori zilipoegemea ktk uzi wako mkuu. Pengine hujui suala la kudumisha fikra sahihi za mwenyekiti taifa wa chama tawala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,

1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.

2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.

3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.

NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.

Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.

Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
Yeye ni wa kuja kwanza ana mkia mfupi, Mwigulu wa nyumbani...home boy ndani ya CCM..kazi kwenu.

Ndiyo maana nasema kutakuwa na vita kati ya wafia chama na migrants....

Inapofikia hatua migrants kupewa umuhimu ndani ya chama kuna tatizo.. tumeona Kwenye chaguzi ndogo wafia chama wakibakia midomo wazi baada ya kura za maoni kufutwa huku wahamiaji wakigonganisha glass.

Wafia chama wajiandae kukifia chama zaidi maana konvoi yote (bogi wa lugha ya JKT) iliyohamia CCM toka CDM hakuna wa kashidwa kura za maoni. Hutaki unataka basi kaa kimya kuepusha shari.
 
Yeye ni wa kuja kwanza ana mkia mfupi, Mwigulu wa nyumbani...home boy ndani ya CCM..kazi kwenu.

Ndiyo nasema kutakuwa na vita kati ya wafia chama na migrants....

Inapofikia migrants wanapewa umuhimu ndani ya chama kuna tatizo.. tumeona Kwenye chaguzi ndogo wafia chama wakibakia midomo wazi baada ya kura za maoni kufutwa...

Na wafia chama wajiandae kufika chama zaidi maana konvoi iliyohamia CCM toka CDM hakuna wa kashidwa kura za maoni. Hutaki kaa kimya!!
CCM Asilia hawawezi kukubali

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
CCM Asilia hawawezi kukubali

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kaka believe me ukiwa ndani ya CCM unakufa na tai yako shingoni...

Hivi ile CCM iliyompa shuguli pevu Rais Mkapa hadi akakubali Mh. Kikwete awe mgombea urais wa CCM wakimbwaga bila huruma chaguo la Mwalimu Mzee Salim Ahmed Samim unajua ipo wapi sasa?

Baba kaa kimya...kuwa ndani ya CCM kunahitaji uvumilivu wa hali ya juu saana...kwenye CDM kuna uhuru wa balaa hata ukisema Mh. Mbowe i mwizi hata kama hajakuibia nani kwa kukukamata ukatoe ushahidi? ..mdomo mali yako.
 
Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
Mkuu Mjenga Nchi, mimi ni Tomaso, hivyo siamini haya uliyoandika, yametamkwa na Prof. Kitila, maadam umesema audio ipo, jee naweza nikakuomba uipandishe humu ndipo sisi akina Tomaso tukuamini?, au una ihifadhi ili uiwasilishe kule kunakohusika kama ushahidi?.
P
 
Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,

1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.

2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.

3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.

NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.

Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.

Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
The guy is smart I do not think he can do that while knowing that will cost his candidacy.
Yet if you have an audio clips why don’t you attach them here?
Cowardice wont assist you, it is better to substantiate your allegations with facts short of that it is imbecility of high degree.
 
Mkuu Mjenga Nchi, mimi ni Tomaso, hivyo siamini haya uliyoandika, yametamkwa na Prof. Kitila, maadam umesema audio ipo, jee naweza nikakuomba uipandishe humu ndipo sisi akina Tomaso tukuamini?, au una ihifadhi ili uiwasilishe kule kunakohusika kama ushahidi?.
P

Wewe kma umekula pesa za Kitila utazitapika, make hatolichukua hilo jimbo, ataambulia aibu tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,

1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.

2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.

3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.

NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.

Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.

Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
Acha majungu wewe mwana jf yote hayo aliyoyafanya alikuwa akikualika kuyashuhudia. Kama na wewe unalitaka jimbo pambana kivyako siyo kwa kuchafuana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,

1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.

2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.

3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.

NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.

Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.

Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
Huko kwenu hakuna TAKUKURU?
Nikusaidie wapigie simu 113

Luckman1
 
Hivi majuzi, Katibu wa Siasa na Itikadi Ndg Humphrey Polepole, Kwa niaba ya Chama aliongea na wandishi wa habari Kama mlivyomsikia alisema,

1) Wale wasaka Ubunge wanaovuruga majimbo ya CCM hawatateuliwa maana ni walafi wa madaraka.

2) Wale walioteuliwa na Rais katika majukumu mbalimbali mfano makatibu wakuu wa Wizara, Ma RAS, DC Ma DAS, wanaojiingiza kusaka Ubunge kiama kinawasubiria.

3) Wale wanaosaka Ubunge kwa kusema wametumwa na Rais NI waongo.
Sasa swali langu Prof KITILA ni Moja ya walioanza kampeni mapema, sauti zipo CCM na video.

NI moja ya walioteuliwa na Rais lakini akaona ukatibu mkuu Wizara ya maji haufai na haumtoshi, Ni moja ya waliotumia Sana Lugha ya kwamba wao wametumwa na Rais. Amepuuza tamko la Polepole.

Majuzi alikutana na wajumbe wa kata ya Kinampanda na kuwapa elfu 50 kila mmoja, Jumamosi alikutana saa kumi na Mbili Jioni na wajumbe wa kata ya Mukulu na kuwagawia elfu 20 kila mmoja.

Chama kina taarifa na vyombo vingine vya serikali vinataarifa. Nilikwepo katika kikao chake, akiongea nasi alisema, (audio ipo na wala siyo siri)

1) Amesikitishwa sana na kushanganzwa Sana na JIWE kumteua Mwigulu na

2)kwamba hababaishwi na uteuzi huo

3) Anawambia wajumbe wampe kura nyingi mpaka aliemteua Mwigulu apate aibu.

Swali ambalo inabidi tujiulize mimi na wewe huyu kama anakaidi viongozi wetu wa chama sasa hicho kiburi anakitoa wapi?

Je, kukiuka hivi haya maelekezo, DHARAU hizi na kiburi hiki ni maandalizi ya kurudi Upinzani?

Prof. Kitila kuwa makini huenda ulizoea staili yako ya kiuhanaharakati katika vyama vya upinzani huku ni tofauti maana tunafuata misingi na katiba ya chama chetu.
Kiburi cha mwisho wa msimu hukijui si ndio walichonacho wabunge waliotimuliwa CDM.
 
Back
Top Bottom