NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,538
- 17,473
Mkuu wangu wa pale DUCE umesaliti taaluma yako?basi nifanyie nami mpango kwa jiwe nami angalau nile!maana madesa hayaleti noti kabisa!!umenipata mkuu?fanya kweli nakuomba!!Tuache hizi siasa za majitaka. Nina miaka zaidi ya mitano sijawahi kufika Kinampanda. Tafadhali sana