Hijab kwenye shule za kikristo

Hijab kwenye shule za kikristo

Hakuna Kafiri. Walioitwa makafiri wakati ule ni waarabu waliokuwa wanapingana na Uislam. Wakristo katika Qurani wameitwa wakristo na mayuhadi waliitwa watu wa kitabu.kwa hiyo neno Kafiri si sawa kutumiwa wakati huu.
Huelewi hata unachotetea.

Nani kakwambia kwa sasa makafiri hawapo?.

Nisikulaumu,pengine hata maana ya kafiri hujui.
 
Mnawaita makafir halafu mnatoka arabuni mnakimbilia huko. Nenda iran, hakuna vita, nenda malaysia hakuna vita
Unajua kwa nn wanaenda ulaya?! Wazungu wasio waislam hufanya kila aina ya hila kuharibu bara Arab,lengo kuu ni kuubomoa uislam, ss Muslim wanaenda Europe kuuingiza uislam kabisa uote mizizi,na ndio maana wenzenu wameanza kushtuka hawataki wahamiaji.....Malaysia,Iran tayari uislam Upo imara!Hakuna sbb ya Kwenda huko
 
Kaka akaogopa ''salaamu maria umejaa neema bwana u nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa, maria mtakatifu mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu Amina''.

Mwambie KAKA aache uoga aache watoto wapate cha kula cha kiroho
Maria akuombee kwq andiko gani?
 
Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".

Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.


Alifanya makosa makubwa sana na makosa hayo huwa yanafanyika sana katika jamii za waislamu,kama elimu bora zipo shule za seminary nyingi sana za waislamu zinazotoa elimu bora pia na gharama imechangamka pia.
 
SIWEZI KUMPELEKA MWANANGU SHULE ZA MAKAFIRI WALA NGURUWE HATA SIKU MOJA AISEEE,HUKO NI KUFANYA MZAHA NA IMANI YANGU NA NITAKUWA NIMEFANYA KOSA KUBWA SANA MBELE YA MUUMBA WANGU,NI BORA ASOME HATA SHULE ZA SERIKALI ZA KATA TU.


SIPENDI UJINGA MIMI.
 
Kipi walichokifanya?
Wamejazana serekalini na kwenye mashirika ya uma kwakisingizio wamesoma zaidi ya waislamu(uongo wenye mapembe). Faida tuliyoipata kwa kujazana wakristo serekalini ni ufusadi,wizi wa mali za uma na kurudi nyuma hatua kumi kila uchao.

Ajabu anapotokea raisi muislamu akajaribu kufanya vizuri,kuunganisha watu bila ubaguzi(mfumo kiristo) utawaona maaskofu,mapadri,wachungaji na waumini wao wakiungana pamoja kumpiga vita asifanikiwe.

Tulieni mtawaliwe nyie. zaidi ya hapo pelekeni watoto shule hamna namna.
 
Kipi walichokifanya?
Wamejazana serekalini na kwenye mashirika ya uma kwakisingizio wamesoma zaidi ya waislamu(uongo wenye mapembe). Faida tuliyoipata kwa kujazana wakristo serekalini ni ufusadi,wizi wa mali za uma na kurudi nyuma hatua kumi kila uchao.

Ajabu anapotokea raisi muislamu akajaribu kufanya vizuri,kuunganisha watu bila ubaguzi(mfumo kiristo) utawaona maaskofu,mapadri,wachungaji na waumini wao wakiungana pamoja kumpiga vita asifanikiwe.

Tulieni mtawaliwe nyie. zaidi ya hapo pelekeni watoto shule hamna namna.
Si vibaya kwani ninyi ni wa ulimwengu huu. Kesho yenu ni majanga

Kesho yetu anaijua Mungu
 
Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
Ila mkuu ujue neno "Slaam aleykum"(kama nimepatia uandishi) ni neno tu la kiarabu likiwa na maana "Amani iwe nawe" salamu ambayo unaweza kumsalimia yeyote. Ila ukija kwenye hiyo nyingine "Bwana Yesu asifiwe", hii ni ya mkristo pekee.
 
Asalam Aleikum sio Uislamu bali NI Kiarabu Na maana yake "Amani iwe juu yako" wako Waarabu wengi ambao NI WaKristo wanasalimiana hivyo Na wayahudi wanasalimiana Shalom.
NI salamu tu. Usitokwe Na povu.Hata Lugha ya Kiswahili maneno ya Kiarabu kibao.
akili zenu ni zile zile, kuna ulazima gani kunisalimia kwa kiarabu wakati mi mswahili!!!!???
 
Mmebakizaga hayo hayo tu Allah amlipe Khel ,khel gani unalipwa hapo kama c upuuzi tu mmezoea maisha ya ubaguzi na mifumo isiyo thamini utu wa mtu,na neno lenu la ajabu kabisa eti Islam ndg yake Islam, sjui hawa wengine waliumbwa na nani mnamkosoa mwenyezi MUNGU ninahakika hakuna pepo mtakayoiona upande wenu.
mgalatia mbona unaingilia kazi si yako ? .....unafikiri peponi wanaenda kwa 'Yesu nibebe !?'
 
Nimetamani sana kupata michango yenu kuhusu jambo hili

Shule za dini ni seminary za dini husika, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pale ninapoona double standard ktk kuvaa hijab kwa watoto wa kiislam ktk seminary za Ki-kristo.

Mtoto wa kikristo akijiunga kwenye shule inayomilikiwa na dini ya kiislam analazimishwa avae hijab lakini mtoto wa kiislam anapojiunga na seminary za kikristo pia analazimisha kuvaa hijab na iwapo sheria ya shule itamkataza serikali inaingilia kati kwamba hilo ni swala la imani. Je swala la imani linaegemea upande mmoja?

Haki itendeke kote

Mimi binafsi ni Mkatoliki, na nimelelewa na kukuzwa katika msingi ya kikatoliki...lakini nauliza tu hivi yale mavazi ya 'ma'sister' wetu wa kikatoliki kwa maana kile kitambaa cha kichwani ni mfano wa hijab au nini????
 
akili zenu ni zile zile, kuna ulazima gani kunisalimia kwa kiarabu wakati mi mswahili!!!!???
Ajabu ni kuwa Mnyalukolo unataka kusalimiwa kwa Kiswahili !
Hicho Kiswahili theluthi moja ya maneno yake ni ya Kiartabu.
Kama: salaam, kheri, kalamu, wilaya, ameir jeshi, wilaya, ahsante, karibu, shukran, kisasi, juhudi (jihadi) !
 
Ajabu ni kuwa Mnyalukolo unataka kusalimiwa kwa Kiswahili !
Hicho Kiswahili theluthi moja ya maneno yake ni ya Kiartabu.
Kama: salaam, kheri, kalamu, wilaya, ameir jeshi, wilaya, ahsante, karibu, shukran, kisasi, juhudi (jihadi) !
Unajua shida yenu mnajua elimu ahera tu, hujui kwamba kuingiliana kwa lugha ni jambo la kawaida!? kwa hiyo unadhani kiarabu ndo hakijatohoa maneno toka ligha zingine!? lugha nyingi tu duniani zinakopa maneno toka lugha zingine
 
Back
Top Bottom