Hijab kwenye shule za kikristo

VIVIANET

JF-Expert Member
Aug 30, 2015
2,129
2,918
Nimetamani sana kupata michango yenu kuhusu jambo hili

Shule za dini ni seminary za dini husika, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pale ninapoona double standard ktk kuvaa hijab kwa watoto wa kiislam ktk seminary za Ki-kristo.

Mtoto wa kikristo akijiunga kwenye shule inayomilikiwa na dini ya kiislam analazimishwa avae hijab lakini mtoto wa kiislam anapojiunga na seminary za kikristo pia analazimisha kuvaa hijab na iwapo sheria ya shule itamkataza serikali inaingilia kati kwamba hilo ni swala la imani. Je swala la imani linaegemea upande mmoja?

Haki itendeke kote
 
Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".

Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.
 
Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".

Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.
uzuri ulimpatia msaada alioutaka.

vilevile akiuhitaji tena usighadhabike mpatie atakacho.
 
Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".

Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.

Kaka akaogopa ''salaamu maria umejaa neema bwana u nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa, maria mtakatifu mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu Amina''.

Mwambie KAKA aache uoga aache watoto wapate cha kula cha kiroho
 
Kaka akaogopa ''salaamu maria umejaa neema bwana u nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa, maria mtakatifu mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu Amina''.

Mwambie KAKA aache uoga aache watoto wapate cha kula cha kiroho
Mkuu huko kwa Baba Yetu na Salamu Maria walishapita, watoto walijua mpaka sala za novena.
 
Shule za Seminary zenye usimamizi wa hali ya Juu na zenye kusimamia misingi ya Kikristo hawawezi kubali uvae Hijabu hata iweje. Na ukienda shuleni lazima uhudhurie dini na mafundisho. Dini yako na dhehebu lako unaliacha nyumbani. Hutaki kalale mbele.

Ila kuna hizi zingine hasa za KKKT hazina sheria sana kwenye mambo ya dini. Hawaruhusu kuvaa baibui na hijabu lakini unaruhusiwa kusali dini yako.
 
Nimetamani sana kupata michango yenu kuhusu jambo hili

shule za dini ni seminary za dini husika, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pale ninapoona double standard ktk kuvaa hijab kwa watoto wa kiislam ktk seminary za Ki-kristo. mtoto wa kikristo akijiunga kwenye shule inayomilikiwa na dini ya kiislam analazimishwa avae hijab lakini mtoto wa kiislam anapojiunga na seminary za kikristo pia analizisha kuvaa hijab na iwapo sheria ya shule itamkataza serikali inaingilia kati kwamba hilo ni swala la imani. Je swala la imani linaegemea upande mmoja?

Haki itendeke kote
wewe ukiwa muislam na unavesha mtoto wako hijab anapoenda shule ya kikristo, unamsababishia matatizo tu. atatengwa na hatafundishwa vizuri. usimsababishie abaguliwe au kuumizwa moyo kwa mambo yanayoweza kuzuilika.
 
Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
Kwa nchi hii hiyo salaam siyo kubadili dini tattizo lenu hiyo ya kwenu huwa hamtaki kutoa ufafanuzi ina maana gani?
 
Hizo shule sio Seminary School ni shule za sSecular kwa maana kuwa zimesajiliwa hivyo. Seminary School hazina mchanganyiko wa dini na usajili wake huwa ni tofauti na hizo. Mfano Itaga Seminary-Tabora ni tofauti Mihayo Sec School-Tabora japokuwa zote zinamilikiwa na RC lakini zimesajiliwa kwa madhumuni tofauti kabisa
 
Kaka akaogopa ''salaamu maria umejaa neema bwana u nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa, maria mtakatifu mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu Amina''.

Mwambie KAKA aache uoga aache watoto wapate cha kula cha kiroho
sasa unawafundisha watoto elimu au unawafundisha salamu maria?,

no wonder maprofesa na madoctor wenu ung'eng'e haupandi,,ha ha ha ha


natania tu wazee msije mkanitafuna mbichi mbichi.
 
Back
Top Bottom