Hijab kwenye shule za kikristo

Hijab kwenye shule za kikristo

Uislaam siyo Dini ya Waarabu.
Katika Qur'an Mwenyezi Mungu anasema ametuumba 'rangi na kabila tofauti ili tujuane tu, na akatofautisha ndimi zetu (lugha).
OK! je Qur'an imetoka wapi?
je! ni lugha gani imetumika kuandika Qur'an ni lugha miongoni mwa Bantu au lugha ya kabila gani la Afrika?
Angalizo: Tafadhali naomba kabla ya kujibu maSwali yangu pitia Maelezo ya nyuma kabla ya kujibu ili kuepuka kuji contradict Mwenyewe asante.
 
Kaka akaogopa ''salaamu maria umejaa neema bwana u nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa, maria mtakatifu mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu Amina''.

Mwambie KAKA aache uoga aache watoto wapate cha kula cha kiroho
Kaka kaogopa dini ya kikafiri.
 
Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".

Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.
ahaha ahaha jumlisha Kanuni ya Imani
 
kuna nini wanakipunguza kwako wakivaa kwenye hizo shule? vitu vidogo kama hivi kuanza kuvichambua ni kuleta utengano na hakuna faida yoyote
Hivi mada kama hii ikiondolewa na Moderator mtoa mada naye atalalamika kuminywa kwa uhuru wake wa maoni?

mhh na wewe kila sehemu upo, vipi na wewe huu uzi wako " Washika dini wana IQ ndogo kuliko wasioshika dini.....? " ulioandika ukaondolewa kwa kigezo unachokisema

au ndio nyie mpo ndani ya Tafiti zinazosema watanzania mnaongoza kwa unafiki kuliko watu wote duniani
 
Swala la kutaka watoto wa kikristo kuvaa hijab wanapojiunga na seminary za kiislam halafu watoto wa kiislam wanapojiunga na seminary za kikristo siyo sahihi kila mmoja anapokwenda kujiunga na mwengine aheshimu sheria alizozikuta la sivyo abaki kwake
Mkuu kwani seminary ni nn?
 
Hizo shule sio Seminary School ni shule za sSecular kwa maana kuwa zimesajiliwa hivyo. Seminary School hazina mchanganyiko wa dini na usajili wake huwa ni tofauti na hizo. Mfano Itaga Seminary-Tabora ni tofauti Mihayo Sec School-Tabora japokuwa zote zinamilikiwa na RC lakini zimesajiliwa kwa madhumuni tofauti kabisa
Ahsante mkuu. Seminary ni zaidi ya shule inayomilikiwa na wakatoriki.
 
Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
wanaopga kwaya kwenye desktop za serikali sio wabinafsi?
 
.
Sawa. Lakini, fanya utafiti kidogo kuhusu kauli yako hiyo hapo. Unaweza kugundua haya:
  • The Islamic faith believes that Allah is god is the one, true god, but Jesus is not the Son of God as Christians believe (Surah 9, 30).
  • Islam teaches that Jesus was only a great prophet but not divine (Surah, 5:17, 75).
  • Even Jesus death on the cross was faked (Surah 4, 157) and apparently God allowed Judas to look like Jesus and he was crucified instead (Surah 4, 156-158).;
  • Christians believe in one God but in three distinct Persons.; The Islamic faith believes in only one god as one person (Allah).
  • Christians embrace the cross as the only way that they can be saved and it is through the work and Person of Jesus Christ (Acts 4:12) so if you have got the wrong Jesus, you have got the wrong way.
  • Jesus is more than a prophet, He is more than a Teacher; He is the literal Son of God and is fully divine and as such, has all omnipotent power.
  • In the vital areas, the differences are like night and day.
Mkuu Sikuwa nimfaham km mungu wanao muabudu waislamu anaitwa ( mungu/god) na si (Mungu/God) maana mimi nilikuwa nna faham kuwa Abrahamic religions zote (Islamic, Christianity, Hebrews, Judaism etc) wana mwabudu Mungu Mkuu yaani (Almighty God) na baadhi ya dini nyingine wao hua budu miungu(god's) ambazo Kama Krishna, Afrika religions etc.
 
Ukweli ni kuwa seminary hazikubali watu sio tu wa dini ile bali hata wa dhehebu lisilokuwa lile. Seminary za kikatoliki hazikubali Walutheri vivyo hivyo kwa Waluteri juu ya wakatoliki.

Kuna shule za kidini lakini sio seminary. Hizi ndizo ambazo nadhani mleta mada anazungumzia. Hizi nyingi kwasababu za kibiashara ama vinginevyo haina masharti makali na ndizo ambazo unaweza ona vijana wa kiisilamu huko. Sasa kwakuwa hazikupiga marufuku uvaaji wa hijab kabla vijana hawajajiunga hawapati uhalali wa kufanya hivyo baada ya kujiunga. Hata hivyo stara kwa binti wa kiisilamu ni amri sio ombi. Na mara nyingi mabinti hawa wamekuwa na nidhamu kubwa na huwezi wakuta wakifanya makosa ya ajabu ajabu. Ubaya hapo upo wapi?
 
Wale wanaosema waisilam nI wabinafsi kisa salam wa nakosa sana. Aslam alykum in a maana ya "amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yenu" Walykum salam in a maana ya iwe kwako pia, je hapo ubinafsi upo wapi?

Sasa sisi hatuiitilii ile ya "bwana Yesu asifiwe" kwani kwanza sio salam bali unatukuza tu, pili Yesu hana daraja analopewa kwani yeye alikuwa Mtume wa Mungu tu na si vinginevyo.

Kwa wale wanaosema "Amani ya Bwana iwe juu yenu" wako sahihi/ wanakosea. Kama "Bwana" hapa ni Mungu inajuzu kwa muisilamu kuitikia ila kama "Bwana" hapa ni Yesu haijuzu kwa muisilam kuitikia kwani Yesu hawezi kuwa enema kwa viumbe wa Allah.

Hivyo kama tunataka kuifanya salam yetu kuwa moja, basi tuwausie tu kuwa muwe mnasema"Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yenu" na sio vinginevyo kwani naamini nanyi mnamuamini Mungu (sio Yesu lakini)
 
OK! Niambie kwenye kabila lako wazee wenu walikuwa wanamwabudu mungu yupi kabla ya kuja Waarabu na wamisionary?
Mkuu ni bora ungenielezea hiyo miungu iliyokuwa ikiabudiwa na mababu zetu pamoja na dini zao.

Maana mie nachojua kulikuwa na imani mbalimbali ila suala la miungu na dini zao ndiyo kitu nachotaka kujifunza.
 
Mkuu kwani seminary ni nn?
Mkuu seminary ni shule za kanisa katoliki ambazo zinawaanda vijana kwaajili ya kuwa mapadre wa kanisa katoliki. (hiyo ndiyo definition halisi ya neno seminary unaweza ukahakikisha kwa kuangalia kwenye dictionary au unaweza ukagoogle. Sasa swali langu kwa waislam na madhehebu mengine ambayo wanajenga shule alafu kwa kufuata mkumbo wana andika .....seminary school hivi na wao huwa wanawaandaa watoto au vijana wao wajekuwa mapadre wa kanisa katoliki?
 
Mkuu Sikuwa nimfaham km mungu wanao muabudu waislamu anaitwa ( mungu/god) na si (Mungu/God) maana mimi nilikuwa nna faham kuwa Abrahamic religions zote (Islamic, Christianity, Hebrews, Judaism etc) wana mwabudu Mungu Mkuu yaani (Almighty God) na baadhi ya dini nyingine wao hua budu miungu(god's) ambazo Kama Krishna, Afrika religions etc.
.
Ni rahisi. Hata Biblia yenyewe inasema Mungu ni roho. Yesu alikuwa na mwili. Katekisimu inasema Yesu ni Mungu. Ulishawahi kufikiri juu ya hii contradiction?

Kubwa zaidi ni hii kitu tunaita "law of identity" (itabidi kusoma metaphysics kidogo). Ila kimsingi tunasema hivi:

Let Oi, Pi and Ti be descriptors of Object at pisition i, Place with index i, and Time with index i, where i assumes integers 1, 2,3.... etc. Then, we ask:

Under what conditions may O1- at-T1-and-P1 be regarded as being numerically identical with O2-at-T2-and-P2?

CRITERION: O2 at (P2 , T2 ) is numerically identical to O1 at (P1 , T1 ) if and only if there exists some space-time path connecting (P2 , T2 ) with (P1 , T1 ) such that for every point, Pi and Ti , along this path (including P2 and T2 ) there exists an object, Oi, which is qualitatively identical to O1 .


Ukishaielewa kanuni hii, utaweza kuona kuwa Mungu wa Katekisimu siye anayetajwa katika Biblia; kwamba Mungu wa Wakatoliki sio Mungu wa Waanglikana; kwamba Mungu wa Waanglikana sio Mungu wa Walutheri; kwamba Yesu kabla ya incarnation sio Yesu wa baada ya incarnation; kwamba Yesu kabla ya ufufuo sio Yesu wa baada ya ufufuo; and so on...

Maneno "qualitatively identical" yanamaanisha kuwa attributes za O1, O2, etc lazima ziwe zile zile. Kwa hiyo:

Mungu anayekataza kondomu anayo mental state iliyo tofauti na Mungu anayeruhusu kondomu. Two different attributes imply two different objects.

Mungu anayekataza Maaskofu kuoa anayo mental state iliyo tofauti na Mungu anayeruhusu Maaskofu kuona. Two different attributes imply two different objects.

Mungu anayekataza watu kula kitimoto anayo mental state iliyo tofauti na Mungu anayeruhusu watu kula kitimoto. Two different attributes imply two different objects.

And so on and so on...

Tuanze kujiuliza maswali magumu bila kupepesa macho.....

Kwa heri Sky... (ila smile yako kwenye avarter huwa inaniachaga hoi)
 
Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
Kama mnavyopiga kwaya kwenye kompyuta za serikali wakati huwezi sikia inasomwa quran tukufu
 
Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
Haya maamkizi yanayotumia ujumbe wa kiimani mbona yanaleta shida yanapotumia lugha ya Kiarabu na siyo lugha nyingine? Kama ujumbe ni kutakiana amani ya "MWENYEZI MUNGU",kwa nini inakuwa nongwa ikitamkwa kwa lugha hiyo ya Mashariki ya Kati?? Hivi hayo maneno yangetamkwa kwa Kiswahili ingekuwa tatizo kweli? Ni tafakuri yangu...
 
Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
Nimeshuhudia mara mbili:Tukio la kwanza nikisafiri toka Morogoro kwenda DSM,abiria kama watatu hivi wakimlalamikia dereva wa basi abadilishe "stesheni" ya redio baada ya kusikia yakitolewa mawaidha ya kiislamu.Dereva yule kwa busara aliamua kuzima kabisa redio.Tukio la pili nikisafiri toka Arusha kwenda Moshi,abiria kadhaa walimfokea abiria mwenzao aliefungulia nyimbo ya kaswida kupitia simu yake ya mkononi,malumbano yalikuwa makali.Nilimsihi yule dada atumie "earphone" ili kutowakera wengine wasiopenda kusikia hiyo kaswida yake.Lakini sijawahi kushuhudia tafrani ikitokea pale unapopigwa wimbo/kwaya katika mazingira hayo hayo ya chombo cha usafiri,taaizo ni nn hasa? Kwa nini upande mmoja unashindwa ustahamilivu wa kiimani kwa mwenzie????
 
Naomba nisahihishe. Si shule zote zinazomilikiwa na Dini ni seminary! Seminary ni zile shule wanaposoma vijana wanaotaka kuwa mapadre au wachungaji. Seminary kwa kiswahili ni kitaru... Kwa wakatoliki ni kitaru kunakooteshwa mbegu za upadre.
Hivyo ni makosa tunaposema Islamic seminary!!!
 
Back
Top Bottom