dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
mimi sijataka kujua maana yake, nnachojua hiyo salamu wanaitumia waislam, kama ishu ni maana nzuri kwa nini hasalimii bwana Yesu asifiwe?Kwa nchi hii hiyo salaam siyo kubadili dini tattizo lenu hiyo ya kwenu huwa hamtaki kutoa ufafanuzi ina maana gani?