Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Siku moja uje ulize.au unataka kuwa Sista nini???.Hivi 'masista' wanavaaga nini?huwa natamani nione hata nywele zao
Siku moja uje ulize.au unataka kuwa Sista nini???.Hivi 'masista' wanavaaga nini?huwa natamani nione hata nywele zao
huwa nina wasiwasi na alah kama ndo Mungu tumuabuduye yule Mungu wa ibrahimu isack na yakobo. miungu iko mingi na alah ni mmojawapo. ni muungu wa waarabu hata wasukuma wana wao .Asalam alykhum ina maana ya "amani iwe nanyi" hii salamu hata yesu aliitumia sana.
Hebu nipe andiko linaloonyesha yesu alitufundisha tusalimiane 'Bwana Yesu asifiwe'
Ondoa wasiwasi kwanza halafu uje tujadili ukiwa na akili timamu.huwa nina wasiwasi na alah kama ndo Mungu tumuabuduye yule Mungu wa ibrahimu isack na yakobo. miungu iko mingi na alah ni mmojawapo. ni muungu wa waarabu hata wasukuma wana wao .
eleza unachotaka kueleza wasiwasi hauhusiani na utimamu kama umebanwa semaOndoa wasiwasi kwanza halafu uje tujadili ukiwa na akili timamu.
Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".
Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.

Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".
Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.
Safi sana....wangewaacha tu tutengeneze watumishiMtizamo wake ulikuwa hasi kama kweli alitaka watoto wapate elimu ya dunia angewaacha wakirudi likizo anawapeleka madrasa.Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".
Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.
Ukumbuke watoto walikuwa boarding na muda waliokuwa shule ulikuwa ni mrefu, kama mzazi alikuwa na uhuru wa kuchagua elimu ya watoto wake.Mtizamo wake ulikuwa hasi kama kweli alitaka watoto wapate elimu ya dunia angewaacha wakirudi likizo anawapeleka madrasa.
mimi ni watoto 3 wanasoma shule
Roman catholic lkn nimewaleka watoto ili kupata elimu bora.
na jioni wakirudi nyumbani mwl wa madrasa anawafundisha dini ya imani.na wanafanya vizuri sana pande zote shuleni na madrasa.
Uko sawa kabisaHijab zivaliwe msikitini tu basi Hata kwenye public gathering zipigwe marufuku kabisa
Hilo la mafundisho labda dhehebu jingine lkn kwa RC ni lazima kusali kabla ya masomo,kulala na baada ya masomo.Shule za Seminary zenye usimamizi wa hali ya Juu na zenye kusimamia misingi ya Kikristo hawawezi kubali uvae Hijabu hata iweje. Na ukienda shuleni lazima uhudhurie dini na mafundisho. Dini yako na dhehebu lako unaliacha nyumbani. Hutaki kalale mbele.
Ila kuna hizi zingine hasa za KKKT hazina sheria sana kwenye mambo ya dini. Hawaruhusu kuvaa baibui na hijabu lakini unaruhusiwa kusali dini yako.
Sawa lakini kipindi cha likizo angeweza kuwapeleka madrasa.Ukumbuke watoto walikuwa boarding na muda waliokuwa shule ulikuwa ni mrefu, kama mzazi alikuwa na uhuru wa kuchagua elimu ya watoto wake.
Ni kweli usemayo, shule hailazimishi ubadili dini lakini lazima ujiunge na wenzako katika shughuli nyingi, ingawa J2 hawalazimishwi kwenda kanisani lakini sala za asubuhi wanasali pamoja.Sawa lakini kipindi cha likizo angeweza kuwapeleka madrasa.
mimi ninavyoelewa shule huwa hazimlamishi mtoto kubadili dini ya ukristo.
ila lazima ufuate sheria za shule jambo ambalo hata ktk seminary za kiislaam zipo.
Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".
Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.

Watu nazan.hawajui mkuu,lengo seminary za Rc Nikumuandaa kijn kuwa padre,hakunaga mchanganyiko my b mchanganyo upite kwa njia ya nyumaHizo shule sio Seminary School ni shule za sSecular kwa maana kuwa zimesajiliwa hivyo. Seminary School hazina mchanganyiko wa dini na usajili wake huwa ni tofauti na hizo. Mfano Itaga Seminary-Tabora ni tofauti Mihayo Sec School-Tabora japokuwa zote zinamilikiwa na RC lakini zimesajiliwa kwa madhumuni tofauti kabisa
Ah ah ah ah ah Rc kipind nasali kila.nikienda nakuta salam zinabadilikaAsalam alykhum ina maana ya "amani iwe nanyi" hii salamu hata yesu aliitumia sana.
Hebu nipe andiko linaloonyesha yesu alitufundisha tusalimiane 'Bwana Yesu asifiwe'
Ah ah ah ahWavae tuu...kwan hakuna namna..kichwan hijab chin hakuna chup..
Itakuwa ulipata mke wa.kiislam wwki msingi ukristo ni dini ya kubumba tu, ni mawazo ya watu walikaa na kuitengeneza,hili ndo lilinipelekea nimeamua kusilimu juzi tu, how comes hata hao wazungu waliouleta kwetu Afrika wakatae kuufuata? tafadhalini ndugu zangu wa kikristo jaribuni sana kuisurvey dini yenu mtagundua ipo ki-dunia zaidi sio kumtafuta na kumjua Mungu