wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,650
Ameogopa dini ya Allah itasahulikaKaka kaogopa dini ya kikafiri.
Ameogopa dini ya Allah itasahulikaKaka kaogopa dini ya kikafiri.
Maria mama wa mungu,Kaka akaogopa ''salaamu maria umejaa neema bwana u nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa, maria mtakatifu mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu Amina''.
Mwambie KAKA aache uoga aache watoto wapate cha kula cha kiroho


Ulidhani ni mama wa mtume?Maria mama wa mungu,![]()
Ukweli utakuweka huru. bila katoliki imara Nchi yetu itayumbaKama kuna mtu mwenye upungufu mkubwa wa imani na akili,basi ni yule muislamu anaempeleka mwanae kwenye mashule ya hao wabaguzi,wenye kiburi na kujisikia.
Humu kuna Wapumbavu wachache wanapenda sana chokochoko za Dini/Kidini.kuna nini wanakipunguza kwako wakivaa kwenye hizo shule? vitu vidogo kama hivi kuanza kuvichambua ni kuleta utengano na hakuna faida yoyote
Hivi mada kama hii ikiondolewa na Moderator mtoa mada naye atalalamika kuminywa kwa uhuru wake wa maoni?
Hakuna Kafiri. Walioitwa makafiri wakati ule ni waarabu waliokuwa wanapingana na Uislam. Wakristo katika Qurani wameitwa wakristo na mayuhadi waliitwa watu wa kitabu.kwa hiyo neno Kafiri si sawa kutumiwa wakati huu.Kaka kaogopa dini ya kikafiri.
Kwa hiyo huyo mungu amezaliwa na maria. Lakini mama hayupo katika utatuUlidhani ni mama wa mtume?
Tusijidanganye udini upo. MFUMO upoHumu kuna Wapumbavu wachache wanapenda sana chokochoko za Dini/Kidini.
Kinachonishangaza, kitaani tunaishi poa tu.
Iwe Sherehe, au Misiba tunakuwa kitu kimoja bila kujali tofauti zetu za KiiMani.
Tunaishi kama Ndugu.
Sasa huwa nashangaa sana hapa JF, ninapoona Vinabo fulani wanaleta Shobo za Kidini.
Ninachojua mimi ni kwamba,
Watanzania hatuna hitilafu za Kidini wala za Kikabila
Labda kwenu.Tusijidanganye udini upo. MFUMO upo
Hebu mpotezee huyo jamaa.Kwa hiyo huyo mungu amezaliwa na maria. Lakini mama hayupo katika utatu
Ni kweli ukatoliki uko imara sana Tanzania. Wala nchi haitayumba kwani hizo nchi nyingine ambazo hazina huo MFUMO mbona haziyumbi. MumewahiUkweli utakuweka huru. bila katoliki imara Nchi yetu itayumba
Kipi walichokifanya?Ukweli utakuweka huru. bila katoliki imara Nchi yetu itayumba
Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
Sasa wewe inakuuma nini mwanafunzi wa kiislam akivaa hijab daaah wapingaji hamuishi vitimbiNimetamani sana kupata michango yenu kuhusu jambo hili
Shule za dini ni seminary za dini husika, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pale ninapoona double standard ktk kuvaa hijab kwa watoto wa kiislam ktk seminary za Ki-kristo.
Mtoto wa kikristo akijiunga kwenye shule inayomilikiwa na dini ya kiislam analazimishwa avae hijab lakini mtoto wa kiislam anapojiunga na seminary za kikristo pia analazimisha kuvaa hijab na iwapo sheria ya shule itamkataza serikali inaingilia kati kwamba hilo ni swala la imani. Je swala la imani linaegemea upande mmoja?
Haki itendeke kote
Mmebakizaga hayo hayo tu Allah amlipe Khel ,khel gani unalipwa hapo kama c upuuzi tu mmezoea maisha ya ubaguzi na mifumo isiyo thamini utu wa mtu,na neno lenu la ajabu kabisa eti Islam ndg yake Islam, sjui hawa wengine waliumbwa na nani mnamkosoa mwenyezi MUNGU ninahakika hakuna pepo mtakayoiona upande wenu.huyo alifanya vizuri sana...Allah amlipe kheir
kama imetokea umekuta na mmtu wa hivyo ni tabia yake uislamu cdhani kama unafundisha aende gest na hata huo ukristo pia haufundishi hivyo hiyo ni tabia ya mmtu aihusini na dini yoyote hapo mmkuuWanachovaa masister ni hijabu?? Unajua kwa nn wanavaa vile? Kikubwa ni hivi siku ya mwisho hutaulizwa ulizwa ulivaa nini? Ulikula nini? Ulikunywa nini? Kwa nini hukutawadha ulipoingia msikitini? Kwa nn hukumkamua tumbo marehemu kabla ya kumzika hapana. Utahojiwa na kuhukumiwa kadri ya matendo yako!? Wangapi tunawaona wanavaa baibui na hijabu lakini tunapishana nao gesti? Usijidanganye matendo mema pekee Ndio yatakupeleka mbinguni sio dini au kuvaa
Dini ya Allah haiwezi sahaulika,isipokuwa kwa kafiri aliyekufuru.Ameogopa dini ya Allah itasahulika