Hii ya leo kali sana sana

Hii ya leo kali sana sana

huyo jamaa ni DOKITA nimeona katundika koti la udokit kwenye kiti Cha dereva,trafiki angemuacha dokita akahudumie wagonjwa masikini, and agonjwa wenyewe Hawa hawana pesa hata za chakula wakati mwingine dokita analazimika kutoa pesa yake mfukoni amsaidie mgonjwa...dokita anapenda kazini akarudi mikono mitupu ..hawana hela ya kuwapa rushwa..Hawa madokita kazi Yao yenyewe ni ni stress tupu..halafu barabarani Nako matrafiki wanawaletea stress tena..madokita ni WA kuwahurumia..hata kigari Cha dokita TU SI umekiona.

😂😂😂😂
 
Umeanza kwa mashambulizi ,umeanza kubedha waliofariki kwenye MO29 wakati mada ni traffiki kuchezeshewa kichapo ndiyo maana nikauuliza Sukari imepanda?
Sheria traffic haruhusiwi kuchomoa funguo wala kuchukua leseni
Kama leseni unamuonesha tu,matrafik wengi sheria hawazijuwi
Sema jamaa atageuziwa kibao kwa kumpiga traffic hapo ndiyo kazi

Ova
 
Nilishawahi shauri Idara ya kazi Police wasi waajiri wapare sasa mtu toka anazaliwa anakula.makande anatoa wapi nguvu
Muone...😣
2ee9f008-0780-47cd-9608-dc95bc73b059.jpeg
 
Kumbe jamaa alipaki service road, Nimeona taarifa ya jeshi la polisi inasema huyo jamaa nae yupo hospitali kalazwa baada ya kupigwa na wananchi ambao hawakupendezewa na alichofanya huyo jamaa etu mwenye kiuno size 12😃 sijui kweli
 
Back
Top Bottom