Now inasemwa jamaa nae kapigwa na raia.Trafiki kajichanganya kachukua ufunguo wa gari la raia kachafukwa kamuweka chini maeneo ya lugaloView attachment 3665723View attachment 3665722
Lakini umeona afande alivyowekwa kifo cha mende isingekuwa huyu mwanajeshi trafiki angepigwa miti.Umeona ee?!! Inawezekana huyo raia ni ni nyumbu wa JF hivyo ana akili fupi za kupenda likes za nyumbu wenzake humu JF bila kujua kuwa wenyewe humu ni waongeaji tu lakini waoga KUPITILIZA na likikukuta linakuwa lako. Kama unabisha iulize minyumbu yote humu kama Kuna nyumbu lolote lilikuwa kwenye maandamano ya mabwana zao, Yale ya tarehe 29.10
Amelazwa hospital baada ya kupigwa na wananchi {******} kusema ukweli huyu ndugu yetu sijui kama atarudi akiwa hai.Sijapenda 😥,kifuatacho kuwekwa mahabusu kuwapa shida familia.
Yaani,hasira hasara,kuwapa shida family yake.Amelazwa hospital baada ya kupigwa na wananchi {******} kusema ukweli huyu ndugu yetu sijui kama atarudi akiwa hai.
Huwa tunavumilia mkuu, jamaa ameharibu sana.Hakuna mwananchi hata mmoja aliyemshambulia.. Tunaandaliwa kupokea habari mbaya
Huyo askari hana mazoezi halafu anachukua funguo za gari ya raia asiemjua?Trafiki kajichanganya kachukua ufunguo wa gari la raia kachafukwa kamuweka chini maeneo ya lugaloView attachment 3665723View attachment 3665722
Si umeona picha mgando tu, tena iliyopigwa kimbea na nyumbu?!!Lakini umeona afande alivyowekwa kifo cha mende isingekuwa huyu mwanajeshi trafiki angepigwa miti.
Wengine jamii ya Navy Seal hata hujui.Yaan mimi mambo ya kugombana na Stranger huwa sitaki kuna watu wana mikanda ya Bluu huko ya Karate mtu anakuchakaza dakika mbili.