Hii ya leo kali sana sana

Hii ya leo kali sana sana

Dr. Conrad Kahyoza, ameachiwa kwa dhamana baada ya kufikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni na kusomewa shtaka moja la kushambulia mwili. Mashitaka yanatajwa kuwa ni kutenda kosa kwa mujibu Kifungu cha 243(d) cha Sheria ya Makosa ya Jinai, Sura ya 16.

Mshitakiwa Dk Kahyoza amekana kutenda kosa hilo na amepatiwa dhamana baada ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Jacqueline Rugemalila kuongoza kuwa shitaka lake linadhaminika.

Kesi itatajwa tena Septemba 24, 2026 saa 4:00 asubuhi.

-----
Shukrani za dhati ziwafikie mawakili wa TLS waliosaidia kutoa muongozo wa kisheria, na wadau wengine waliosaidia kwa namna moja au nyingine, kwa Daktari Conrad.

Nawasilisha!
Dr. Chris Cyrilo.
1789079057071.jpg
 
Dr. Conrad Kahyoza, ameachiwa kwa dhamana baada ya kufikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni na kusomewa shtaka moja la kushambulia mwili. Mashitaka yanatajwa kuwa ni kutenda kosa kwa mujibu Kifungu cha 243(d) cha Sheria ya Makosa ya Jinai, Sura ya 16.

Mshitakiwa Dk Kahyoza amekana kutenda kosa hilo na amepatiwa dhamana baada ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Jacqueline Rugemalila kuongoza kuwa shitaka lake linadhaminika.

Kesi itatajwa tena Septemba 24, 2026 saa 4:00 asubuhi.

-----
Shukrani za dhati ziwafikie mawakili wa TLS waliosaidia kutoa muongozo wa kisheria, na wadau wengine waliosaidia kwa namna moja au nyingine, kwa Daktari Conrad.

Nawasilisha!
Dr. Chris Cyrilo.View attachment 3668140
Shujaa...
 
SIO rahisi KWA daktari kumpigana kwa maadili ya kazi yake na kiapo chake,hakuna daktari anahepiga watu ila anatibu watu,na inawezekana alitukanwa matusi mabaya ama alipokonywa funguo ya gari huku akitukanwa matusi,hivyo katika kuchukua funguo ya gari yake Kali yake ili awahi kwenda kutimiza majukumu yake ndipo sasa Waka angushana katika kupokonyana funguo ya gari,HAKUNAGA DAKTARI ANAYEPIGA WATU,hapo daktari alicheleweshwa kwenda kutimiza majukumu yake ya kuhudumia wagonjwa.DAKTARI YEYOTE HAWEZI KUPIGA WAGONJWA WAKE.
 
Back
Top Bottom