Watasema jamaa kaiweka serikali chini.Trafiki kajichanganya kachukua ufunguo wa gari la raia kachafukwa kamuweka chini maeneo ya lugaloView attachment 3665723View attachment 3665722
Ile hofu na woga pamoja na heshima waliokuwa nayo raia kwa hawa magwanda inaendelea kwisha.Wanachojisahau hao askari ni kwamba zinazowalinda ni hizo jezi zao na silaha wanazobeba ila nje ya hapo ni wepesi kama unyoya wa nzi ona alivyowekwa kifo cha mende!! askari muwe na heshima Kwa raia pumbavu zenyu.
We kama polisi jiandae nawewe tena wewe utapigwa busu kabisa warembo nyie 🤣🤣🤣Atapata shida nyingi sana huyo Jamaa, Huo sio utaratibu, naona mnamsifia, huko aliko atakuwa anajua
Aende katambi pale si anajifanya anajua mbabeWatasema jamaa kaiweka serikali chini.
Kuoaga na Kumaliza mche mzima wa sabuni kwa maji ujazo wa kifuniko cha sodaBaada ya hapo nini kilifuata?
Stories za ma trafiki wa Dar zinanikumbusha miaka hiyoo zamani, siku moja Ijumaa jioni tunatoka nyumbani Oysterbay na watoto wa wenye nchi, tunakwenda kufurahi viwanja vya Dar.Trafiki kajichanganya kachukua ufunguo wa gari la raia kachafukwa kamuweka chini maeneo ya lugaloView attachment 3665723View attachment 3665722
Trafiki wanajifanya miungu watu kutaka pesa kwa kilazimisha.
Kuna siku kanikamata nikamwambia tuu niandikie anajizungusha nikasema weee hela yangu sikupi wacha ipate serikali tuuu.
Imekaa njema sana ,huyo MJEDA angemuacha kwanza TRAFIKI ale NAKOZI.Trafiki kajichanganya kachukua ufunguo wa gari la raia kachafukwa kamuweka chini maeneo ya lugaloView attachment 3665723View attachment 3665722
Umeona ee?!! Inawezekana huyo raia ni ni nyumbu wa JF hivyo ana akili fupi za kupenda likes za nyumbu wenzake humu JF bila kujua kuwa wenyewe humu ni waongeaji tu lakini waoga KUPITILIZA na likikukuta linakuwa lako. Kama unabisha iulize minyumbu yote humu kama Kuna nyumbu lolote lilikuwa kwenye maandamano ya mabwana zao, Yale ya tarehe 29.10Atapata shida nyingi sana huyo Jamaa, Huo sio utaratibu, naona mnamsifia, huko aliko atakuwa anajua
Yaani kuna mijitu mijinga sana inajua kwamba polisi/askari anaweza kukufanya chochote na yupo juu ya sheria ,polisi/askari na yeye inabidi afuate PGOs ,akikuletea piga za KIWAKI unaishi NAYE vile vile.Kuna watu wanadhani huyo jamaa atapata shida baada ya hapo.
HATOPATA SHIDA YOYOTE.
Sukari imepanda Sheikh? Hakuna aliye juu ya sheria ,huyo trafiki inapswa afuate taratibu za kazi ,akija kiuhuni huni anapokelwa KIHUNI pia.Umeona ee?!! Inawezekana huyo raia ni ni nyumbu wa JF hivyo ana akili fupi za kupenda likes za nyumbu wenzake humu JF bila kujua kuwa wenyewe humu ni waongeaji tu lakini waoga KUPITILIZA na likikukuta linakuwa lako. Kama unabisha iulize minyumbu yote humu kama Kuna nyumbu lolote lilikuwa kwenye maandamano ya mabwana zao, Yale ya tarehe 29.10
Ishakua mbaya 😎.. kama machalii wa Arusha wanavosemaTrafiki kajichanganya kachukua ufunguo wa gari la raia kachafukwa kamuweka chini maeneo ya lugaloView attachment 3665723View attachment 3665722
Umeona ee?!! Inawezekana huyo raia ni ni nyumbu wa JF hivyo ana akili fupi za kupenda likes za nyumbu wenzake humu JF bila kujua kuwa wenyewe humu ni waongeaji tu lakini waoga KUPITILIZA na likikukuta linakuwa lako. Kama unabisha iulize minyumbu yote humu kama Kuna nyuAtapata shida nyingi sana huyo Jamaa, Huo sio utaratibu, naona mnamsifia, huko aliko atakuwa anajua
Hata sina sukari Mimi sheikh, pengine wewe ndo unayo na imejionyesha katika kushindwa kwako kuielewa hoja yangu. Daima kuwa mjanja, kama trafiki amekuja kihuni basi wewe nenda kihekma....ukijichanganya nawe ukaenda kihuni basi utakufika uhuni mara mbili yakeSukari imepanda Sheikh? Hakuna aliye juu ya sheria ,huyo trafiki inapswa afuate taratibu za kazi ,akija kiuhuni huni anapokelwa KIHUNI pia.
Watu wamechafukwa , stress na hasira we jichanganyeAnajiamini huyo pengine naye ni wa hukohuko.. Raia wa kawaida ni ngumu kufanya hivyo tena ndani ya kambi ya jeshi