AXIOM APEX VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 12,361
- 20,854
Utakuta alikua anataka buku jero tu wala sio nyingi ila kilichompata atasimulia wenzieKazini kwake leo kuna kazi
Utakuta alikua anataka buku jero tu wala sio nyingi ila kilichompata atasimulia wenzieKazini kwake leo kuna kazi
Binadamu akikasirika hufanya yasiyotarajiwa hata simba huogopa.Anajiamini huyo pengine naye ni wa hukohuko.. Raia wa kawaida ni ngumu kufanya hivyo tena ndani ya kambi ya jeshi
Yaan trafiki amejambishwa sana mpaka kazi imekua na kazi maana jinsi alivyowekwa chini hapo ni kupokea tu matonge ya uso na kujitahidi kificha sura maana utatambaa kwa mgongo huku mweenzio amekukalia juu wewe unajibuluta tuAnajiamini huyo pengine naye ni wa hukohuko.. Raia wa kawaida ni ngumu kufanya hivyo tena ndani ya kambi ya jeshi
Kawekwa kama anabakwa🙆🏿♂😂Yaan trafiki amejambishwa sana mpaka kazi imekua na kazi maana jinsi alivyowekwa chini hapo ni kupokea tu matonge ya uso na kujitahidi kificha sura maana utatambaa kwa mgongo huku mweenzio amekukalia juu wewe unajibuluta tu
Hii noma usiombee ikukute halafu hujala tangu uamke asubuhi utatoa hewa chafu za kutoshaHii kabari hiiView attachment 3665731🙌🏿🙌🏿🙆🏿♂😂
Haki za binadamu wako wapi..Taasisi na Mashirika mengine🤣Kawekwa kama anabakwa🙆🏿♂😂
Yeah mkuu mfano mzuri😀🔥Kama WWE vile John Cena vs Batista😂