Hii ya Juma Pinto Inatisha

Hii ya Juma Pinto Inatisha

Mkuu Pasco heshima kwako! Naona leo unamwaga madini tu hapa ingawa kuna vijana hapa hawakuelewi! Safi sana kamanda ila huwa unaharibu kutetea ZZk & co.
Wa Kwilo, kiukweli siku zote nabii huwa hakubaliki nyumbani!, hawa jamaa ni jewels!, japo bado mna ma profesor wengi, but take it from me, the gap ya kutokuwepo Kitila ni very visible asn soon you'll start paying the price!.

Pasco.
 
Nadhani unahitaji uwe na jicho la tatu kumwelewa Pasco, ukiangalia comment yake ni kama anamtetea Juma Pinto lakini si hivyo, kwa comment hii ndo naanza kumwelewa Pasco!

mi nilimwelewa toka aliposema get rich or die tryng
 
Mkuu illegal migra, inawezekana!.

Mimi ni binadamu na sio malaika, hivyo kama binadamu nina mazuri yangu na madhaifu yangu na mabaya yangu!, ila pia niko very open, very frank, kama umesikia chochote kuhusu mimi, usihofu, unaweza tuu kwenda public, kwenye ukweli nitakuambia huo ni ukweli, kama ni uongo, nitakuambia ni uongo, ila siamini kitu kinachoitwa chuki binafsi, kitu hiki kwangu don't just exist!, mtu hawezi kukuchukia tuu bila sababu kwa kisingizio cha chuki binafsi, there must be a reason, and whatever is the reasons kwangu ni justified!. Huyo amewahi kunishuhudia nikifanya nini?!.

Pasco.

ni ishu fulani hivi inahusisha mapenzi ya jinsia moja
 
Juma Pinto ni mshirika mkubwa wa familia ya JK. Na wanamiliki pamoja gazeti la kila siku la JAMBO LEO.
Pinto alikuwa miongoni mwa waandishi wa gazeti la Majira na alikuwa akiandika sana habari za JK na kuwa kama ilivyo kwa Michuzi.
Hata JK alipojitosa kwenye Urais wakati akichuana na Mkapa, Pinto alikuwa mstari wa mbele, ila sijui kilitokea nini, kwani baada ya Mkapa kuibuka kidedea Pinto alihamia Uingereza ambako aliishi hadi JK alipokuwa Rais.
Deal ya kwanza ya Pinto kupiga na JK ilikuwa ya kutangaza vivutio vya Utalii ughaibuni. Alisimamia mradi tangazo lililokuwa Heathrow Airport na lile lililokuwa kwenye uwanja wa soka wa Goodson Park wa Everton, nadhani na kwenye gazeti moja nadhani Mirror, pia kwenye luninga ya CNN.
Lakini kama mnakumbuka deal ile ilitumia pesa nyingi kuliko uhalisia wa gharama na kukawa na minong'ono ya chini chini kuhusu hilo, na ndipo JK katika hotuba yake bungeni akaja na kauli ya utetezi kuwa 'Ukitaka kula lazima na wewe uliwe japo kidogo'.
Na baada ya deal hiyo ndio Pinto akarudi Bongo akiwa tajiri mkubwa sana.
Ova

Mkuu ahsante sana kwa maelezo
 
Mkuu Shark, sio upendeleo, but ni "getting connected!".

Sifa kubwa ya mwandishi mzuri wa habari, anatakuwa kuwa na "nose for news", yaani pua ya kunusia habari!, baada ya kufanya kazi newsroom, hiyo pua zaidi ya kunusa habari, pia una nusa harufu ya "ankara!", hivyo mwanzo unaanza na habari na "ankara", baadae unaachana na kunusa habari, utanusa zile tuu habari zenye "ankara!", ndia maana zikifanyika semina, warsha, makongamano na mikutano, waandishi kibao kwa sababu ya "ankara!" kwenye tule tuji little brown envelopes!", ukifanikiwa kunusa "ankara" pekee, hii sasa ndio inaitwa "opportunities!", unachangamkia tenda na sio unapewa au kuletwa kwenye kisahani cha chai!, na kuna watu wanaodhani ni rahisi!, kukamata tuu microphone na kupiga blah blah!, au kukamata tuu kalamu na kuandika!, no way, ili pesa zije, lazima ufanye kazi haswa, and you have to be good!, Pinto is good kuchangamkia michongo!.

Na wengi huanzia kwenye to work hard to make money!, ukiisha zitengeneza za kutosha, you don't have to work all that hard kuziongeza ili ziziishe, but now you have to use money to work for you!, ndio ukifika mahali, unakimbiliwa kuhudumiwa, huongei wewe, pesa itaongea!, ndipo jamaa kashangaa yuko kwenye foleni, watu wanakimbizana kukimbilia mabegi, kuyapitisha off the screen!.

Ukiwa na pesa, unanyenyekewa, unageuka mfalme!.

Pasco.

Mkuu post zako ni very inspiring ujue... Napata mizuka tu hapa ya utajiri na umri unaenda
 
ni ishu fulani hivi inahusisha mapenzi ya jinsia moja[/QUOT
Mkuu kila unachoskia kinamaana kwako? Nadhan vingine ni kupotezea tu unless mtu umekosa kazi za kufanya... Otherwise piga kazi get busy tuzisake ankara tutishe
 
IMG_6953.JPG


Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ambaye pia ni mmiliki wa magazeti ya Jambo Leo na Staa Spoti, Juma Pinto wakati wa hafla ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Ikulu, Dar es Salaam
 
04.JPG



Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa uzinduzi wa mabango ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na Faru baada ya kuyazindua rasmi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni OfisaMtendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited, Juma Pinto.Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk. Mahamoud Mgimwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick (kushoto kwake).
 
Sasa mlikuwa mnataka nn...mkishajua hivyo...kwann tusijadili vitu vya msingi kama Iptl..gas..badala ya kujadili watu.
 
watu kama hawa unawatafutia sniper tu anawadedisha manake serikali imeshindwa
 
Sasa mlikuwa mnataka nn...mkishajua hivyo...kwann tusijadili vitu vya msingi kama Iptl..gas..badala ya kujadili watu.

Rais anasema anayo list ya wauza unga lakini anashindwa kuwataja, kumbe ni watu wa karibu sana kwenye familia yake.
 
get rich or die trying....imeniklik tena akilini maana kila unapo jaribu kucheza fair play mambo hayaendi
zamani tulicheza rafu tukapewa red card sana....ila tunapoelekea ahhh sijui itakuwaje
in short kufanikiwa kihalali ni ngumu sana... Pasco

Amini nakwambia, "sikuzote" kilicho cha kweli, kilicho cha haki, kilicho cha Mungu no lazma kionekane kigumu, lakini Ukweli ni kwamba at the End no lazma ukipate!

Ukiyaka kua Professor, lazma usome sana, lakini ukitaka kuupata u Proffesor Kwa njia za mkato, so kazi., utaupata tuu, ila am a Kwa hakika utakuaibisha mbele.

Ndivyo yalivyo mafanikio, ukitaka Kufanikiwa no lazima uwe mvumilivu, maana hakuna kizuri ambacho hujakwa haraka
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom