Huyu ni mmoja wa waandishi wa habari nchini, mwenye mafanikio makubwa sana, alianza kama ripota tuu wa gazeti la majira, akaenda UK, huko akafanya kazi kwa bidii sana na kujituma hadi akafanikiwa akaanzisha kampuni ya Jambo, ndio inaitangaza utalii wa Tanzania duniani kote!, akarejea nyumbani, akaanzisha gazeti, na ndiye mwenyekiti wa Taswa na ni mjumbe bodi ya TTB!, ni kufuatia mafanikio haya, watu wanamuonea wivu bure na kumsingizia maneno ya uongo!.
Kwa vile huyu hupita VIP, siku hiyo alichelewa hivyo alichofanya hapo ni kumuita kijana wa TAA, kumjulisha yeye ni VIP, hivyo hilo begi lilikuwa na ile tag ya diplomatic bag, haliruhusiwi kupita kwenye mashine wala kuchunguzwa chochote!. Bag aliyobaki nayo ilikuwa hand!.
Watu humu ni mi wivu tuu imejawajaa dhidi ya wenzao waliofanikiwa na ku win!.
Natoa wito kwa wale wote wenye wivu dhidi ya waliofanikiwa, na wao wajitume kwa bidii to "get rich or die trying!"
Just get rich anyhow!, do anything that will get you money!, it doesn't matter much what you do, or how you do, what maters most is "the end justify the means!" ukishazishika!, "ikulu ni sebuleni kwako!.
Kuna siku nilihudhuria ile sherry party ya ikulu, magari yote yalipaki nje ya lango kuu la ikulu, hakuna cha waziri wala balozi, magari yote ni nje!, nilipofika ndani nikaona gari moja tuu limepark ndani, ni Red Ferari!, nikauliza ni ya nani na mbona imepaki ndani?, nikaelezwa ile Red Ferari ni ya mtu anaitwa Tanil Somaiya!, huyu ndie agent wa Rada, Gulf Stream, Helcopter za jeshi na (silaha za jwtz)!! hii ni siri, nimeificha msione!. Ukijiuliza kama mawaziri, na mabalozi wamepaki nje!, who the hell is Tanil?!, endelea kujiuliza who the Angel is JP!.
Pasco.