King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,353
- 88,532
Muuza ngada mkubwa rafiki yake billionea le mutuz.
mhhh......
huku wengine tunavuliwa had viatu ***** walahi
Si Bora Wewe Unavuliwa Viatu Wengine Hadi Tunainamishwa Na Kukaguliwa Tena Kwa Kupigwa Tochi ktk Mabonde Yetu Ya Ufa a.k.a KINYELEO au KINYEO Eti Kwa Kisingizio Kuwa Huwa Tunaficha Bwimbwi Huko Na Mimi Huwa Wakiniambia Tu Niiname Wanikague Huwa Nawajambia Viporo Vyangu Nilivyokula Na Kwa Ile Harufu Wenyewe Huniacha Na Kuniruhusu.
Pole kaka ila haya mazaga ya kuvuliwa viatu mpaka mtu anakuuliza swali moja mara 3 kua umekuja huku kufanya nn?Unampa jibu zaid ya mara 3 bado mtu ana mashaka na wewe.Haya yote yamefanywa na watu wachache ila Mungu wetu bado anaishi na atalipa yote hayo.Wanadamu hatuwezi ila Mungu anaweza yote
Not the world! Tanzania is not fair.The world is not fair...!!!
Ni kweli King Kong III. Naikumbuka picha Le Mutuz alileta jamii photos akiwa na gari ndogo akisema anaelekea tanga akiwa na juma pinto.Muuza ngada mkubwa rafiki yake billionea le mutuz.
ukimgusa huyu umemgusa jk himself...huyu,riz1,kinje ni big time yayo dealers..they push weight.
Leo umebwana hata lakuongea huna.Porojo na kuhororoja tu.
Mkuu pole sana, ninacho kushauri siku nyingine ufumbe macho ili usione kila kitu kinachofanywa hapa nyumbani,unaweza kufa kwa kihoro. We hayaa weee.
Porojo na kuhororoja tu.
Muuza ngada mkubwa rafiki yake billionea le mutuz.
Nchi inatia aibu hii, huyu jamaa alitajwa sana kwenye zile barua za wafungwa kule china, huyu ndie aliesababisha rafiki yangu aliekuwa mke wa marehemu Joshua fashion kufungwa brazili baada ya kuanza kutembea nae na kumbebesha unga, halafu pamoja na kashfa zote hizo eti kateuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya utalii, nchi ngumu hii! hao tembo wataponea wapi?
Nenda Pale Mnara Wa Askari Samora Avenue Ingia ktk Lile Jengo Refu Ambalo Ghorofa Yake Ya Kwanza Kuna Casino Kubwa La Wauza Bwimbwi Ambalo Riziki Moja Kiwete Ndiyo Mmiliki Wake Mkuu Na Humo Kunapatikana Unga ( Cocaine ) Tena ile Ya Grade A Itokayo SAO POLO Kwa Akina Adriano Nchini Kwao Maxio Maximo, Jaja Bwabwa Na Kotinyoko. KTK Hilo Hilo Jengo Pandisha Lifti Hadi Ghorofa Ya Saba Utakutana Na Ofisi Ya Gazeti La NAJAMBA TODAY Ambalo Wiki Kipwinto Ndiyo Mhariri Wake Mkuu Kisha Utamjua Vizuri. Ana Mashavu Makubwa Utafikiri Panya Ana Mimba Na Mdomo Wake Umebinjuka Fulani Hivi!
Nilikuwa napanda ndege ya kwenda Kampala JNIA. Laini ilikuwa ndefu kidogo, ghafla kaja Juma Pinto, akaongea na mwaamke fulani kwa dakika kama 5.
Juma alikuwa na mabegi mawili, kisha akaja kijana akachukua begi moja na kupita nalo bila kupitia kwenye mashine.
Juma akarudi nyuma, akaendelea na maongezi kwa muda huku akiwa na rollon bagg (carryon) na hatimaye kuingia ndani.
Swali langu, huyu Juma Pinto ni nani hadi kupitisha begi bila kusachiwa, tena na mtu mwenye baji ya TAA? tena kupitisha begi kwa staili ambayo sijawahi kuona, very swift. Who the hell is Juma Pinto?
Si Bora Wewe Unavuliwa Viatu Wengine Hadi Tunainamishwa Na Kukaguliwa Tena Kwa Kupigwa Tochi ktk Mabonde Yetu Ya Ufa a.k.a KINYELEO au KINYEO Eti Kwa Kisingizio Kuwa Huwa Tunaficha Bwimbwi Huko Na Mimi Huwa Wakiniambia Tu Niiname Wanikague Huwa Nawajambia Viporo Vyangu Nilivyokula Na Kwa Ile Harufu Wenyewe Huniacha Na Kuniruhusu.
Principle ya See Nothing, Say Nothing!Mkuu pole sana, ninacho kushauri siku nyingine ufumbe macho ili usione kila kitu kinachofanywa hapa nyumbani,unaweza kufa kwa kihoro. We hayaa weee.