Hii ya Juma Pinto Inatisha

Hii ya Juma Pinto Inatisha

Hao ndio somaiya group,,, ndio wamiliki wa shivacom, pia waliinunua ultimate security,,,unashangaa hiyo ferari, ,, nenda pale yatch club msasani ukaone wana boti inaelea pale inasubiri w'end wakale bata baharini,,, thamani ya hiyo boti unajenga maghorofa kadhaa mjini!!!!
Acha uongo wewe,Somaiya Group hawawezi kujiusisha na hako ka chori tanil,Hao Somaiya Group ni familia kabla Tz haijapata uhuru wao wana hela,wakati huyo ponjolo tanil ametokea Mwanza walikuwa na kiduka kidogo tu tena juzijuzi miaka ya 80,hiyo Somaiya Groip ni kama wakina Karimjee na familia ya Yusuph Manji wanahela tangu enzi ya mkoloni
 
Moja kati ya post bora kabisa kuwahi kutokea JF.
Sijui uliwaza nini hadi ukajiita Mdakuzi!
Hakika unastahili,hongera.
And....
Am proud of you.

Dah! Hujui ni kiasi gani nimefurahi kwa pongezi hizi. Nimeshapokea pongezi nyingi toka kwako, ila hii ni aina yake. Asante sana Nifah wangu.

Ova
 
Juma Pinto ni owner wa magazeti ya Jambo Leo na ndiyo wenye ule mzigo mzito alioshikwa nao Masogange kule South Africa lkn serikali ikaiingilia kati, mzigo ukaruhusiwa. Nchi imekwisha hii
Jambo Leo ndio wametoa gazeti la leo bure?? Hii movie itakuwa ya kijapani
 
Mkuu Ndjabu Da Dude, thank you, you mother fu.ker he is real a motherf..ng VIP!, begi lake halikuwa handled like everybody else's, because he is not everybody else!, he is somebody!. Kule mwanzo nimeisha kuambia who he is!, this is my answer for this shit's sake!, acha wivu you suck man!, na wewe you can just get rich and be somebody!, ili ukipita pale DIA, upokelewe mabegi yako yapitishwe off the screen!.
Na kwa taarifa tuu, zaidi ya hizo screens, kuna security cameras all over the place!, hivyo kupitishwa off the screen hakutoshi!, hizo security cameras zinazorekodi kila kila kila kona for 24/7, hivyo mizigo yote inayopita off screen, security chief anapaswa kuiona!, na baada ya hili tukio kuripotiwa humu jf, inawezekana kesho Mwakiembe atamsummon security chief, kuscreen security footage at that particular time, na atakuta the security camera, just wen't off! at that specific moment!. Hiyo kitu inaitwa "connections!", just get rich and get "connected!", vinginevyo just shut up you big Fu..en mouth "n" Fu.k U2!.​

Hii ndio Bongo!, hutaki, unaacha!.

Pasco.

NB, sorry kwa wale ambao hawajanizoe na lugha hizi, niliishazitumia zamani, hivyo ninapokutana na hawa vijana wenye usongo wa maisha kutokana na kuwaoneo wivu kila wenye nacho, hivyo kutukana watu mwanzo mwisho, sio mbaya kukumbushia!.
 
Pasco wa JF,hiyo post uliyoitoa kumsafisha pinto imekuvunjia heshima humu JF ya kutetea wauza unga,kama pinto na michuzi wametoka kwa kulamba miguu ya la profeseli na wewe unafuata njia hiyo hiyo ya kulamba miguu ya wauza unga na mafisadi wa nchi hii,acha hiyo tabia mara moja,hapa napata picha hata deal za kampuni yako ya utangazaji inayopata project za 77 na 88 na halfa za ppf/nssf/tpdc kwamba umetumia njia hiyo hiyo ya kuwalamba miguu,nyie ndio waandisha makanjanja mnaodidimiza tansia ya uandishi kwa kuwafanya wale wanaoandika ukweli na wasionunulika kupata shuruba kama kina kibanda na kubenea!
Nlichojifunza kwenye post za bwana mayala ni kuwa unaweza hisi anamsifia mtu ama jambo lakini ukisoma kwa makini unakuja kugundua kumbe anajaribu kufikisha ujumbe tafauti kwa namna ambayo waerevu tu ndio watang'amua
Read between the lines
 
Makonda Usipowataja hawa watu katika Phase zijazo basi movement yako itakuwa ipo kisiasa na tutaipigia kampeni kwa wananchi waidharau.

-Kinje
-Juma Pinto
-Riz1
-Masogange
-Rumishael Shoo.
-Zungu MB Ilala.
-Mchungaji Rwakatare
-Nabii Mwingira.
-Dida Mchops.
-Muna Luv.
-Diamond.
-Masanja Mkandamizaji.
-Fundikira (Ex wa Jack Patrick)
-Jux
-B12
-Salaah and Co(GSM)
-Salaam
-Fela
-Tale
-Ruge
 
: wanapata wapi kiburi yaani hata hawajui kama kuna Rais wanawaza hela tu, hatari sana hii nchi,ndio maana Trump anahitaji atutawale tena kama ukoloni
 
Juma Pinto ni owner wa magazeti ya Jambo Leo na ndiyo wenye ule mzigo mzito alioshikwa nao Masogange kule South Africa lkn serikali ikaiingilia kati, mzigo ukaruhusiwa. Nchi imekwisha hii
Mbona mange hamtaji huyu? Anang'ang'ania wasiohusika kwa chuki zake The world is not fair
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom