Hii picha inatuambia nini? Kwamba Tanzania is full of nepotism? Rais na mkwe wake wanaweka jiwe la msingi!

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Screenshot_20230917-034716.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi wa Ofisi za Halmashauri ya Masasi Mkoani Mtwara tarehe 16 Septemba, 2023.
F6LuPs1WsAAF-k9.jpg
 
Kapelo, raba mkato, jinzi, shati la kuning'inia.

Mavazi ya Waziri mbele ya Rais yanaongea wazi, sijali lolote, bosi wangu mama angu, uwaziri kanipa yeye, anaulinda yeye ili binti yake alishwe, utanieleza nini....

hawajui hata kula na kipofu, kufeki kwamba tunapiga kazi, tuna heshima, tunathamini wananchi, tunaogopa mamlaka ya juu....

ujana maji ya moto
 
Kapelo, raba mkato, jinzi, shati la kuning'inia.

Mavazi ya Waziri mbele ya Rais yanaongea wazi, sijali lolote, bosi wangu mama angu, uwaziri kanipa yeye, anaulinda yeye ili binti yake alishwe, utanieleza nini....

hawajui hata kula na kipofu, kufeki kwamba tunapiga kazi, tuna heshima, tunathamini wananchi, tunaogopa mamlaka ya juu....

ujana maji ya moto
Waziri kavaa kihuni.
 
Back
Top Bottom