Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Fuatilia mfululizo wa matukio yanayoendelea kwenye siku ya pili ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Mkoani Mtwara, leo Septemba 16, 2023.
View: https://www.youtube.com/live/Ngg9uv7xEm0?si=yBBa-JQFSBF4e1QQ
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Majaliwa kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi wa Tandahimba kwenye Mkutano wa hadhara ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Tandahimba katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Majaliwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi wa Ofisi za Halmashauri ya Masasi Mkoani Mtwara tarehe 16 Septemba, 2023.
Shamrashamra za Wananchi wa Tandahimba wakati wa mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.
View: https://www.youtube.com/live/Ngg9uv7xEm0?si=yBBa-JQFSBF4e1QQ
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Majaliwa kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi wa Tandahimba kwenye Mkutano wa hadhara ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Tandahimba katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Majaliwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi wa Ofisi za Halmashauri ya Masasi Mkoani Mtwara tarehe 16 Septemba, 2023.
Shamrashamra za Wananchi wa Tandahimba wakati wa mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.