MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 922
- 1,093
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA JENGO LA HALMASHAURI YA MTAMA MKOANI LINDI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo September 18 ameendelea na Ziara Mkoa wa Lindi ambapo ameweka Jiwe la Msingi kwenye ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Mtama ambalo Ujenzi wake umegharimu Zaidi ya Shilingi Bilioni 3.77 na linatarajiwa kukamilika Mwezi November Mwaka huu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo September 18 ameendelea na Ziara Mkoa wa Lindi ambapo ameweka Jiwe la Msingi kwenye ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Mtama ambalo Ujenzi wake umegharimu Zaidi ya Shilingi Bilioni 3.77 na linatarajiwa kukamilika Mwezi November Mwaka huu.