Kumbeeeee ndo maana wanawake wanawapenda mashamba boy???? Maskini mdada wa watu ana stress hana wa kumwambia mme busy, mdada karudi jikoni/kutoka nje kakutana na shamba boy anauliza "samahani mama neema mbona huna kimya hivyo? Kuna shida yoyote?" ahaaa
anyway siungi mkono sms/calls ambazo sio za msingi lakini inabidi pale mtu umetoka kazini kuwa na mda na mkeo
wanaume wengine hamko romantic ndo maana mnalalamika
mfano gf wako kakutumia sms asubuhi "morning baby" mchana kakukaribisha chakula na kukuuliza kama umekula, jion kakujulia hali kama umeshatoka kazini, wajameni hapa kuna shida??
Kumjua mwanaume inahitaji akili ya ziada.