jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
you want to know?are you among of them?
i thought leo umesema utakuwa bze sana sikujua ubize ni huku??
kikikikikikkk
you want to know?are you among of them?
are you among of them?
Hahaha... ivi wanawake wa namna hiyo bado wapo??? Kama yupo nataka niweke booking
Hawa viumbe sometimes hawajui hata kusoma mood ya mtu..
Juzi nimetulia nacheki game home, Wife na yeye ndo akaona muda mzuri wa kunisimulia habari za kazini kwake..Mi nikawa naitikia tu bila kuelewa hata anaongea nn..Kesho yake ananiuliza sikumbuki hata moja..Amevimba hadi leo..Hapa nafikiria zawadi ya kumpoza
Hahaha... ivi wanawake wa namna hiyo bado wapo??? Kama yupo nataka niweke booking
They do... and i can prove itWomen don't cling.
😀😀🙂🙂🙂Njooni kwangu wanawake wote mliolemewa na mizigo ya wanaume wasiowajali.
Hapa 24/7 nipo kusubiria missed call na text yako.
HahahahaaaNgoja watoke saloon
I can't believe my eyes...nawapa msaada wa kisaikolojia my lady know that.
Msiwe mechanical sana wakati mwingine!Hawa viumbe sometimes hawajui hata kusoma mood ya mtu..
Juzi nimetulia nacheki game home, Wife na yeye ndo akaona muda mzuri wa kunisimulia habari za kazini kwake..Mi nikawa naitikia tu bila kuelewa hata anaongea nn..Kesho yake ananiuliza sikumbuki hata moja..Amevimba hadi leo..Hapa nafikiria zawadi ya kumpoza
Mpeleke movie Afu huko huko unamwambia "babe I'm sorry I didn't mean to upset you" utaona atakavyotabasamuHawa viumbe sometimes hawajui hata kusoma mood ya mtu..
Juzi nimetulia nacheki game home, Wife na yeye ndo akaona muda mzuri wa kunisimulia habari za kazini kwake..Mi nikawa naitikia tu bila kuelewa hata anaongea nn..Kesho yake ananiuliza sikumbuki hata moja..Amevimba hadi leo..Hapa nafikiria zawadi ya kumpoza

Njooni kwangu wanawake wote mliolemewa na mizigo ya wanaume wasiowajali.
Hapa 24/7 nipo kusubiria missed call na text yako.
Daby huishiwi vitukoo
100% hili ni LA ukweli Mkuu hamna UbishiNani kasema? Na inasemekana huwa wanaganda kwasababu ya hofu ya kuachwa
Wasindikize mkuu....Daby huishiwi vitukoo
Hayaa jamani Kwendeni uko kwa Mkuu Daby![]()
Numbisa naomba no ya uyo binti pmMateso haya anayoyapata huyu binti sio ya kuvumiliaView attachment 471335
Kama mkeo anasumbuliwa kazini ni nani wa kimfariji sasa?
Do you real love and care your wife?
Mkuu inaonekana unanijua vizuri mpaka ukaweza kujua ratiba yangu ya siku hiyo ilikuwaje..Na huko kwenu mechi uwa inachezwa dakika 1000 nn?Mchana wote ulikiwa kazini au kwwnye mitikasi yako. Umerudi badala ya kukaa na kuongea na watoto na mkeo uko busy na mpira.
Halafu akipata mtu mwenye uwezo wa kumfariji na akamtindua unalalamika!!!
Mambo ya kizamnai ndo yapi mkuuBadilikeni wabongo achana na mambo ya kizamani!