Sasa apo mweny kosa sio Mme ni mke mwnyew coz co kila MTU anapenda mistori ya ajabu ya ugonjwa na wagonjwa wako vipi uko mawodini.....at list angebadilisha story buanaa khee ata mim ningamaindi....!![]()
![]()
Hii mada imenigusa mimi baby wangu nimempa likizo saiz nina siku kama 6 sijaongeana nae na I don't care . Too much love yanini ilhali hii ni Tanzania jua kali mno we need space la sivyo end of year inafika upo ndani tu no time for friends ye anataka ajue unachat na nani upo na nani salsa me ni mwanaume bana huezi nichunga better we break up ila sio love kama nipo inoove na mtoto koplo wa magereza[/QUOTE
Hah hah hah u better break up....
czan km wapo mkuuHahaha... ivi wanawake wa namna hiyo bado wapo??? Kama yupo nataka niweke booking
Ndo tumefika tayariOh, mmesharudi sasa?
Niletee dunia ndio nitakusameheHawa viumbe sometimes hawajui hata kusoma mood ya mtu..
Juzi nimetulia nacheki game home, Wife na yeye ndo akaona muda mzuri wa kunisimulia habari za kazini kwake..Mi nikawa naitikia tu bila kuelewa hata anaongea nn..Kesho yake ananiuliza sikumbuki hata moja..Amevimba hadi leo..Hapa nafikiria zawadi ya kumpoza
