Hii ni kwenu wasichana

Hii ni kwenu wasichana

Hawa viumbe sometimes hawajui hata kusoma mood ya mtu..
Juzi nimetulia nacheki game home, Wife na yeye ndo akaona muda mzuri wa kunisimulia habari za kazini kwake..Mi nikawa naitikia tu bila kuelewa hata anaongea nn..Kesho yake ananiuliza sikumbuki hata moja..Amevimba hadi leo..Hapa nafikiria zawadi ya kumpoza
Ahahahahahah
 
Mateso haya anayoyapata huyu binti sio ya kuvumiliaView attachment 471335
Mkipendwa shida, msipopendwaa shida. Viumbe gani nyie. Kwendreeeeenii
Napata malalamiko
kutoka kwenu kwamba kuna muda Boyfriend
zenu hawapokei simu wala kujibu message...Mnachukua strange numbers mnabeep, wanapiga simu...mnahoji kwanini Wanafanya hivyo na
kwanini hawapokei simu zenu. Ningependa niwaambie siri...

Sometimes, Wanaume
wanahitaji space..Si kila Muda ni wa mahaba
tu, Baby Baby this and that 24hours
zinatuboa.. Wanaume wameumbwa tofauti, they need to be alone sometimes kufanya other issues, si kwamba wewe sio muhimu, ila kuna ya muhimu zaidi...They also need time with friends...

Sasa wewe unakazana kutext,asipojibu unakazana
kupiga...Utabaki kuwaza hakupendi,
anakupenda sana ila humpi muda wa kupumua..Mahaba
yamezidi! Too much of anything is harmful, kuwa na kiasi....Mjue mpenzi wako, Ongea nae, utajua haya ninayosema...

Otherwise utabakia kulalamika, Girls
do your Homework, usiishi na mpenzi kama mfuga
kuku, kuku hawaongei,wewe una mdomo...Know
Your Lover(KYL), maana hata Benki wana KYC-
Know Your Customers! Ukielewa itakusaidia! Stop Complaining!

Hahaha... ivi wanawake wa namna hiyo bado wapo??? Kama yupo nataka niweke booking
 
Hawa viumbe sometimes hawajui hata kusoma mood ya mtu..
Juzi nimetulia nacheki game home, Wife na yeye ndo akaona muda mzuri wa kunisimulia habari za kazini kwake..Mi nikawa naitikia tu bila kuelewa hata anaongea nn..Kesho yake ananiuliza sikumbuki hata moja..Amevimba hadi leo..Hapa nafikiria zawadi ya kumpoza
Hahaaa.. U r good husband. Kampooze plz
 
Nani kasema? Na inasemekana huwa wanaganda kwasababu ya hofu ya kuachwa
Jaribu kuacha halafu baada ya wiki mbili rud uone kam vyumba vitakua havijaa. usijidanganye uko
Hawa viumbe sometimes hawajui hata kusoma mood ya mtu..
Juzi nimetulia nacheki game home, Wife na yeye ndo akaona muda mzuri wa kunisimulia habari za kazini kwake..Mi nikawa naitikia tu bila kuelewa hata anaongea nn..Kesho yake ananiuliza sikumbuki hata moja..Amevimba hadi leo..Hapa nafikiria zawadi ya kumpoza
 
Hawa viumbe sometimes hawajui hata kusoma mood ya mtu..
Juzi nimetulia nacheki game home, Wife na yeye ndo akaona muda mzuri wa kunisimulia habari za kazini kwake..Mi nikawa naitikia tu bila kuelewa hata anaongea nn..Kesho yake ananiuliza sikumbuki hata moja..Amevimba hadi leo..Hapa nafikiria zawadi ya kumpoza

Bora umsikilize siku alinyanaza utajuta. Kuna Jirani ameoa Dr. Mke akirudi home kama kakutana Na wagonjwa WA ajabu ana simulia mmewe, Mme akachoka akasema sitaki story zako. Basi mke akanyamaza mpk Leo huko ndani hakuna maongezi zaidi ya salama mke Kapata sehemu ya kuongea Na kutoa yaliyo moyoni mwake. Mme kaomba msamaha lakini tayari asha haribu
 
Hao wanawake wanaolalamika lazima watakua below 25..... Too much childish in love, ila matured girls don't do that, ila pia sometimes Kuna sababu, labda ni kawaida Yao kuwa karibu Muda mwingi hata Kwa njia ya mawasiliano so inapotokea mtu aka mute ghafla lazima mwenzie ashtuke kidogo, so it's better kumfahamu your man, ila hata mwanaume ni better amfahamu mwanamke wake, hata anapohitaji hiyo space, amwambie tuu mwenzake ili kuavoid such small misunderstanding
 
Wanaume bhana !ukimpigia cm kila siku atasema anahitaji space na blah blah kibao ukikaa kimya utashangaa unaambiwa unakiburi sana kwann hupig simu?asa tufanyeje jamani
 
Bora umsikilize siku alinyanaza utajuta. Kuna Jirani ameoa Dr. Mke akirudi home kama kakutana Na wagonjwa WA ajabu ana simulia mmewe, Mme akachoka akasema sitaki story zako. Basi mke akanyamaza mpk Leo huko ndani hakuna maongezi zaidi ya salama mke Kapata sehemu ya kuongea Na kutoa yaliyo moyoni mwake. Mme kaomba msamaha lakini tayari asha haribu
Sasa apo mweny kosa sio Mme ni mke mwnyew coz co kila MTU anapenda mistori ya ajabu ya ugonjwa na wagonjwa wako vipi uko mawodini.....at list angebadilisha story buanaa khee ata mim ningamaindi....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom