Hii Ndiyo Picha Ya Siku Ya Rais Samia Katikati ya Ulinzi Mkali wa Kijeshi Na TISS Iliyoteka Hisia Za Watu Duniani Kwote.

Hii Ndiyo Picha Ya Siku Ya Rais Samia Katikati ya Ulinzi Mkali wa Kijeshi Na TISS Iliyoteka Hisia Za Watu Duniani Kwote.

_101964973_gettyimages-951728864.jpg

Hio ndio maana ya ulinzi mkali, sio huyo Samia walinzi wake wana vitambi, wengine hapo wana minyoo na safura,yaani kinacho wabeba ni vyeo tu... huyo mwingine ana sijida itakuwa yupo kwenye swaumu hapo anawaza futari jioni ifike haraka...

Hapo hakuna mlinzi hata mmoja anaweza pambana na Mandonga akatoka salama... sifa tu za kijinga..

Hao wenye suti wamebeba mabegi utasema wana safiri, umecheki ulinzi wa Kiduku, unaona walinzi walivyo wepesi, wana afya na miili ya mazoezi...
1772131006351.png
 
Acha kuleta vituko..
Walinzi wana miili ya hovyo, usoni hata nuru hawana, sio wepesi, zaidi ya kuvaa hizo suti na mamiwani kwa ajili ya show off, hawana lolote... huwezi linganisha na walinzi wa Kim, ni wepesi, wana miili ya mazoezi, ukiwatizama tu unaelewa ni watu wa kazi.

Yameshatokea matukio ya walinzi hao kunaguka hovyo kwenye kadamnasi na kuleta aibu.. 😂 😂
images

maxresdefault.jpg




Tazama watu wa kazi.
27212434.jpg
 
Back
Top Bottom