Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,412
- 52,063
- Thread starter
- #21
Umetumia methodology gani kubaini makundi hayo? Mawazo binafsi si tafiti
Nimehoji watu wa makundi niliyoyataja Mkuu.
Nimefanya kautafiti kadogo.
Sample niliyoichukua ni participants 100 Kwa mikoa ya Morogoro, Dar, Iringa, Mbeya NK.
Wapo niliowahoji,
Wapo Kwa kuwatazama tuu nikiwa kijiweni nk