HESLB Wanavyotafuna Mikopo na Uchunguzi wa Bodi 2011

Majibu yangu hayo yanapatikana hapa katika PDF...
 

Attachments

  • majibukwabodi.pdf
    32.7 KB · Views: 179
mbona umewashika nyeti zao kwikwikwi ehe ehe,mwaka huu haponi mtu,pamoja na misemo yao ya kelele hazimuzuii mwenye nyumba kulala.
sasa watatoka tu.si unajua nyoka akiingia shimoni wewe weka mafuta ya taa,atatoka bila kelele wala mikwaruzo.sasa kazi kwao

Eeeeh kawashika nyeti tena? sasa walikuwa wamelala au vipi? hahahah

ndio Mkjj zishike hivyo hivyo hizo nyeti usiziwache mpaka tujue moja mwaka huu
 
Bravo MMkijiji,
Walitukebehi kwamba KELELE....HAZIMZUII...
Naona sasa mwisho wa usingizi unakaribia:)

MANAKE HAPATOSHI WALIPO NA KUKURUKA KUJIKOSHA KUSIKO KOSHEKA!!


Mwendo mdundo mpaka kieleweke, TUPO NAWE!
 
haya nyie mpeni misifa mwenzenu, kikiungua mumkaribishe kwenu. Mimi simo. Nakushauri punguza kasi na aendelea na safari yako kwa bibi yako.
 
Hongera sana Mh.Mwanakijiji(Naamini hujali kukuita Mh. Maana viongozi hapa bongo hawastahili heshima hii).Majibu yako pamoja na kunipa mwangaza zaidi kuhusu bodi na wizara hii inaonyesha kiuna ubadhilifu wa hali juu zaidi ya hata tunavyofikiri.Naamini mbali na "double or tripple allocation kuna wanafunzi hewa wengi sana.
 
Hongera sana Mh.Mwanakijiji(Naamini hujali kukuita Mh. Maana viongozi hapa bongo hawastahili heshima hii).Majibu yako pamoja na kunipa mwangaza zaidi kuhusu bodi na wizara hii inaonyesha kiuna ubadhilifu wa hali juu zaidi ya hata tunavyofikiri.Naamini mbali na "double or tripple allocation kuna wanafunzi hewa wengi sana.

nashukuru sana Nyangumi. Na ninashukuru kwa kuniita Mhe. lakini ani kama unavyoniona nilivyo na "mche" hapo pembeni mimi sina uheshimiwa wowote na ni mnyanyua mabox kama wabongo wengine wengi tu.
 
Mwanakijiji, pengine uheshimiwa tunaelewa tofauti.Mimi naelewa kuwa uheshimiwa sio kuvaa suti,tai huku ukiwa jambazi.Uheshimiwa si appearance bali ni behaviour which lead to good or positive performances.
 
nashukuru sana Nyangumi. Na ninashukuru kwa kuniita Mhe. lakini ani kama unavyoniona nilivyo na "mche" hapo pembeni mimi sina uheshimiwa wowote na ni mnyanyua mabox kama wabongo wengine wengi tu.

Eeeh kumbe na wewe mwanzangu unapiga box kama kawa...
 
haya nyie mpeni misifa mwenzenu, kikiungua mumkaribishe kwenu. Mimi simo. Nakushauri punguza kasi na aendelea na safari yako kwa bibi yako.

Inaelekea mpendwa we need to give you "JF holy waters".. utuelewe...Acha kubore!
We are here to WORK.....sio kusogoa na kukatisha wenzetu tamaa...
 
haya nyie mpeni misifa mwenzenu, kikiungua mumkaribishe kwenu. Mimi simo. Nakushauri punguza kasi na aendelea na safari yako kwa bibi yako.

50 cents,hii ndiyo Kasi Mpya!

Acha woga, hii ni nchi yetu wote na tuna uchungu na nchi yetu, hatuwezi kuangalia nchi yetu ikihujumiwa kwa hasara yetu na vizazi vyetu na sisi tunashuhudia.Kama hatuwezi kuchukua hatua basi lazima tupige kelele.

JF inachukulia seriously kauli ya Rais JK ya Kasi Mpya, Ari Mpya na Nguvu Mpya kwa vitendo na si kwa maneno.
 
Ilongo.. Kuhusu Adieli. Adiel na ndugu yake Harrieth (ambao wamekua na kusoma pamoja) wote walikubaliwa mikopo mwaka 2005/2006 kwenda kusoma Ukraine. Kutokana na sababu ambazo bodi ya mikopo peke yake inajua vijana hawa walichelewa kuondoka kwenda kuanza masomo. Kwa vile walitakiwa watafute tiketi zao wenyewe, Harrieth aliweza kupata tiketi na kuondoka na wale vijana wengine kwenda kuanza masomo Ukraine. Adiel yeye mkopo wake "ukahamishiwa" UDSM - haukuwa mkopo mpya. Hilo peke yake lingetosha, lakini bodi yetu hii ikaona haitoshi kumpatia pesa Adiel akiwa UDSM wakamtengea Shs. milioni tatu nyingine Ukraine katika muhula ule ule. Sasa kalipiwa UDSM na zile zilizotengwa kule Ukraine zilienda wapi? Wakati Bodi inasema Adiel alikamilisha taratibu zote, kama kuna mwandishi amtafute na kumuuliza ilikuwaje ashindwe kwenda Ukraine, na anafikiri vipi kuhusu dada yake kukwama Ukraine?
 
Back
Top Bottom