Utaratibu wa Bodi ya Mikopo (HESLB) unatia shaka

NGOSWE2

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
635
547
Utaratibu wanaotumia bodi ya mikopo ya wanafunzi HESLB inaleta maswali mengi sana katika jamii. Utaratibu wa kusema kila mwanafunzi aangalie kwenye akaunti yake inaleta kigugumizi kidogo.

Kwa nini wasitumie utaratibu kama vifanyavyo Vyuo wa kutoa orodha ya majina yote ya waliofanikiwa kupata nafasi ya kujiunga na chuo, na kisha mwanafunzi kuingia kwenye akaunti yake na kukuta maelekezo yote yampasayo kufanya. Kwa nini bodi HESLB haitoi majina ya waliofanikiwa kupata mkopo badala yake wanataka kila mwanafunzi aingie kwenye Akaunti yake ajue alichopangiwa?

Kuna ubaya gani wa kuweka orodha hazarani kama vifanyavyo Vyuo?

Hii idadi ya wanufaika tutajuaje kama ni idadi ya kweli inayotajwa?

Kwa mfumo huo hata kama wamepata watu wachache kuliko idadi inayosemwa ni rahisi kuamini.

Ingekuwa wanafunzi wamekusanywa mahali pamoja na ukawaambia kila mtu aangalie kwenye akaunti yake inaleta maana, lakini si hii ambayo kila mwanafunzi akiwa peke yake.
 
Utaratibu wanaotumia bodi ya mikopo ya wanafunzi HESLB inaleta maswali mengi sana katika jamii. Utaratibu wa kusema kila mwanafunzi aangalie kwenye akaunti yake inaleta kigugumizi kidogo.
Kwa nini wasitumie utaratibu kama vifanyavyo Vyuo wa kutoa orodha ya majina yote ya waliofanikiwa kupata nafasi ya kujiunga na chuo, na kisha mwanafunzi kuingia kwenye akaunti yake na kukuta maelekezo yote yampasayo kufanya. Kwa nini bodi HESLB haitoi majina ya waliofanikiwa kupata mkopo badala yake wanataka kila mwanafunzi aingie kwenye Akaunti yake ajue alichopangiwa?
Kuna ubaya gani wa kuweka orodha hazarani kama vifanyavyo Vyuo?
Hii idadi ya wanufaika tutajuaje kama ni idadi ya kweli inayotajwa?
Kwa mfumo huo hata kama wamepata watu wachache kuliko idadi inayosemwa ni rahisi kuamini.
Ingekuwa wanafunzi wamekusanywa mahali pamoja na ukawaambia kila mtu aangalie kwenye akaunti yake inaleta maana, lakini si hii ambayo kila mwanafunzi akiwa peke yake.
Nakubali mkuu
 
Kwann serikali isiwafadhili au kuwakopesha wachuo wote bila ubaguzi wowote. WHY? muwanyime watanzania mkopo walioomba kisa vigezo vyenu vya kibaguzi mtu vigezo vote vya kumyima mtanzania aliye omba mkopo ni batili na kinyume na haki,Usawa na katiba ya nchi yetu ya kijamaa watu wote ni sawa
 
Nimeona kwa mwaka huu wamelipia kiasi kidogo sana cha ada kwa wanafunzi. Mf nina vijana 4 mtaani wamelipiwa ada 270,000 kwa mwaka na kozi zao zinaanzia mill 1.8 na familia zao ni duni mno. Sijui bodi wametumia vigezo gani.
 
Chukulia wewe umeenda kukopa bank ,then bank wakasambaza taarifa zako za mkopo na kiasi ulichokopa Kwa watu ...ule Ni mkopo Kwa hiyo wanatunza Kwa heshima za watu
 
Hakika sasa naona umuhimu wa kuwaunga mkono wakina Tundu lissu na kina Free man mbowe , yan HESLB wangejua wanachokitengeneza ndani yangu ( moyo wa KIHITLER ) kutokana na hii Hali ya kunikosesha loan wakat vigezo ninavyo... Nawaahidi tu kwamba TIME WILL TELL huko mbeleni ntawakumbusha hii moment I promise.
 
Nimeona kwa mwaka huu wamelipia kiasi kidogo sana cha ada kwa wanafunzi. Mf nina vijana 4 mtaani wamelipiwa ada 270,000 kwa mwaka na kozi zao zinaanzia mill 1.8 na familia zao ni duni mno. Sijui bodi wametumia vigezo gani.
Ni nichangamoto apo wanabid wajibane kwenye bum walipe ada.
 
Hakika sasa naona umuhimu wa kuwaunga mkono wakina Tundu lissu na kina Free man mbowe , yan HESLB wangejua wanachokitengeneza ndani yangu ( moyo wa KIHITLER ) kutokana na hii Hali ya kunikosesha loan wakat vigezo ninavyo... Nawaahidi tu kwamba TIME WILL TELL huko mbeleni ntawakumbusha hii moment I promise.
Mzee bado batch zinaendelea kutoka acha wenge.
 
Utaratibu wanaotumia bodi ya mikopo ya wanafunzi HESLB inaleta maswali mengi sana katika jamii. Utaratibu wa kusema kila mwanafunzi aangalie kwenye akaunti yake inaleta kigugumizi kidogo.

Kwa nini wasitumie utaratibu kama vifanyavyo Vyuo wa kutoa orodha ya majina yote ya waliofanikiwa kupata nafasi ya kujiunga na chuo, na kisha mwanafunzi kuingia kwenye akaunti yake na kukuta maelekezo yote yampasayo kufanya. Kwa nini bodi HESLB haitoi majina ya waliofanikiwa kupata mkopo badala yake wanataka kila mwanafunzi aingie kwenye Akaunti yake ajue alichopangiwa?

Kuna ubaya gani wa kuweka orodha hazarani kama vifanyavyo Vyuo?

Hii idadi ya wanufaika tutajuaje kama ni idadi ya kweli inayotajwa?

Kwa mfumo huo hata kama wamepata watu wachache kuliko idadi inayosemwa ni rahisi kuamini.

Ingekuwa wanafunzi wamekusanywa mahali pamoja na ukawaambia kila mtu aangalie kwenye akaunti yake inaleta maana, lakini si hii ambayo kila mwanafunzi akiwa peke yake.
Abdul Nondo wasaidie hao vijana. Huko HESLB ni shida tupu, kuna usiri unaotia mashaka! wasemee hawa vijana wenzako, wewe ndiyo jukwaa lao please
 
Hela nyingi inazungushwa kwenye Ma Bank kuliko wanayopewa Watoto kwa wakati ndio maana huwezi kuona List ya waliyopata na kiasi kilichotoka hayo utayasikia kwenye magazeti tuu...
 
Back
Top Bottom