kindo kyako
New Member
- Nov 7, 2011
- 3
- 0
Tanzania imelogwa. Hii issue ya board na mikopo ya wanafunzi imekuwa ni ya wanafunzi tu, kwa wenzetu wa nje ni issue ya wazazi na wanafunzi (wananchi wote) Leo mtoto wa mwenzio kakosa loan unatulia kesho zamu ya mwanao na tusikusikie ukilalamika. tuungane tuwaangamize hawa wezi.