Hela ya Esrow Inapofanya kazi..

Hela ya Esrow Inapofanya kazi..

Je mkimfunga hela zitarud[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusisahau KILOMO NDIO UTI WA MGONGO WA Tz. Sio escrow wala kinikia
 
Lkn magu alisema, kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, wataishi kama mashetani! Ee Mungu, kuna binadamu wanaionja pepo kabla hawajafa, ila nawaza now wana maisha ya aina gani!!!! The way hakuna kulala, ILA NIMEMPENDA HUYO BINTI YAKE, ANA MWILI WA KIBANTU
 
Aisee tunapenda updates zao za sasa, mzee masikin saivi anatumia ndoo badala ya choo cha kuflash! Nahisi hata hawa wataanza kula tembere baada ya miaka 2 maan account zinaweza minywa barafu zikafreeze
Mkuu nani anye kwenye ndoo? Wee unacheza na pesa eeh, ile geresha tu usikute analala kwake kama kawa, au hukumsikia kamishna wa madawa ya kulevya kuhusu vigogo wa madawa walioko magerezan? Mkuu kwenye ndoo ntakunya mimi sio wenye pesa kama ruge
 
Huyo Eve collection huwa anafanya kumbu kumbu ya kifo cha mwanae kama sherehe kwa jinsi anavyopamba...watu wana hela jamani
ina maana hana mtoto mwingine au ndio hana uwezo wa kupata mtoto mwingine
 
Kiongozi.saa 4 hii.umepata dinner?
Njaa ya usiku mbaya.unaweza ukapiga yowe chumbani.

Unakwepa kujibu mada.

Usiniulize kuhusu dinner yangu kama wewe haunilishi. Au unataka kuja kunipikia umpokee majukumu mkewangu??

Jifunze kusema ukweli ndugu
 
Aisee tunapenda updates zao za sasa, mzee masikin saivi anatumia ndoo badala ya choo cha kuflash! Nahisi hata hawa wataanza kula tembere baada ya miaka 2 maan account zinaweza minywa barafu zikafreeze
Kuna vyoo kule namaji yapo ..usipende kukariri habari zandoo hakuna tena .
 
Unakwepa kujibu mada.

Usiniulize kuhusu dinner yangu kama wewe haunilishi. Au unataka kuja kunipikia umpokee majukumu mkewangu??

Jifunze kusema ukweli ndugu
Malizia kwanza.bia zako.tutajadiliana kesho.
Unayumba.
Kama mimi nimesema uongo.wewe si useme kweli shida nini?au unalipwa mwenzetu.
 
Magufail akiisoma comment yako anaweza kuihamishia hazi ya nchi nyumbani kwake chato!!
Comment zingine muwe mnajifikiria kwanza kabla ya kupost.
We unafikiri jamaa hajipigii kwa Nafasi yake anajipigia sana.
We jiulize wakati wewe unagombania daladala yeye anapanda usafiri gani?
Wakati wewe unaangaika pa kulala yeye analala wapi?
Wakati wewe unaangaika kupata msosi yeye anakula chakula gani?

Maisha hayako sawa mkuu kila mtu apambane na hali yake.
 
Haters,..wiz nao ni akili,..kama huna guts na uwezo huwez iba,af ruge hajaiba ,.huyo ni muhaya mwenye akil nying,nyi kaeni kuumia roho tu,..mfanya biashara yoyote anatafta mbinu ya kutengeza proft..ruge ali i alert serikal kua tunaibiwa,akajitoa kwa kuuza hsa zake akapewa chake,..hata kama aliiba or walifoj kampun,mwisho wa siku walipewa baraka na hao presidents wa zamani,..so tuache wivu,..wiz ni akili pia,kama boya huwez iba,..dont get it twisted lakin
 
Sio kihivyo, miaka ya 2010 au 11 walikuwa kawaida sana kama mie na wewe, ghafla mambo kama haya..Escrow mkuu sio mchezo!
Acha uongo wew,..we unamjua rugemalila wew,..?huyo mzee anapesa kitambo,..huyo ndo mswahili wa kwanza kuleta heineken bongo enz hzoo,..ana viwanda huyo kitambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom