Hela ya Esrow Inapofanya kazi..

Hela ya Esrow Inapofanya kazi..

ni Shigdaaaa!! sio kwa bata hilo. naona jamaa yupo marekani. ruge ananyea ndoo sasa
 
Jessica rugemalila na Jerome mushumbusi rugemalila. walipata 808,000,000 kwenye kaji mgao ka escrow
 
Hheee kweli muhaya hajawahi kumuacha mtu salama.
 
Cc Mahakama ya mafisadi! Uyo jamaa na Dada make walikula km mia 800mn kila mmoja
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Watu wana pesa toka wamezaliwa usiringanishe Escrow na maisha yao unapotea
 
Jessica rugemalila na Jerome mushumbusi rugemalila. walipata 808,000,000 kwenye kaji mgao ka escrow
Watoto wengi wanaopata pesa kwa dezodezo sometimes huwa wanaishia kuwa ma zezeta tuu yaaani.
 
He has bought even the church leaders using our own cash. Money is evil especially when it stolen from the majority poor.ANEWANUNUWA HATA WACHUNGAJI WA KANISA NA PESA ZETU. PESA NI SHETANI HASWA KAMA ZIMEIBIWA KUTOKA KWA MASIKINI WENGI,
Mama Obama naona imekuuma! pole sana, ila yanalipwa na yatalipwa hapa hapa TZ..
 
Mama Obama naona imekuuma! pole sana, ila yanalipwa na yatalipwa hapa hapa TZ..

Imeniuma sana, hali za watu wengi Tanzania zinasikitisha sana. 50 millions Tanzania ni masikini wa kutupwa, Watanzania 10 billionaires, ndiyo wameushika uchumi wetu. Sio kwa kufanya kazi kwa ngumu, ni either kwa ujanja uliozidi Viongozi wetu ama kwa kushirikiana na Viongozi wetu kutuibia. Umeme ghali ukiwatesa Watanzania wengi. Ghali kushinda mahali popote. Kwa hiyo ni shida za Watanzania wengi ndiyo zimeunda maisha ya Hollywood ya familia chache. UCHUNGU zaidi tulikuwa na kiongozi ambaye angeweza kuzuwia dhuluma kama hizi zisifanyike. Alishindwaje kuchukuwa hatuwa anazozichukuwa Raus Magufuli kwa sasa? Ndiyo maana Watanzania wengi wengependa awaelezee alishindwaje?
 
Imeniuma sana, hali za watu wengi Tanzania zinasikitisha sana. 50 millions Tanzania ni masikini wa kutupwa, Watanzania 10 billionaires, ndiyo wameushika uchumi wetu. Sio kwa kufanya kazi kwa ngumu, ni either kwa ujanja uliozidi Viongozi wetu ama kwa kushirikiana na Viongozi wetu kutuibia. Umeme ghali ukiwatesa Watanzania wengi. Ghali kushinda mahali popote. Kwa hiyo ni shida za Watanzania wengi ndiyo zimeunda maisha ya Hollywood ya familia chache. UCHUNGU zaidi tulikuwa na kiongozi ambaye angeweza kuzuwia dhuluma kama hizi zisifanyike. Alishindwaje kuchukuwa hatuwa anazozichukuwa Raus Magufuli kwa sasa? Ndiyo maana Watanzania wengi wengependa awaelezee alishindwaje?
Cha kushangaza JR anaona sawa tu, na ndio maana kajifanya na kuendelea kuivaa rozari kama vile yeye mtakatifu! Na kwamba sisi hatujuwi tunachoongea, kinacholiza wananchi zaidi ni zile 1.6b za Tiba na Chenge, hawa ni wabunge majimboni, sielewi na siamini wanawatetea wanajimbo kivipi huku wakipokea rushwa kubwa kama hizo! Halafu wanadiriki kabisa kuomba miundo mbinu na maendeleo bungeni huku akaunti zao zimetuna kwa mabilioni na hata kuziita za mboga ua vijisenti! Some guts eehh?! Mafiriauni kabisa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom