Hela ya Esrow Inapofanya kazi..

Hela ya Esrow Inapofanya kazi..

😵🙄😳😱😛😎😕😡🙁😉🙂 mmmhhhxxxyuu vdysaxbmxb amxvkua...
 
ndio ni binti yake
18160347_198027584040136_1885873530688503808_n-jpg.532133

Mmmh shida tupu huyo mtoto wa kihaya! ameolewa huyu dada au single ready to mingle... umefanana nae hatariiiiii....
 
evecreations-jpg.532125
maskini hako kajukuu ka ruge kalifariki gjafla nasikia kaburi lake huko makongo kila siku yanawekwa maua mapyaaa ya rozi kuna oda ya elf 50 daily

Unasemaje???? Daaaahhh kweli hio kufuru

Halafu nasikia mapicha yao yote ya bata wameyatoa hawa watoto

Miaka ile skendo inaanza niliona picha moja jamaa anakula duck na rihana sijui
 
dah maisha hayana kanuni asee leo wanaanza kupitia misukosuko
 
  • Thanks
Reactions: SDG
dah maisha hayana kanuni asee leo wanaanza kupitia misukosuko
just imagine baba yako ,tema mzee labda mgonjwa apelekwe segerea .mi ningekufa pressure.hivi wanakaa mahali na kula kweli.inamuma sana .maisha yana mitihani hata uwe nani hujui mtihani wako utakuja vipi.i feel very sory for ruges family.
 
just imagine baba yako ,tema mzee labda mgonjwa apelekwe segerea .mi ningekufa pressure.hivi wanakaa mahali na kula kweli.inamuma sana .maisha yana mitihani hata uwe nani hujui mtihani wako utakuja vipi.i feel very sory for ruges family.
Mungu aepushe mbali.
 
nguo zake anashona ghali vibaya ila nasikia baba yake alimpa m 800 kwenye mgao wa escrow.

Ndio sio unasikia aliwapa yeye na kaka yake pia m800 kila mmoja. Tulijadili sana humu. Na document za ile kamati ya Zitto zipo.

Ndo nilipowajulia hawa jamaa.

Wako wawili tu kwao?
 
just imagine baba yako ,tema mzee labda mgonjwa apelekwe segerea .mi ningekufa pressure.hivi wanakaa mahali na kula kweli.inamuma sana .maisha yana mitihani hata uwe nani hujui mtihani wako utakuja vipi.i feel very sory for ruges family.
Waaaaacha... mil 800 hv hv??? Aisee wana mijipesa hawa ila nahisi wataishia kuzirudisha kwa njia ya kujitetea.. saa hizi ni usawa wa kutingishwa kama mti pesa zote nimwagika ndo pona yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom