Hela ya Esrow Inapofanya kazi..

Hela ya Esrow Inapofanya kazi..

Cha kushangaza JR anaona sawa tu, na ndio maana kajifanya na kuendelea kuivaa rozari kama vile yeye mtakatifu! Na kwamba sisi hatujuwi tunachoongea, kinacholiza wananchi zaidi ni zile 1.6b za Tiba na Chenge, hawa ni wabunge majimboni, sielewi na siamini wanawatetea wanajimbo kivipi huku wakipokea rushwa kubwa kama hizo! Halafu wanadiriki kabisa kuomba miundo mbinu na maendeleo bungeni huku akaunti zao zimetuna kwa mabilioni na hata kuziita za mboga ua vijisenti! Some guts eehh?! Mafiriauni kabisa...


Tibaijuka nilikuwa namuheshimu sana, mwanamke aliyesoma, na yuko exposed kuja kuungana Na HUYU jamaa kupokea pesa kutoka kwa HUYU jamaa nilichoka. Kenya walimfukuza kazi nikafikiri walimuonea ukabila, lakini sio, nionyeshe rafiki yako nitakuambia nitajuwa tabia yako. . Chenge, sishangai. Yeye ni mmoja wa ngenge, waliofanya of Watanzania kupata shida nyingi. Wako bungeni sio kwa kuwakilisha watu, , ni kupata inside information na kuitumia kuwaibia Watanzania. Chenge angefungwa zamani kwa maovu mengi ya wizi aliyoyafanya ikiwa pamoja na rada. Kikwete akamuacha huru, ili aendekee na kazi ya kuwaibia Watanzania. Account yake iliyoko Isle of Man Grest Britain ambayo aliweka pesa za Rada zaidi ya million dola za kimerekani aliruhusuwa kuendelea nayo Wakati watoto Bariadi jimbo analoliwakilisha watoto wanakunywa maji machafu. Katiba yetu ni mbovu Watu kama Chenge, TIBAIJUKA hawatakiwi kuwa bungeni.
 
Hayo ndo mapambano ya mzazi baba, watoto na mke wanaishi kama malaika
 
Aisee tunapenda updates zao za sasa, mzee masikin saivi anatumia ndoo badala ya choo cha kuflash! Nahisi hata hawa wataanza kula tembere baada ya miaka 2 maan account zinaweza minywa barafu zikafreeze
Huwa hawaeeki ela yote bank mkuu
 
Hizi Picha msimuoneshe magu

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kumsulibisha tajir huwa ni kaz kubwa sana na unaweza hata kufa

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Mi sijaona bata LA kushangaza kwenye picha hizi

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Mi sijaona bata LA kushangaza kwenye picha hizi

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app

Pengine wewe ni mmoja wa matajiri Tanzania. Watanzania wengi wanaishi kwa dola moja, hawakutani na watu kama Rugeramila, maisha hayo wanayaona kwenye movie pekee. Mimi nashangaa sana kwa wewe kutokushangaa.
 
Najiuliza kwanini mm sikuzaliwa fisadi.

Kwasababu MUNGU anakupenda. Pesa za dhuluma mwisho wake huna ni mbaya. Fisadi hana tofauti na muuwaji. Rugemalila tangu aanze biashara Tanzania amewauwa wananchi wengi. Wizi wake unewakosesha huduma Watu wengi, pesa ambazo zilikuwa zinunuwe madawa kajinufaisha yeye na familia yake. Umeme unauzwa ghali, mpaka hositali zetu haziwesi kuhudumiacwagonjwa kwa ukosefu wa pesa, zinaenda kwa familia moja. Wako wengi kama Rugemarila, Ndiyo maana hali ya Watanzania iko hoi.
 
Tupambane na hari zetu sisi vijana

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee Pesa ni Sabuni ya Roho................hawa jama wamekura Raha adadadadadadadadadadededekikiki
 
Kwasababu MUNGU anakupenda. Pesa za dhuluma mwisho wake huna ni mbaya. Fisadi hana tofauti na muuwaji. Rugemalila tangu aanze biashara Tanzania amewauwa wananchi wengi. Wizi wake unewakosesha huduma Watu wengi, pesa ambazo zilikuwa zinunuwe madawa kajinufaisha yeye na familia yake. Umeme unauzwa ghali, mpaka hositali zetu haziwesi kuhudumiacwagonjwa kwa ukosefu wa pesa, zinaenda kwa familia moja. Wako wengi kama Rugemarila, Ndiyo maana hali ya Watanzania iko hoi.
Umesema afya na umeme ulivyoathirika na WIZI wa Rugemalira, nasi tunaongeza, MIUNDO MBINU, USTAWI WA JAMII, ELIMU, UCHUMI...
Huyu RUGEMALIRA anatakiwa arudishe hela zote, atumikie kifungo, ndio arudi kwenye jamii asali vizuri na ile rozari yake, ama sivyo haimsaidii kukataa kwamba hajafanya kosa huku kaivaa rozari...
 
Umesema afya na umeme ulivyoathirika na WIZI wa Rugemalira, nasi tunaongeza, MIUNDO MBINU, USTAWI WA JAMII, ELIMU, UCHUMI...
Huyu RUGEMALIRA anatakiwa arudishe hela zote, atumikie kifungo, ndio arudi kwenye jamii asali vizuri na ile rozari yake, ama sivyo haimsaidii kukataa kwamba hajafanya kosa huku kaivaa rozari...

Wezi wengi siku hizi wanatumia jina la MUNGU kuiba. Kama sio rozari ni bibilia, hawajui MUNGU na wezi hawapatami, Ndiyo maana jajikuta pabaya uzeeni. Mali alizonazo ni za Watanzania. Tusimusahau Chenge, Chenge ametuibia kweli kweli tukiuliza anatukumbusha degree uchwala ya HAVARD.
[
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom