Heko kwa Kufuzu, ila kwa Mpira 'mbovu' tuliocheza na kwa Timu tunayoenda Kukutana nayo, tukifuzu Nusu Fainali mnizamishe Baharini na Jiwe

Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)

Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki Onyango, Beki Tshabalala, Viungo Mkude na Kanoute na Washambuliaji Morrison na Sakho wakionyesha Utoto mwingi na Kunyimana Pasi na kutaka Sifa Binafsi za Kufunga GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza kusema kuwa Safari yetu ndiyo imeishia hapa.

Simba SC inaenda Kukutana na Moja ya Vigogo hivi viifuatavyo Barani Afrika hivyo ninaposema kuwa tunaishia hapa Robo Fainali kutokana na kuwa na Timu mbovu kwa sasa na yenye Kiwango kibovu hasa kwa Mechi za Kimataifa ninamaanisha.....

1. TP Mazembe ( Congo DR )
2. Orlando Pirates ( South Africa )
3. Al Ahly Tripoli ( Libya )

Najua kwa huu Uzi wangu msiotaka Ukweli, wapenda Unafiki na msio na Jicho la Kiufundi la Kimpira hapa mtanitukana na Kunidhihaki kwa kila namna na mpo pia ambao mtasema Mimi ni Yanga SC ila nasisitiza tena kuwa Mafanikio yetu yameishia Jana tu kwa kufika hapa Robo Fainali ya CAFCC lakini nina uhakika wa 100% kwa Simba SC hii ya sasa 'hatutoboi' kamwe hatua ya Nusu Fainali.

Na nakumbusha tu kuwa hizi Mechi za hatua Robo Fainali kati ya moja ya hizo Timu nilizozitaja hapo juu zitachezwa / tutacheza kati ya tarehe 15 hadi 17 Mwezi huu wa April na kurudiana tena kati ya tarehe 22 hadi 24 Mwezi April, 2022.

Timu inashinda kwa Morali tu ya Pesa kwa Ahadi za Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Dewji na Mambo yetu ya 'Kienyeji' hasa ya Nje ya Uwanja ila siyo kwa Kiwango cha Mpira kinachotakiwa na hata Kocha wa Simba SC hana Ubora na Uzuri huo na hatuna Wachezaji wa Kiushindani isipokuwa tunao tu hawa wa Kubahatisha ambao leo Moja wanatufurahisha lakini Mechi zaidi ya Tano ( 5 ) za Ligi au za ASFC au za Kimataifa Wanaharibu na Kurukaruka tu Viwanjani

Ushauri wangu wa mwisho kwakuwa nina uhakika kuwa Simba SC tunaenda kuishia tu hapa Robo Fainali nashauri tujikite tu zaidi huku katika NBC Premier League na kule ASFC ili tubebe Ubingwa ( japo katika Ligi Kuu ya NBC nina wasiwasi kama tutabeba ) na tukifanikiwa basi Uongozi wa Simba SC ufanye Maamuzi Magumu ya Kuachana ( Kuwatema ) Wachezaji wengi Wazawa na hata Wageni ( wasio na Hadhi ya Kuchezea Simba SC kwa sasa ) kisha Tusajili Wachezaji mahiri na wa uhakika kweli kama ambao baadhi yao wapo kwa Watani zetu Yanga SC mfano wa akina Beki Kiraka Yanick Bangala, Kiungo Fundi Khalid Aucho na Mshambuliaji hatari Fiston Mayele ( wa Nje ) na akina Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum Fei Toto ( wa Ndani )

Kila Ia Kheri Mechi yetu na Coast Union FC katika Ligi Kuu ya NBC tarehe 7 April, 2022 na Mechi ya Police Tanzania Wikiendi hii ijayo na tugangamale kweli katika Mechi zetu zote za Ligi Kuu na hata Kombe la ASFC kwani kwa hatua za sasa hakuna Kulala wala Mzaha tena kwani kwa Upinzani mkubwa uliopo na jinsi Yanga SC ilivyo na Kiwango kikubwa na cha Hatari ( huku wakiwa wamejipanga vyema ndani na nje ya Uwanja ) kuna uwezekano pia ambao GENTAMYCINE nauona wa Wao ( Yanga SC ) kubeba Ubingwa ( Makombe ) yote haya na Simba SC yetu ( yangu ) kwa Msimu huu tukabaki na Mafanikio ya Kubeba Kombe la kuishia tu Robo Fainali ya CAFCC.

'Ukweli' huuma, ila ni 'Dawa' inayotibu!!!

Cc: Mzizi wa Mbuyu
Mara zote mnafiki utamjua tu, huwa anaandika kwa kujishuku na kujitetea zaidi. Pili hapa panamuuma sana maaa yeye siyo shabiki wa Simba, kwa hiyo anaumia sana kwa sababu hatua anazofikiaga Simba katika michuano ya kimataifa timu yake huwa ni ndoto kufika huko. Hadi muda huu anaumia sana, kwa sababu anajua Simba imeiacha mbali sana timu yake katika viwango vya ubora Africa na duniani.
 
We si ndo mtu wa makafara?? We si juzikati ulisema sio rahisi simba kushinda ushindi wa kishindo kisa wanacheza usiku zaid ya saa 3 na jini lenu litakua limelala??

Vipi mbona ushindi wa kishindo huo hapo??
Kwani kuna timu na timu za kuzifanyie hayo mauganga mkuu?? Tp mazembe haiwezi pigwa kipapai na kamati yenu ya mambo jadi??
 
Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)

Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki Onyango, Beki Tshabalala, Viungo Mkude na Kanoute na Washambuliaji Morrison na Sakho wakionyesha Utoto mwingi na Kunyimana Pasi na kutaka Sifa Binafsi za Kufunga GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza kusema kuwa Safari yetu ndiyo imeishia hapa.

Simba SC inaenda Kukutana na Moja ya Vigogo hivi viifuatavyo Barani Afrika hivyo ninaposema kuwa tunaishia hapa Robo Fainali kutokana na kuwa na Timu mbovu kwa sasa na yenye Kiwango kibovu hasa kwa Mechi za Kimataifa ninamaanisha.....

1. TP Mazembe ( Congo DR )
2. Orlando Pirates ( South Africa )
3. Al Ahly Tripoli ( Libya )

Najua kwa huu Uzi wangu msiotaka Ukweli, wapenda Unafiki na msio na Jicho la Kiufundi la Kimpira hapa mtanitukana na Kunidhihaki kwa kila namna na mpo pia ambao mtasema Mimi ni Yanga SC ila nasisitiza tena kuwa Mafanikio yetu yameishia Jana tu kwa kufika hapa Robo Fainali ya CAFCC lakini nina uhakika wa 100% kwa Simba SC hii ya sasa 'hatutoboi' kamwe hatua ya Nusu Fainali.

Na nakumbusha tu kuwa hizi Mechi za hatua Robo Fainali kati ya moja ya hizo Timu nilizozitaja hapo juu zitachezwa / tutacheza kati ya tarehe 15 hadi 17 Mwezi huu wa April na kurudiana tena kati ya tarehe 22 hadi 24 Mwezi April, 2022.

Timu inashinda kwa Morali tu ya Pesa kwa Ahadi za Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Dewji na Mambo yetu ya 'Kienyeji' hasa ya Nje ya Uwanja ila siyo kwa Kiwango cha Mpira kinachotakiwa na hata Kocha wa Simba SC hana Ubora na Uzuri huo na hatuna Wachezaji wa Kiushindani isipokuwa tunao tu hawa wa Kubahatisha ambao leo Moja wanatufurahisha lakini Mechi zaidi ya Tano ( 5 ) za Ligi au za ASFC au za Kimataifa Wanaharibu na Kurukaruka tu Viwanjani

Ushauri wangu wa mwisho kwakuwa nina uhakika kuwa Simba SC tunaenda kuishia tu hapa Robo Fainali nashauri tujikite tu zaidi huku katika NBC Premier League na kule ASFC ili tubebe Ubingwa ( japo katika Ligi Kuu ya NBC nina wasiwasi kama tutabeba ) na tukifanikiwa basi Uongozi wa Simba SC ufanye Maamuzi Magumu ya Kuachana ( Kuwatema ) Wachezaji wengi Wazawa na hata Wageni ( wasio na Hadhi ya Kuchezea Simba SC kwa sasa ) kisha Tusajili Wachezaji mahiri na wa uhakika kweli kama ambao baadhi yao wapo kwa Watani zetu Yanga SC mfano wa akina Beki Kiraka Yanick Bangala, Kiungo Fundi Khalid Aucho na Mshambuliaji hatari Fiston Mayele ( wa Nje ) na akina Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum Fei Toto ( wa Ndani )

Kila Ia Kheri Mechi yetu na Coast Union FC katika Ligi Kuu ya NBC tarehe 7 April, 2022 na Mechi ya Police Tanzania Wikiendi hii ijayo na tugangamale kweli katika Mechi zetu zote za Ligi Kuu na hata Kombe la ASFC kwani kwa hatua za sasa hakuna Kulala wala Mzaha tena kwani kwa Upinzani mkubwa uliopo na jinsi Yanga SC ilivyo na Kiwango kikubwa na cha Hatari ( huku wakiwa wamejipanga vyema ndani na nje ya Uwanja ) kuna uwezekano pia ambao GENTAMYCINE nauona wa Wao ( Yanga SC ) kubeba Ubingwa ( Makombe ) yote haya na Simba SC yetu ( yangu ) kwa Msimu huu tukabaki na Mafanikio ya Kubeba Kombe la kuishia tu Robo Fainali ya CAFCC.

'Ukweli' huuma, ila ni 'Dawa' inayotibu!!!

Cc: Mzizi wa Mbuyu
Utatapatapa sanaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣#4
 
Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)

Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki Onyango, Beki Tshabalala, Viungo Mkude na Kanoute na Washambuliaji Morrison na Sakho wakionyesha Utoto mwingi na Kunyimana Pasi na kutaka Sifa Binafsi za Kufunga GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza kusema kuwa Safari yetu ndiyo imeishia hapa.

Simba SC inaenda Kukutana na Moja ya Vigogo hivi viifuatavyo Barani Afrika hivyo ninaposema kuwa tunaishia hapa Robo Fainali kutokana na kuwa na Timu mbovu kwa sasa na yenye Kiwango kibovu hasa kwa Mechi za Kimataifa ninamaanisha.....

1. TP Mazembe ( Congo DR )
2. Orlando Pirates ( South Africa )
3. Al Ahly Tripoli ( Libya )

Najua kwa huu Uzi wangu msiotaka Ukweli, wapenda Unafiki na msio na Jicho la Kiufundi la Kimpira hapa mtanitukana na Kunidhihaki kwa kila namna na mpo pia ambao mtasema Mimi ni Yanga SC ila nasisitiza tena kuwa Mafanikio yetu yameishia Jana tu kwa kufika hapa Robo Fainali ya CAFCC lakini nina uhakika wa 100% kwa Simba SC hii ya sasa 'hatutoboi' kamwe hatua ya Nusu Fainali.

Na nakumbusha tu kuwa hizi Mechi za hatua Robo Fainali kati ya moja ya hizo Timu nilizozitaja hapo juu zitachezwa / tutacheza kati ya tarehe 15 hadi 17 Mwezi huu wa April na kurudiana tena kati ya tarehe 22 hadi 24 Mwezi April, 2022.

Timu inashinda kwa Morali tu ya Pesa kwa Ahadi za Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Dewji na Mambo yetu ya 'Kienyeji' hasa ya Nje ya Uwanja ila siyo kwa Kiwango cha Mpira kinachotakiwa na hata Kocha wa Simba SC hana Ubora na Uzuri huo na hatuna Wachezaji wa Kiushindani isipokuwa tunao tu hawa wa Kubahatisha ambao leo Moja wanatufurahisha lakini Mechi zaidi ya Tano ( 5 ) za Ligi au za ASFC au za Kimataifa Wanaharibu na Kurukaruka tu Viwanjani

Ushauri wangu wa mwisho kwakuwa nina uhakika kuwa Simba SC tunaenda kuishia tu hapa Robo Fainali nashauri tujikite tu zaidi huku katika NBC Premier League na kule ASFC ili tubebe Ubingwa ( japo katika Ligi Kuu ya NBC nina wasiwasi kama tutabeba ) na tukifanikiwa basi Uongozi wa Simba SC ufanye Maamuzi Magumu ya Kuachana ( Kuwatema ) Wachezaji wengi Wazawa na hata Wageni ( wasio na Hadhi ya Kuchezea Simba SC kwa sasa ) kisha Tusajili Wachezaji mahiri na wa uhakika kweli kama ambao baadhi yao wapo kwa Watani zetu Yanga SC mfano wa akina Beki Kiraka Yanick Bangala, Kiungo Fundi Khalid Aucho na Mshambuliaji hatari Fiston Mayele ( wa Nje ) na akina Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum Fei Toto ( wa Ndani )

Kila Ia Kheri Mechi yetu na Coast Union FC katika Ligi Kuu ya NBC tarehe 7 April, 2022 na Mechi ya Police Tanzania Wikiendi hii ijayo na tugangamale kweli katika Mechi zetu zote za Ligi Kuu na hata Kombe la ASFC kwani kwa hatua za sasa hakuna Kulala wala Mzaha tena kwani kwa Upinzani mkubwa uliopo na jinsi Yanga SC ilivyo na Kiwango kikubwa na cha Hatari ( huku wakiwa wamejipanga vyema ndani na nje ya Uwanja ) kuna uwezekano pia ambao GENTAMYCINE nauona wa Wao ( Yanga SC ) kubeba Ubingwa ( Makombe ) yote haya na Simba SC yetu ( yangu ) kwa Msimu huu tukabaki na Mafanikio ya Kubeba Kombe la kuishia tu Robo Fainali ya CAFCC.

'Ukweli' huuma, ila ni 'Dawa' inayotibu!!!

Cc: Mzizi wa Mbuyu
Hiyo mimba inakupeleka puta bibie,tulia ujifungue kwanza
 
Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)

Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki Onyango, Beki Tshabalala, Viungo Mkude na Kanoute na Washambuliaji Morrison na Sakho wakionyesha Utoto mwingi na Kunyimana Pasi na kutaka Sifa Binafsi za Kufunga GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza kusema kuwa Safari yetu ndiyo imeishia hapa.

Simba SC inaenda Kukutana na Moja ya Vigogo hivi viifuatavyo Barani Afrika hivyo ninaposema kuwa tunaishia hapa Robo Fainali kutokana na kuwa na Timu mbovu kwa sasa na yenye Kiwango kibovu hasa kwa Mechi za Kimataifa ninamaanisha.....

1. TP Mazembe ( Congo DR )
2. Orlando Pirates ( South Africa )
3. Al Ahly Tripoli ( Libya )

Najua kwa huu Uzi wangu msiotaka Ukweli, wapenda Unafiki na msio na Jicho la Kiufundi la Kimpira hapa mtanitukana na Kunidhihaki kwa kila namna na mpo pia ambao mtasema Mimi ni Yanga SC ila nasisitiza tena kuwa Mafanikio yetu yameishia Jana tu kwa kufika hapa Robo Fainali ya CAFCC lakini nina uhakika wa 100% kwa Simba SC hii ya sasa 'hatutoboi' kamwe hatua ya Nusu Fainali.

Na nakumbusha tu kuwa hizi Mechi za hatua Robo Fainali kati ya moja ya hizo Timu nilizozitaja hapo juu zitachezwa / tutacheza kati ya tarehe 15 hadi 17 Mwezi huu wa April na kurudiana tena kati ya tarehe 22 hadi 24 Mwezi April, 2022.

Timu inashinda kwa Morali tu ya Pesa kwa Ahadi za Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Dewji na Mambo yetu ya 'Kienyeji' hasa ya Nje ya Uwanja ila siyo kwa Kiwango cha Mpira kinachotakiwa na hata Kocha wa Simba SC hana Ubora na Uzuri huo na hatuna Wachezaji wa Kiushindani isipokuwa tunao tu hawa wa Kubahatisha ambao leo Moja wanatufurahisha lakini Mechi zaidi ya Tano ( 5 ) za Ligi au za ASFC au za Kimataifa Wanaharibu na Kurukaruka tu Viwanjani

Ushauri wangu wa mwisho kwakuwa nina uhakika kuwa Simba SC tunaenda kuishia tu hapa Robo Fainali nashauri tujikite tu zaidi huku katika NBC Premier League na kule ASFC ili tubebe Ubingwa ( japo katika Ligi Kuu ya NBC nina wasiwasi kama tutabeba ) na tukifanikiwa basi Uongozi wa Simba SC ufanye Maamuzi Magumu ya Kuachana ( Kuwatema ) Wachezaji wengi Wazawa na hata Wageni ( wasio na Hadhi ya Kuchezea Simba SC kwa sasa ) kisha Tusajili Wachezaji mahiri na wa uhakika kweli kama ambao baadhi yao wapo kwa Watani zetu Yanga SC mfano wa akina Beki Kiraka Yanick Bangala, Kiungo Fundi Khalid Aucho na Mshambuliaji hatari Fiston Mayele ( wa Nje ) na akina Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum Fei Toto ( wa Ndani )

Kila Ia Kheri Mechi yetu na Coast Union FC katika Ligi Kuu ya NBC tarehe 7 April, 2022 na Mechi ya Police Tanzania Wikiendi hii ijayo na tugangamale kweli katika Mechi zetu zote za Ligi Kuu na hata Kombe la ASFC kwani kwa hatua za sasa hakuna Kulala wala Mzaha tena kwani kwa Upinzani mkubwa uliopo na jinsi Yanga SC ilivyo na Kiwango kikubwa na cha Hatari ( huku wakiwa wamejipanga vyema ndani na nje ya Uwanja ) kuna uwezekano pia ambao GENTAMYCINE nauona wa Wao ( Yanga SC ) kubeba Ubingwa ( Makombe ) yote haya na Simba SC yetu ( yangu ) kwa Msimu huu tukabaki na Mafanikio ya Kubeba Kombe la kuishia tu Robo Fainali ya CAFCC.

'Ukweli' huuma, ila ni 'Dawa' inayotibu!!!

Cc: Mzizi wa Mbuyu

Tuipongeze Simba kwa kuingia robo fainali ya huko mbeleni tuyaache.
 
Ukweli mchungu, wakubali wakatae msimu huu simba ni weupe kwa mambo ya kiufundi tunayoyaona sisi tunaoujua mpira mnayo kazi ya ziada Sana vinginevyo endeleeni kutegemea ushindi wa nje ya uwanja lakini ndani ya uwanja mtakuwa mnapata tabu sana kwa timu zinazofahamu janja zenu mnazofanya nje ya uwanja.

aina ya wachezaji mnaotegemea wawape matokeo asilimia kubwa wamechoka awana mbinu mpya wala kasi uwanjani, wachezaji wa aina hii wataonekana ni wazuri wamapokuwa wamepata msaada wa makafara na figisu nyingine za nje ya uwanja kinyume chake mnalia na kusaga meno.

kufuzu robo fainali wala sio hoja kwa kuwa mlikuwa na advantage ya home ground na mkiitaji ushindi wowote wakati mimosas walikuwa ugenini wakicheza na timu nyingine iliyokuwa inahitaji ushindi ili ifuzu.

kwa mazingira ayo mngeshindwa kuingia robo na uyo kocha wenu alitakiwa afukuzwe maana ingekuwa ameonyesha udhaifu wa hali ya juu wa kimbinu.

Tuipe Simba haki yake, amefika sehemu ambayo wengine wameshindwa kwa miaka minne. Mengine Ni Mambo ya kiufundi.
 
Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)

Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki Onyango, Beki Tshabalala, Viungo Mkude na Kanoute na Washambuliaji Morrison na Sakho wakionyesha Utoto mwingi na Kunyimana Pasi na kutaka Sifa Binafsi za Kufunga GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza kusema kuwa Safari yetu ndiyo imeishia hapa.

Simba SC inaenda Kukutana na Moja ya Vigogo hivi viifuatavyo Barani Afrika hivyo ninaposema kuwa tunaishia hapa Robo Fainali kutokana na kuwa na Timu mbovu kwa sasa na yenye Kiwango kibovu hasa kwa Mechi za Kimataifa ninamaanisha.....

1. TP Mazembe ( Congo DR )
2. Orlando Pirates ( South Africa )
3. Al Ahly Tripoli ( Libya )

Najua kwa huu Uzi wangu msiotaka Ukweli, wapenda Unafiki na msio na Jicho la Kiufundi la Kimpira hapa mtanitukana na Kunidhihaki kwa kila namna na mpo pia ambao mtasema Mimi ni Yanga SC ila nasisitiza tena kuwa Mafanikio yetu yameishia Jana tu kwa kufika hapa Robo Fainali ya CAFCC lakini nina uhakika wa 100% kwa Simba SC hii ya sasa 'hatutoboi' kamwe hatua ya Nusu Fainali.

Na nakumbusha tu kuwa hizi Mechi za hatua Robo Fainali kati ya moja ya hizo Timu nilizozitaja hapo juu zitachezwa / tutacheza kati ya tarehe 15 hadi 17 Mwezi huu wa April na kurudiana tena kati ya tarehe 22 hadi 24 Mwezi April, 2022.

Timu inashinda kwa Morali tu ya Pesa kwa Ahadi za Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Dewji na Mambo yetu ya 'Kienyeji' hasa ya Nje ya Uwanja ila siyo kwa Kiwango cha Mpira kinachotakiwa na hata Kocha wa Simba SC hana Ubora na Uzuri huo na hatuna Wachezaji wa Kiushindani isipokuwa tunao tu hawa wa Kubahatisha ambao leo Moja wanatufurahisha lakini Mechi zaidi ya Tano ( 5 ) za Ligi au za ASFC au za Kimataifa Wanaharibu na Kurukaruka tu Viwanjani

Ushauri wangu wa mwisho kwakuwa nina uhakika kuwa Simba SC tunaenda kuishia tu hapa Robo Fainali nashauri tujikite tu zaidi huku katika NBC Premier League na kule ASFC ili tubebe Ubingwa ( japo katika Ligi Kuu ya NBC nina wasiwasi kama tutabeba ) na tukifanikiwa basi Uongozi wa Simba SC ufanye Maamuzi Magumu ya Kuachana ( Kuwatema ) Wachezaji wengi Wazawa na hata Wageni ( wasio na Hadhi ya Kuchezea Simba SC kwa sasa ) kisha Tusajili Wachezaji mahiri na wa uhakika kweli kama ambao baadhi yao wapo kwa Watani zetu Yanga SC mfano wa akina Beki Kiraka Yanick Bangala, Kiungo Fundi Khalid Aucho na Mshambuliaji hatari Fiston Mayele ( wa Nje ) na akina Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum Fei Toto ( wa Ndani )

Kila Ia Kheri Mechi yetu na Coast Union FC katika Ligi Kuu ya NBC tarehe 7 April, 2022 na Mechi ya Police Tanzania Wikiendi hii ijayo na tugangamale kweli katika Mechi zetu zote za Ligi Kuu na hata Kombe la ASFC kwani kwa hatua za sasa hakuna Kulala wala Mzaha tena kwani kwa Upinzani mkubwa uliopo na jinsi Yanga SC ilivyo na Kiwango kikubwa na cha Hatari ( huku wakiwa wamejipanga vyema ndani na nje ya Uwanja ) kuna uwezekano pia ambao GENTAMYCINE nauona wa Wao ( Yanga SC ) kubeba Ubingwa ( Makombe ) yote haya na Simba SC yetu ( yangu ) kwa Msimu huu tukabaki na Mafanikio ya Kubeba Kombe la kuishia tu Robo Fainali ya CAFCC.

'Ukweli' huuma, ila ni 'Dawa' inayotibu!!!

Cc: Mzizi wa Mbuyu
Sawa, ila unaweza kuwa na timu nzuri, bado usifanye vizuri, kwa hiyo maoni yako ni 50,50.
 
Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)

Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki Onyango, Beki Tshabalala, Viungo Mkude na Kanoute na Washambuliaji Morrison na Sakho wakionyesha Utoto mwingi na Kunyimana Pasi na kutaka Sifa Binafsi za Kufunga GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza kusema kuwa Safari yetu ndiyo imeishia hapa.

Simba SC inaenda Kukutana na Moja ya Vigogo hivi viifuatavyo Barani Afrika hivyo ninaposema kuwa tunaishia hapa Robo Fainali kutokana na kuwa na Timu mbovu kwa sasa na yenye Kiwango kibovu hasa kwa Mechi za Kimataifa ninamaanisha.....

1. TP Mazembe ( Congo DR )
2. Orlando Pirates ( South Africa )
3. Al Ahly Tripoli ( Libya )

Najua kwa huu Uzi wangu msiotaka Ukweli, wapenda Unafiki na msio na Jicho la Kiufundi la Kimpira hapa mtanitukana na Kunidhihaki kwa kila namna na mpo pia ambao mtasema Mimi ni Yanga SC ila nasisitiza tena kuwa Mafanikio yetu yameishia Jana tu kwa kufika hapa Robo Fainali ya CAFCC lakini nina uhakika wa 100% kwa Simba SC hii ya sasa 'hatutoboi' kamwe hatua ya Nusu Fainali.

Na nakumbusha tu kuwa hizi Mechi za hatua Robo Fainali kati ya moja ya hizo Timu nilizozitaja hapo juu zitachezwa / tutacheza kati ya tarehe 15 hadi 17 Mwezi huu wa April na kurudiana tena kati ya tarehe 22 hadi 24 Mwezi April, 2022.

Timu inashinda kwa Morali tu ya Pesa kwa Ahadi za Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Dewji na Mambo yetu ya 'Kienyeji' hasa ya Nje ya Uwanja ila siyo kwa Kiwango cha Mpira kinachotakiwa na hata Kocha wa Simba SC hana Ubora na Uzuri huo na hatuna Wachezaji wa Kiushindani isipokuwa tunao tu hawa wa Kubahatisha ambao leo Moja wanatufurahisha lakini Mechi zaidi ya Tano ( 5 ) za Ligi au za ASFC au za Kimataifa Wanaharibu na Kurukaruka tu Viwanjani

Ushauri wangu wa mwisho kwakuwa nina uhakika kuwa Simba SC tunaenda kuishia tu hapa Robo Fainali nashauri tujikite tu zaidi huku katika NBC Premier League na kule ASFC ili tubebe Ubingwa ( japo katika Ligi Kuu ya NBC nina wasiwasi kama tutabeba ) na tukifanikiwa basi Uongozi wa Simba SC ufanye Maamuzi Magumu ya Kuachana ( Kuwatema ) Wachezaji wengi Wazawa na hata Wageni ( wasio na Hadhi ya Kuchezea Simba SC kwa sasa ) kisha Tusajili Wachezaji mahiri na wa uhakika kweli kama ambao baadhi yao wapo kwa Watani zetu Yanga SC mfano wa akina Beki Kiraka Yanick Bangala, Kiungo Fundi Khalid Aucho na Mshambuliaji hatari Fiston Mayele ( wa Nje ) na akina Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum Fei Toto ( wa Ndani )

Kila Ia Kheri Mechi yetu na Coast Union FC katika Ligi Kuu ya NBC tarehe 7 April, 2022 na Mechi ya Police Tanzania Wikiendi hii ijayo na tugangamale kweli katika Mechi zetu zote za Ligi Kuu na hata Kombe la ASFC kwani kwa hatua za sasa hakuna Kulala wala Mzaha tena kwani kwa Upinzani mkubwa uliopo na jinsi Yanga SC ilivyo na Kiwango kikubwa na cha Hatari ( huku wakiwa wamejipanga vyema ndani na nje ya Uwanja ) kuna uwezekano pia ambao GENTAMYCINE nauona wa Wao ( Yanga SC ) kubeba Ubingwa ( Makombe ) yote haya na Simba SC yetu ( yangu ) kwa Msimu huu tukabaki na Mafanikio ya Kubeba Kombe la kuishia tu Robo Fainali ya CAFCC.

'Ukweli' huuma, ila ni 'Dawa' inayotibu!!!

Cc: Mzizi wa Mbuyu
Kama mpenzi wa Simba, pamoja na kuutaja ukweli wote mchungu na kueleza mapungufu yote uliyoyaona kutoka kwa timu, kocha na mchezaji mmoja MMOJA, Pamoj na msululu wa lawama, BASI HUNA HATA USHAURI MMOJA SIMBA IFANYE NINI ILI IVUKE HATUA HII?
 
Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)

Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki Onyango, Beki Tshabalala, Viungo Mkude na Kanoute na Washambuliaji Morrison na Sakho wakionyesha Utoto mwingi na Kunyimana Pasi na kutaka Sifa Binafsi za Kufunga GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza kusema kuwa Safari yetu ndiyo imeishia hapa.

Simba SC inaenda Kukutana na Moja ya Vigogo hivi viifuatavyo Barani Afrika hivyo ninaposema kuwa tunaishia hapa Robo Fainali kutokana na kuwa na Timu mbovu kwa sasa na yenye Kiwango kibovu hasa kwa Mechi za Kimataifa ninamaanisha.....

1. TP Mazembe ( Congo DR )
2. Orlando Pirates ( South Africa )
3. Al Ahly Tripoli ( Libya )

Najua kwa huu Uzi wangu msiotaka Ukweli, wapenda Unafiki na msio na Jicho la Kiufundi la Kimpira hapa mtanitukana na Kunidhihaki kwa kila namna na mpo pia ambao mtasema Mimi ni Yanga SC ila nasisitiza tena kuwa Mafanikio yetu yameishia Jana tu kwa kufika hapa Robo Fainali ya CAFCC lakini nina uhakika wa 100% kwa Simba SC hii ya sasa 'hatutoboi' kamwe hatua ya Nusu Fainali.

Na nakumbusha tu kuwa hizi Mechi za hatua Robo Fainali kati ya moja ya hizo Timu nilizozitaja hapo juu zitachezwa / tutacheza kati ya tarehe 15 hadi 17 Mwezi huu wa April na kurudiana tena kati ya tarehe 22 hadi 24 Mwezi April, 2022.

Timu inashinda kwa Morali tu ya Pesa kwa Ahadi za Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Dewji na Mambo yetu ya 'Kienyeji' hasa ya Nje ya Uwanja ila siyo kwa Kiwango cha Mpira kinachotakiwa na hata Kocha wa Simba SC hana Ubora na Uzuri huo na hatuna Wachezaji wa Kiushindani isipokuwa tunao tu hawa wa Kubahatisha ambao leo Moja wanatufurahisha lakini Mechi zaidi ya Tano ( 5 ) za Ligi au za ASFC au za Kimataifa Wanaharibu na Kurukaruka tu Viwanjani

Ushauri wangu wa mwisho kwakuwa nina uhakika kuwa Simba SC tunaenda kuishia tu hapa Robo Fainali nashauri tujikite tu zaidi huku katika NBC Premier League na kule ASFC ili tubebe Ubingwa ( japo katika Ligi Kuu ya NBC nina wasiwasi kama tutabeba ) na tukifanikiwa basi Uongozi wa Simba SC ufanye Maamuzi Magumu ya Kuachana ( Kuwatema ) Wachezaji wengi Wazawa na hata Wageni ( wasio na Hadhi ya Kuchezea Simba SC kwa sasa ) kisha Tusajili Wachezaji mahiri na wa uhakika kweli kama ambao baadhi yao wapo kwa Watani zetu Yanga SC mfano wa akina Beki Kiraka Yanick Bangala, Kiungo Fundi Khalid Aucho na Mshambuliaji hatari Fiston Mayele ( wa Nje ) na akina Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum Fei Toto ( wa Ndani )

Kila Ia Kheri Mechi yetu na Coast Union FC katika Ligi Kuu ya NBC tarehe 7 April, 2022 na Mechi ya Police Tanzania Wikiendi hii ijayo na tugangamale kweli katika Mechi zetu zote za Ligi Kuu na hata Kombe la ASFC kwani kwa hatua za sasa hakuna Kulala wala Mzaha tena kwani kwa Upinzani mkubwa uliopo na jinsi Yanga SC ilivyo na Kiwango kikubwa na cha Hatari ( huku wakiwa wamejipanga vyema ndani na nje ya Uwanja ) kuna uwezekano pia ambao GENTAMYCINE nauona wa Wao ( Yanga SC ) kubeba Ubingwa ( Makombe ) yote haya na Simba SC yetu ( yangu ) kwa Msimu huu tukabaki na Mafanikio ya Kubeba Kombe la kuishia tu Robo Fainali ya CAFCC.

'Ukweli' huuma, ila ni 'Dawa' inayotibu!!!

Cc: Mzizi wa Mbuyu
Msiseme mimi ni mwizi 😮
Ila lazima tuibiwe Tv 😁

Yaani nilijuaga GENTA humu ni genious ila sorry saivi nakuona pompoma hivi al ahly hujaona akipigwa nje ndani sembuse hap uliowataja vaa jezi za kijani usijifiche bana 😎
 
Sijaona Mpira wa kutilia shaka kiasi hicho, sijajua wewe umeangalia kwa mtazamo upi.

Timu ipo..huyo Morrison angekuwa wa Genda Marie na jana wangetugalagaza leo hii ndio angekuwa wimbo hapa Bongo...sasa kama Watu kama hao tunao sisi wewe unaogopa nini?.
 
Kweli isemwe mpira wa Hovyo sana Sana...Simba inabidi ijiangalie sana kwenye game plan unashindwa kuelewa wanacheza formation gani...
Ni bahati mbaya kuwa hapa JamiiForums GENTAMYCINE huwa naeleweka na Werevu ( Intelligent ) wachache mno kama Wewe ila huwa sieleweki na nachukiwa na Wapumbavu ( Fools ) wengi ambao katika huu Uzi wangu wamejaa ( wamejitokeza ) tele tu.
 
Amekasirika simba kushinda kisa hakutabiri kuwa hivyo. Alitaka simba itolewe ili iendena na mautabiri yake ya hovyo ili apate sifa humu.
IMG_20220404_104822_081.jpg
 
Shida mnamshambulia mleta mada (Personal attack) badala ya kujibu hoja zake
Kwa Baraka Kubwa za Akili, Upeo na Maarifa mengi kamwe hawatoweza kujibu hizo Hoja zangu au hata kuelewa nilichokiandika ila kilichopo kwa haraka Ubongoni mwao ni Kunishambulia tu utadhani nimelala na Mama zao Wazazi, nikawapalange na kuwaacha Solemba hivyo kwa Hasira zao wameamua kunishtakia kwa hawa Watoto wao ( zao ) ili wamalize Uchungu / Jazba zao Kwangu.
 
Tusheherekee zetu tu kwa Kushinda jana na Kufuzu huko Robo Fainali ya CAFCC na kupata hicho Kitita cha Shilingi Milioni Mia Nane ( 800,000,000/= Tsh)

Ila kwa Mpira mbovu niliouona Jana huku Beki Onyango, Beki Tshabalala, Viungo Mkude na Kanoute na Washambuliaji Morrison na Sakho wakionyesha Utoto mwingi na Kunyimana Pasi na kutaka Sifa Binafsi za Kufunga GENTAMYCINE nakuwa wa Kwanza kusema kuwa Safari yetu ndiyo imeishia hapa.

Simba SC inaenda Kukutana na Moja ya Vigogo hivi viifuatavyo Barani Afrika hivyo ninaposema kuwa tunaishia hapa Robo Fainali kutokana na kuwa na Timu mbovu kwa sasa na yenye Kiwango kibovu hasa kwa Mechi za Kimataifa ninamaanisha.....

1. TP Mazembe ( Congo DR )
2. Orlando Pirates ( South Africa )
3. Al Ahly Tripoli ( Libya )

Najua kwa huu Uzi wangu msiotaka Ukweli, wapenda Unafiki na msio na Jicho la Kiufundi la Kimpira hapa mtanitukana na Kunidhihaki kwa kila namna na mpo pia ambao mtasema Mimi ni Yanga SC ila nasisitiza tena kuwa Mafanikio yetu yameishia Jana tu kwa kufika hapa Robo Fainali ya CAFCC lakini nina uhakika wa 100% kwa Simba SC hii ya sasa 'hatutoboi' kamwe hatua ya Nusu Fainali.

Na nakumbusha tu kuwa hizi Mechi za hatua Robo Fainali kati ya moja ya hizo Timu nilizozitaja hapo juu zitachezwa / tutacheza kati ya tarehe 15 hadi 17 Mwezi huu wa April na kurudiana tena kati ya tarehe 22 hadi 24 Mwezi April, 2022.

Timu inashinda kwa Morali tu ya Pesa kwa Ahadi za Mwekezaji na Rais wa Heshima Mohammed Dewji na Mambo yetu ya 'Kienyeji' hasa ya Nje ya Uwanja ila siyo kwa Kiwango cha Mpira kinachotakiwa na hata Kocha wa Simba SC hana Ubora na Uzuri huo na hatuna Wachezaji wa Kiushindani isipokuwa tunao tu hawa wa Kubahatisha ambao leo Moja wanatufurahisha lakini Mechi zaidi ya Tano ( 5 ) za Ligi au za ASFC au za Kimataifa Wanaharibu na Kurukaruka tu Viwanjani

Ushauri wangu wa mwisho kwakuwa nina uhakika kuwa Simba SC tunaenda kuishia tu hapa Robo Fainali nashauri tujikite tu zaidi huku katika NBC Premier League na kule ASFC ili tubebe Ubingwa ( japo katika Ligi Kuu ya NBC nina wasiwasi kama tutabeba ) na tukifanikiwa basi Uongozi wa Simba SC ufanye Maamuzi Magumu ya Kuachana ( Kuwatema ) Wachezaji wengi Wazawa na hata Wageni ( wasio na Hadhi ya Kuchezea Simba SC kwa sasa ) kisha Tusajili Wachezaji mahiri na wa uhakika kweli kama ambao baadhi yao wapo kwa Watani zetu Yanga SC mfano wa akina Beki Kiraka Yanick Bangala, Kiungo Fundi Khalid Aucho na Mshambuliaji hatari Fiston Mayele ( wa Nje ) na akina Dickson Job, Bakari Mwamnyeto na Feisal Salum Fei Toto ( wa Ndani )

Kila Ia Kheri Mechi yetu na Coast Union FC katika Ligi Kuu ya NBC tarehe 7 April, 2022 na Mechi ya Police Tanzania Wikiendi hii ijayo na tugangamale kweli katika Mechi zetu zote za Ligi Kuu na hata Kombe la ASFC kwani kwa hatua za sasa hakuna Kulala wala Mzaha tena kwani kwa Upinzani mkubwa uliopo na jinsi Yanga SC ilivyo na Kiwango kikubwa na cha Hatari ( huku wakiwa wamejipanga vyema ndani na nje ya Uwanja ) kuna uwezekano pia ambao GENTAMYCINE nauona wa Wao ( Yanga SC ) kubeba Ubingwa ( Makombe ) yote haya na Simba SC yetu ( yangu ) kwa Msimu huu tukabaki na Mafanikio ya Kubeba Kombe la kuishia tu Robo Fainali ya CAFCC.

'Ukweli' huuma, ila ni 'Dawa' inayotibu!!!

Cc: Mzizi wa Mbuyu
Kama Simba Ni mbovu, hao waliotolewa tunawaitaje. Kuna timu mbovu inashinda goli nne bila?

Kimpira kila mfungaji Ni mchoyo, na kilichokosekana KWA simba jana hasa kipindi Cha kwanza Ni utulivu tu . Simba waliweza kuumiliki mchezo vilivyo. Ndiyo maana kipindi cha pili walirudi wakiwa wameshusha presha na kumaliza mechi.

Duniani kila timu huwa bonasi zipo, si dhambi, Ni moja ya njia ya kuchochea ari na kujituma.

Ni ushamba, upumbavu, kutojielewa kudhani kwamba Kuna uchawi, kuhonga waamuzi ndiyo maana Simba inashinda. Simba wanapambana kwa jasho na damu kupata matokeo mazuri.

Kwakweli Ni kukosa heshima, shukrani na uchawi kusema jana simba ilicheza mpira mbovu. MPIRA MBOVU DHIDI YA UPI MZURI WA GENDARMARIE?

Labda useme SIMBA Ni mbovu kwa kutinga robo fainali na akina Asec Mimosas Ni bora ndiyo maana walitolewa.

Hakuna mtu anayeujua mpira atamsajili Mayele kwamba atakusaidia kwa mechi za kimataifa. Kwa NBC premier league hapo sawa na tena anastruggle sana kufunga goli.

Hakuna timu ya kuitisha simba kati ya hao Pirate's, Mazembe nk ishu ni kujipanga, kujifunza na kujua wanataka Nini. Uamuzi wa kupata matokeo bora robo fainali uko mikononni kwa Simba.

Wachache Walio bora kati ya wengi ndiyo wamefuzu kwa robo fainali , hivi ndivyo watu positive hufikiri. Zaidi sasa ukishafuzu Ni kujipanga,kucheza kwa Ari na mipango madhubuti.Naamini kabisa hao unaowaogopa hata wao wanaogopa kukutana na Simba.
Hivi mtu mwenye akili timamu anayeujua mpira anawezaje kusema Simba Ni MBOVU? Kuna lugha nyingine mtu anaweza kuitumia lkn si kusema Simba Ni mbovu.

SIMBA ingetolewa Jana sijui leo ungeleta bandiko la aina gani km wamefuzu na umekuwa MCHAWI kiasi hiki.

Nakumbuka tangu mechi na RED ARROWS umekuwa ukipost uchawi tu, yaani huna hela wakishinda huna hela wakifungwa.

HAKUNA timu isiyo na weakness ktk eneo Fulani, ndiyo maana Kuna kusajili Kuna kuacha. Ila kwa wakati huu ni kushauri kwa mechi zinazokuja nini lifanyike kupata ushindi. Hao Mazembe siyo kwamba Ni bora Sana, Kuna wakati ubora haukusaidii bali mbinu na kujua unataka Nini.

SIMBA ikitolewa Ni matokeo tu ya mpira lkn si kwamba Ni timu mbovu. Hakuna timu mbovu inaweza kucheza makundi sembuse robo fainali.
 
Simba itacheza na Al Ahaly Tripol kwa Tanzania simba itashinda 3 kwa 1 na kule kwao Al Ahal atashinda 2 kwa 1
 
Sawa, lengo letu limetimia lakini la kufika robo fainali. Hata tukitolewa poa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom