Utabiri: Robo Fainali CAFCL, Nusu Fainali Mpaka Mshindi wa CAFCL

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,586
17,694
Baada ya kuona Matokeo ya droo ya Timu zitakazocheza Robo Fainali hapa ni Utabiri wangu wa mechi za robo fainali..

kwa timu za Tanzania Yanga atajitutumua atatoa Droo Nyumbani ila Atafungwa Ugenini hivyo kuyaaga mashindano hayo..

Wakati huo Simba atafunga goal nyingi Nyumbani,Ila atafungwa akiwa cairo wingi wa magoal (Aggregate) Utambeba na hivyo kusogea Nusu Fainali..

Asec atafungwa na ES Tunis, Hivyo ES tunis Kupata nafasi ya kuingia Nusu Fainali pamoja na Masandawana..

Huku na huku Mazembe atamchapa Petro na kuingia Nusu fainali huku watashindana mazembe na Simba nusu fainali na Simba ataibuka Mshindi na kwenda kucheza Fainali na Mamelodi..

Japo atakuwa mshindi wa pili mamelod masandawana akichukua CAFCL.

1710250129403.png(1).jpg
 
Baada ya kuona Matokeo ya droo ya Timu zitakazocheza Robo Fainali hapa ni Utabiri wangu wa mechi za robo fainali..

kwa timu za Tanzania Yanga atajitutumua atatoa Droo Nyumbani ila Atafungwa Ugenini hivyo kuyaaga mashindano hayo..

Wakati huo Simba atafunga goal nyingi Nyumbani,Ila atafungwa akiwa cairo wingi wa magoal (Aggregate) Utambeba na hivyo kusogea Nusu Fainali..

Asec atafungwa na ES Tunis, Hivyo ES tunis Kupata nafasi ya kuingia Nusu Fainali pamoja na Masandawana..

Huku na huku Mazembe atamchapa Petro na kuingia Nusu fainali huku watashindana mazembe na Simba nusu fainali na Simba ataibuka Mshindi na kwenda kucheza Fainali na Mamelodi..

Japo atakuwa mshindi wa pili mamelod masandawana akichukua CAFCL.

View attachment 2932768
Umekaa kirahisi rahisi unajaribu kufanya kazi ya Mungu !!??

Kujua ya mbele?

Acha hizo bana
 
Kilichoifanya Simba kutokutinga nusu fainali mwaka jana ni ushindi kiduchu wa nyumbani, naimani watakuwa wamejifunza kitu.
 
Baada ya kuona Matokeo ya droo ya Timu zitakazocheza Robo Fainali hapa ni Utabiri wangu wa mechi za robo fainali..

kwa timu za Tanzania Yanga atajitutumua atatoa Droo Nyumbani ila Atafungwa Ugenini hivyo kuyaaga mashindano hayo..

Wakati huo Simba atafunga goal nyingi Nyumbani,Ila atafungwa akiwa cairo wingi wa magoal (Aggregate) Utambeba na hivyo kusogea Nusu Fainali..

Asec atafungwa na ES Tunis, Hivyo ES tunis Kupata nafasi ya kuingia Nusu Fainali pamoja na Masandawana..

Huku na huku Mazembe atamchapa Petro na kuingia Nusu fainali huku watashindana mazembe na Simba nusu fainali na Simba ataibuka Mshindi na kwenda kucheza Fainali na Mamelodi..

Japo atakuwa mshindi wa pili mamelod masandawana akichukua CAFCL.

View attachment 2932768
Anayepinga huu utabiri basi aweke utabiri wake tupambanishe manabii wa jf sport 😂😂
 
Timu zote za Tanzania zinafia robo fainali. Simba atakufa nyumbani na ugenini
Uto atamfunga sundown nyumbani lakini ugenini atakufa nyingi
 
Ahly hataki kabisa kukutana na Simba Sc, last time kaja Dsm na sufuria kwa uoga sijui this time atakuja na nini ....
 
Back
Top Bottom