Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 355
- 770
Wakati tunazungumzia mechi ya Yanga na Mamelodi siku ya jumamosi tusisahau pia Simba ni timu yetu nayo inacheza robo fainali ya klabu bingwa Afrika siku ya ijumaa.
Tuzipe umuhimu sawa maana zote zinawakilisha nchi yetu.
Viva Simba SC, viva Yanga S.C viva
Tuzipe umuhimu sawa maana zote zinawakilisha nchi yetu.
Viva Simba SC, viva Yanga S.C viva