PreGE2025 Heche awataka wananchi kuunga mkono msimamo wa 'No Reforms No Election'

PreGE2025 Heche awataka wananchi kuunga mkono msimamo wa 'No Reforms No Election'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kuna taarifa kwamba Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameandaa kundi la vijana wakavamie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 24.4.2025. Baadhi ya vijana 105 amewalipia nauli kutoka Kanda ya Serengeti. Vijana wengine anawaandaa hapa Dar es salaam, Tetesi zinasema atawapa silaha.

Nashauri vyombo vya dola viwe mbele ya matukio kwa kumkamata na kumuhoji John Heche pamoja na Lemma.

Pia nashauri Mahakama iendeshe kesi hiyo kwa njia ya mtandao ili shughuli za jiji zisiingiliwe na wahuni
Mimi hata sishangai ujinga ulioandika. Kama watu wazima wa serikali ya CCM wanafanya ufala mwingi, hatutegemei cha maana kutoka kwako
 
Swali lako very irrelevant, naongelea wakati wa kesi ya kubambikiziwa ugaidi.
Na mimi nimeulizia maandamano aliyoitisha mbowe yafanyike nchi nzima ila akatoka peke yake na mtoto wake wakakamatwa siku hiyo wewe ulikua wapi?
 
Kuna taarifa kwamba Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameandaa kundi la vijana wakavamie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 24.4.2025. Baadhi ya vijana 105 amewalipia nauli kutoka Kanda ya Serengeti. Vijana wengine anawaandaa hapa Dar es salaam, Tetesi zinasema atawapa silaha.

Nashauri vyombo vya dola viwe mbele ya matukio kwa kumkamata na kumuhoji John Heche pamoja na Lemma.

Pia nashauri Mahakama iendeshe kesi hiyo kwa njia ya mtandao ili shughuli za jiji zisiingiliwe na wahuni
We kweli mjinga wapi aneandaa watu?
Amesema watu waende Kwa wingi kusikiliza, so kwenda napo ni kuvamia? Aisee

Hivi lini mtaacha ujinga hii nchi angalau ipige hatua?
Au mpk mkose hizo pesa mnazokula za walipa Kodi?

Ila muda utaongea
 
Na mimi nimeulizia maandamano aliyoitisha mbowe yafanyike nchi nzima ila akatoka peke yake na mtoto wake wakakamatwa siku hiyo wewe ulikua wapi?
Where i was wakati wa hayo maandamano ni irrelevant.
Since tunaongelea masuala ya mahakama na wanaotaka kujitokeza na waliojitokeza back then
 
Where i was wakati wa hayo maandamano ni irrelevant.
Since tunaongelea masuala ya mahakama na wanaotaka kujitokeza na waliojitokeza back then
Kwa uoga uliouonyesha wa kutokujitokeza kwenye maandamano na kumuacha Mbowe aandamane peke yake na mtoto wake peke yao vipi utaweza kujitokeza siku ya mahakama?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kwa uoga uliouonyesha wa kutokujitokeza kwenye maandamano na kumuacha Mbowe aandamane peke yake na mtoto wake peke yao vipi utaweza kujitokeza siku ya mahakama?
Huna point, unahangaika sana kutaka kujua niko wapi which is irrelevant hapa, huwez kuwepo sehem zote muda wote. But nimeudhurua kesi nyingi sana kuliko unavyodhan.

So get a grip son
 
Kuna taarifa kwamba Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameandaa kundi la vijana wakavamie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 24.4.2025. Baadhi ya vijana 105 amewalipia nauli kutoka Kanda ya Serengeti. Vijana wengine anawaandaa hapa Dar es salaam, Tetesi zinasema atawapa silaha.

Nashauri vyombo vya dola viwe mbele ya matukio kwa kumkamata na kumuhoji John Heche pamoja na Lemma.

Pia nashauri Mahakama iendeshe kesi hiyo kwa njia ya mtandao ili shughuli za jiji zisiingiliwe na wahuni
Aise tumelaaniwa sana hili Taifa. Hawa ndiyo wana CCM ambao kesho kutwa watachukua fomu za kugomea uongozi. Wapinzani wao wakatwe, wao wapite bila kupingwa wawe wabunge, then mawaziri na manaibu Waziri. And, tunadhani hili taifa linaweza likasogea.
 
Huna point, unahangaika sana kutaka kujua niko wapi which is irrelevant hapa, huwez kuwepo sehem zote muda wote. But nimeudhurua kesi nyingi sana kuliko unavyodhan.

So get a grip son
Kuhudhuria kesi ni jambo la kawaida kila mtu anahudhuria vipi kwenye maandamano ya mabadiliko kwanini hauhudhurii?
 
Kuhudhuria kesi ni jambo la kawaida kila mtu anahudhuria vipi kwenye maandamano ya mabadiliko kwanini hauhudhurii?
Unakumbuka swali la kwanza ulilouliza? Umetoka kwenye kuhudhuria kesi unaenda kwenye maandamano? Seriously
Watu wanaenda kuandamana kisutu?
 
Kuna taarifa kwamba Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameandaa kundi la vijana wakavamie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 24.4.2025. Baadhi ya vijana 105 amewalipia nauli kutoka Kanda ya Serengeti. Vijana wengine anawaandaa hapa Dar es salaam, Tetesi zinasema atawapa silaha.

Nashauri vyombo vya dola viwe mbele ya matukio kwa kumkamata na kumuhoji John Heche pamoja na Lemma.

Pia nashauri Mahakama iendeshe kesi hiyo kwa njia ya mtandao ili shughuli za jiji zisiingiliwe na wahuni
Atiwe nguvuni mara moja
 
Back
Top Bottom