Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Habari za chini ya kapeti zinaelezwa kuwa Ofisi ya Bwana Mkulo haina fedha. Imefulia na hali ya nchi kifedha ni tete.
Wakati huo wahisani hawana habari na wala hawataki kusikia nchi iliyotumia mamilioni ya pesa kutundika mabango ya kampeni ya JK, kuchakachua matokeo na upuuzi mwingine uliogharimu mabilioni ya pesa za kodi za wananchi eti leo inalia njaa.
Habari ndiyo hiyo.
Wakati huo wahisani hawana habari na wala hawataki kusikia nchi iliyotumia mamilioni ya pesa kutundika mabango ya kampeni ya JK, kuchakachua matokeo na upuuzi mwingine uliogharimu mabilioni ya pesa za kodi za wananchi eti leo inalia njaa.
Habari ndiyo hiyo.