Utasikia na BOT wanakwambia hawana hela hii nchi haina mwenyewe sasa hivi
hii kitu inaukweli..leo katika pitapita zangu nilibahatika kukutana na branch manager tawi moja la NMB akilumbana na mhasibu wa halmashauri aliyetaka kujua kulikoni mbona pesa za mishahara haipo na account inasoma negative? majibu aliyompa ndio yaliyonifanya niamini kwamba kile nilichokisoma humu kwenye jamvu ni kweli...alimwambia Account ya same iterm Hazina ndogo iko nil sembuse yako ya halmashauri..hii ni hatari.
WAna JF , kuna uvumi kuwa HAZINA IMEKAUKA, na BUDGET ZILIZOPITISHWA ZINATAKIWA KUKATWA KWA ASILIMIA NYINGI. Hizi taarifa zimezagaa kila kona nchini......Je, watoto wetu watasoma tena wakati tunalipa ada kwa installments? Je, familia zetu zitaendelea kuwepo?
tafadhali mwana jamii yeyote mwenye news atujuze.
Si wachapishe hela? Tena sasa hivi zipo mpya...
hii kitu inaukweli..leo katika pitapita zangu nilibahatika kukutana na branch manager tawi moja la NMB akilumbana na mhasibu wa halmashauri aliyetaka kujua kulikoni mbona pesa za mishahara haipo na account inasoma negative? majibu aliyompa ndio yaliyonifanya niamini kwamba kile nilichokisoma humu kwenye jamvu ni kweli...alimwambia Account ya same iterm Hazina ndogo iko nil sembuse yako ya halmashauri..hii ni hatari.
heala kamaliza JK kuweka vocha kwa ajili ya kutuma meseji