Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
WAna JF , kuna uvumi kuwa HAZINA IMEKAUKA, na BUDGET ZILIZOPITISHWA ZINATAKIWA KUKATWA KWA ASILIMIA NYINGI. Hizi taarifa zimezagaa kila kona nchini......Je, watoto wetu watasoma tena wakati tunalipa ada kwa installments? Je, familia zetu zitaendelea kuwepo?
tafadhali mwana jamii yeyote mwenye news atujuze.
TRA kila siku wanakusanya, Hazina haiwezi kwisha labda vipaumbele ndivyo vimebadilika