Haya sasa hawa ndo ACACIA!

Haya sasa hawa ndo ACACIA!

WEWE NDYO HUNA AKL KILA KITU UNAPINGA TUAMBIE UNACHOKIJUA ILI IWE NI BADALA YA HIKI UNACHOITA WEWE NI UWONGO. MAANA KWA UJUAJI WENU HATA DAKTARI AKIKUAMBIA UNA KANSA UTASEMA UNA JIPU NA UTABISHANA NAYE SANA TU
Hapana mzee. Si kweli! Yaani wewe na ccm yenu msaini mikataba mahotelini huku mnakula bagger Leo hii niwaonee huruma Mzee? Sijawa zuzu kiasi hicho Mzee

Sent from my VFD 500 using JamiiForums mobile app
 
Heri ya Lowassa yeye alipinga sana. Hoja za kitoto Hizo. Werevu watakuambia kila zama na kitabu chake. Mengine siasa uchwara tu. Piga kazi. Kuwa mzalendo. Acha majungu.
Ccm ni wajanja sana yaani mnashiriki kuangamiza Taifa kwa kutumia kivuli cha uzalendo. Labda hilo neno la uzalendo limekuwa na maana tofauti siku hizi.
 
Jamani hapa mimi sioni majadiliano yoyote. Kuna madai ambayo yana ushahidi. Issue hapa si nani ataongea lugha gani. Issue ni kulipa hela zetu na kuweka mikataba sawa kwa siku za usoni au wasepe. Mara zote mtu akienda kwenye kesi kama hizi unakuwa umejicholea msitari wako kwamba hapa ni mwisho na ni kitu ambacho mi sina wasiwasi nacho. Kina Prof. Kabudi hawashindwi hilo.
Acha uchochezi papaa
 
Sawa wameingia mikataba mibovu na haya yote sababu ni wao na vita ndo ishaanza......Mi nawauliza swali moja tu ninyi watu....!
Mpo upande gani kwenye hii vita..?? TZ / ACACIA...??
Hatuwezi kupigana vita kibashite bashite. Lissu ameshauri vizuri sana. Kwanza turudi kwenye mikataba yetu na sheria tuzibadilishe haraka iwezekanavyo. Pili waliohusika wote na haya masuala kuanzia marais wa awamu zilizopita wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. Ikiwezekana shughuli zote za uchimbaji wa madini kwenye migodi yote zisimamishwe mpaka mambo haya yatakapowekwa sawa.
 
Hatuwezi kupigana vita kibashite bashite. Lissu ameshauri vizuri sana. Kwanza turudi kwenye mikataba yetu na sheria tuzibadilishe haraka iwezekanavyo. Pili waliohusika wote na haya masuala kuanzia marais wa awamu zilizopita wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. Ikiwezekana shughuli zote za uchimbaji wa madini kwenye migodi yote zisimamishwe mpaka mambo haya yatakapowekwa sawa.


Ndo mtakua mmerudisha kilichoibiwa,..?? Hayo yote ulosema mmeambiwa yatafanyika na pesa zitarudi...!! Msichotaka kipi..??
 
Wanabodi kuna hiyo kitu hapo. Je, tutachomoka wakituletea hao wataalamu kwenye mazungumzo?
95b74b177c2be5a1b1edae75c7117160.jpg
Ungeweka angalau kwa uchache mifano mitatu ya mazungumzo waliyofanya na matokeo yake. Tofauti na hivyo ni habari ya kufikirika.
 
Sidhani kama kuna mazungumzo zaidi.Walikwisha ongea na Mh. Rais na wamekubali kutulipa kama nimemulewa Mh.Rais vizuri.....sasa mazungumzo ya nini tena.
Hahahahaha wengi mmechotwa na Magufuli kumbe. Tatizo nini lugha ya kwa malkia ama.?
 
Wapumbavu pekee ndiyo wanaoliombea taifa hili lisifanikiwe.
....Uliopitiliza ni ule wa kutunga na kupitisha sheria mbovu kwa mwendo wa ndiyooo, na kusaini mikataba kichwa kuchwa tena hotelini, possibly umeshapasha na wine kidogo, halafu eti utegemee kwamba hutaibiwa. Halafu mbaya zaidi mkipewa angalizo hamtaki, halafu sasa ndo mnataka muungwe mkono wakati ten percent mmechikichia.

Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
 
Boss Kipapatiro Wadau naombeni maana na utofauti kati ya Ubobezi na Uelewa. Na je unaweza ukawa Mbobezi na Usiwe Muelewa?

My Take: Hii kitu tusiikuze kihivyo. Makanikia ni asilimia ndogo sana kuliko wanachozalisha. Wao wakileta hao sijui Wabobezi au Wataamu sijui mbinu hizi na zile. Sisi tupeleke Wataalamu wenye Uelewa. Ukubwa wa Pua si Wingi wa Makamasi.

Wanabodi kuna hiyo kitu hapo. Je, tutachomoka wakituletea hao wataalamu kwenye mazungumzo?
95b74b177c2be5a1b1edae75c7117160.jpg
 
Back
Top Bottom