tentemente
Senior Member
- May 30, 2015
- 149
- 138
Kwani sisi hatuwezi kuzungumza? Wapo wakina profesa mruma na mwenzake ossoro waende wakajitetee kama waliandika uongo haituhusu.tunachotaka trilioni 108 kila mtu akajichukulie Noah yake
Kama makinikia tu ni 108 trilioni (5%) je hiyo 95% itakuwa ni ngapi?
Nkapa na JK ni nchi tajiri sana