Haya sasa hawa ndo ACACIA!

Kwani sisi hatuwezi kuzungumza? Wapo wakina profesa mruma na mwenzake ossoro waende wakajitetee kama waliandika uongo haituhusu.tunachotaka trilioni 108 kila mtu akajichukulie Noah yake

Kama makinikia tu ni 108 trilioni (5%) je hiyo 95% itakuwa ni ngapi?
Nkapa na JK ni nchi tajiri sana
 
Lete CVs zao tuwajue. Mlianza kutabiri Acacia kukimbilia mahakamani, mkashindwa. Sasa mmehamia kwenye psychological warfare, Nakuhakikishia mamluki ninyi mtashindwa pia.
273b6e6d7f1fc96462f14faa14e195ce.jpg
 
Mkuu,elewa huu mchezo vizuri,rais ameweka tuhuma katika msingi wa uongo wa tume za maprofesa Osorro na Mruma,leo hii unasema unataka uweke wataalam wapambane na hao watu ambao watasimama kwenye msingi halisi wa kile kilichopo.Kikubwa hapo mkuu wa nchi aendelee kukubaliana na Lissu kwakufuata process za kisheria ili ajiondoe kwa usalama nakufanya kile ambacho kitatufanya tusiwe kama Zimbabwe.MIGA na mikataba mingine baina ya nchi na nchi inabidi tujivue,lasivyo hata hayo makinikia ambayo yamezuiwa hapo bandarini yatatugharimu,na pesa zitakazotumika kuwalipa hao watu,ni za sisi walipa kodi,rais atabaki anawalaumu maprofesa tu kama anavyolaumu PhD 7 zilzopo BOT ambazo hazina tija jwa wananchi.Kwanza hujiulizi kwanini amekamata makinikia nakuacha madini yakisafirishwa nje ya nchi,unabidi tuwe makini na huu ushangiliaji unaofanywa na wana-CCM ambao wengi wao elimu zao ni ndogo na wenye elimu kubwa hawako kiuweledi zaidi yakumfurahisha mkuu.Ngoja tusubiri mwisho wa hili sakata.
Kwan nn tume ya akina mruma na mwenzake hamuiamin,,na mnaamin kila analosema lissu?? Tuhuma ni kusafirisha mchanga wenye madini tofauti tofauti lakin hamuamin,sawa je kama mtu kasafirisha kilicho tofauti na mkataba anatakiwa afanywe nini?kwa hyo akili yako unaiaminisha kwamba wanasheria hawana kiwango cha kuchunguza mikataba inasemaje kisheria,na unaamin wale wabobez wa miamba na madin hawana uwezo huo ila tu wanamdanganya rais?? Kwamba lissu kasema hiv ndio sahihi ila Osaro kasema hili ni uongo??
 
Sidhani kama kuna mazungumzo zaidi.Walikwisha ongea na Mh. Rais na wamekubali kutulipa kama nimemulewa Mh.Rais vizuri.....sasa mazungumzo ya nini tena.
 
Imethibitika, team itakayoenda kuzungumza na watu akashia itakua na wazalendo wafuatao

1. Paul makonda
2. Kibajaji
3. Lisu
4. Prof mruma
5. Prof maji marefu
 
WA TZ bhn nchi ya kwenu, Mali za kwenu, Acacia wako kwenu, Wameiba mali yenu, Nashangaa sana mnavyosambaza woga kwa wananchi., Ili iweje..?? Kama mtu kaamua na kasema anaweza mpeni walau support bhas....

Sipati picha km TZ leo hii ikiingia vitani sidhani kama kutakua na wazalendo wa kufia nchi hii....!?? Yaan hatuna umoja hata kidogo..!! Muda mwingine hua naona bora chama kimoja tu kingebaki, Upinzani walifanya vizuri lkn kwa hii sumu walowapa wananchi nawalaumu sana..!!
CCM wamewatenga sana wananchi na maendeleo sababu ya ulafi wao so waonyeshe uzalendo wao vita itakapotokea ili angalau wananchi wapate imani. Haiwezekani upiganie nchi huku wanaofaidi ni wale wale tangu Uhuru.
 
Wanabodi kuna hiyo kitu hapo. Je, tutachomoka wakituletea hao wataalamu kwenye mazungumzo?
95b74b177c2be5a1b1edae75c7117160.jpg
Waafrica kwa kukata tamaa wazima. Hisusan watanzania. Inshu haijaanza wenye akili ya mgando wameanza kuweweseka. Badilikeni wandugu. Inshu hii ni rahisi sana. Wala haliitaji nguvu.
 
Sisi ni watanzania kama wewe tofauti ni upeo tu wa kuelewa masuala haya. Nakupa mfano mdogo sana Acacia na barrick thamani ya kampuni yote haifiki trilioni tsh. 50 wewe unataka ulipwe tsh. Trilioni 108 .huu kama si ukichaa ni nini?


Kwani sisi tunataka kujua thamani y utajiri wao..?? Kama madini walotuibia miaka yote yameshindwa kuwatajirisha hiyo ni juu yao. Ikithibitika wametuibia watulipe, watajua wao watatoa wapi pesa sio kazi yetu hiyo....!! Na usidanganyike na figure za mtandaoni,, They are worthy more than that but why should they let you know...??
 
WA TZ bhn nchi ya kwenu, Mali za kwenu, Acacia wako kwenu, Wameiba mali yenu, Nashangaa sana mnavyosambaza woga kwa wananchi., Ili iweje..?? Kama mtu kaamua na kasema anaweza mpeni walau support bhas....

Sipati picha km TZ leo hii ikiingia vitani sidhani kama kutakua na wazalendo wa kufia nchi hii....!?? Yaan hatuna umoja hata kidogo..!! Muda mwingine hua naona bora chama kimoja tu kingebaki, Upinzani walifanya vizuri lkn kwa hii sumu walowapa wananchi nawalaumu sana..!!
Kuna kitu watu wa ccm either hawakijui au wanakikwepa kwa makusudi....

Wao ndio vinara wa kutokomeza uzalendo na kuleta utengano.

Shutuma za kuwaita wapinzani sio wazalendo hizo ni kelele kuwafanya mazombi yenu yawaelewe lakini kiuhalisia nyie ndio mmekosa uzalendo(mfano wake ni mwizi akikamatwa kaiba(uhalisia) lakini kwa mdomo wake anasema yeye sio mwizi)

Kama kweli ccm wana nia ya dhati ya kuleta umoja na mshikamano wangekuwa wanapinga hoja za wapinzani kwa hoja za kizalendo na sio kwa matusi na shutuma.

Kauli mbovu zinazoleta utengano ni

1. Spika washughulikie huko ndani na wakija huku nje ntawashughulikia.
2. Wamehongwa hao, sio wazalendo.
3. Mkiwachagua wataleta vita
4.wapinzani ni mafisadi
5. Hawaitakii nchi mema
6.. 7... 8...

Sasa kwa mtazamo huo lazima wapinzani wawe wapinzani kwakuwa kila jema wanalowaeleza mnalipokea kwa jazba na tuhuma...... hapo tegemea kutokomeza uzalendo daima na itachukua muda sana kuujenga upya.

Chanzo ni chama tawala CCM.

ova 'n' out
 
Na sisi tuna mbinu zetu ....tukibaini kwenye hiyo timu ya mazungu kuna mashoga...tunaanza nayo kwanza.
 
Wanabodi kuna hiyo kitu hapo. Je, tutachomoka wakituletea hao wataalamu kwenye mazungumzo?
95b74b177c2be5a1b1edae75c7117160.jpg
Waafrica kwa kukata tamaa wazima. Hususan watanzania. Inshu haijaanza wenye akili ya mgando wameanza kuweweseka. Badilikeni wandugu. Inshu hii ni rahisi sana kwann watanzania tunaweweseka kiasi hichi
 
Kwan nn tume ya akina mruma na mwenzake hamuiamin,,na mnaamin kila analosema lissu?? Tuhuma ni kusafirisha mchanga wenye madini tofauti tofauti lakin hamuamin,sawa je kama mtu kasafirisha kilicho tofauti na mkataba anatakiwa afanywe nini?kwa hyo akili yako unaiaminisha kwamba wanasheria hawana kiwango cha kuchunguza mikataba inasemaje kisheria,na unaamin wale wabobez wa miamba na madin hawana uwezo huo ila tu wanamdanganya rais?? Kwamba lissu kasema hiv ndio sahihi ila Osaro kasema hili ni uongo??
Tume yakina Mruma haina ukweli kwasababu vitu vilivyoandikwa kwenye ripoti yao nitofauti na vilivyoandikwa kwenye ripoti ya tume yakina Bomani ambayo huyo Mruma,alikua ni mjumbe,na kama ripoti ya Mruma ni uongo na ripoti ya Ossoro pia ni yauongo kwani imeegemea kulekule kwa Mruma na mbaya zaidi data za mle hazina literature review.
 
WA TZ bhn nchi ya kwenu, Mali za kwenu, Acacia wako kwenu, Wameiba mali yenu, Nashangaa sana mnavyosambaza woga kwa wananchi., Ili iweje..?? Kama mtu kaamua na kasema anaweza mpeni walau support bhas....

Sipati picha km TZ leo hii ikiingia vitani sidhani kama kutakua na wazalendo wa kufia nchi hii....!?? Yaan hatuna umoja hata kidogo..!! Muda mwingine hua naona bora chama kimoja tu kingebaki, Upinzani walifanya vizuri lkn kwa hii sumu walowapa wananchi nawalaumu sana..!!
Umeongea vizuri sana!
Hawa ni wasio na akili na hawajui walifanyalo.
Ni waganga njaa tu hata upinzani hawaujui ndo maana chama cha mapinduzi kitaendelea kuwapindua tuu
Kwanza waoga...askari mwoga hawez vita
Pili si wazalendo..mtu ambaye si mzalendo ukampa uwakala wa kusimamia kura ukimpa simu ya kitochi lazima amtose anayemsimamia
Hii issue hakika itawacost wanaojiita wapinzani waliogeuka acacia wa bongo.
 
Sidhani kama kuna mazungumzo zaidi.Walikwisha ongea na Mh. Rais na wamekubali kutulipa kama nimemulewa Mh.Rais vizuri.....sasa mazungumzo ya nini tena.
ACACIA wakikanusha kulipa kama ulivyoaminishwa,trilion 108 utabaki unazisikia.
 
Back
Top Bottom