Haya sasa hawa ndo ACACIA!

Haya sasa hawa ndo ACACIA!

Naona upokazini kama wengine.
Watanzania tuko wajabu sana....wale wale wanaotuletea taifa hili hasara ndo haohao wanaotushawishi tuwapongeze wanapoanza move nyingine.....hizi move zenu mnazozianza kwa mbwembwe na baadaye wenyewe mnawatangazia wananchi kwanba zimeleta hasara katika nchi tutakuwa mazuzu kuwapongeza.... zingekuwa na matokeo mazuri mgekuwa na haki ya kutulaumu tunapowapinga.
Move kama za Bulyankhuru,
Richmond, IPTL, Gesi, ESCROW, EPA....Sheria na mikataba
yake...hivyo hivyo mlitushawishi sana tuwapongeza..leo mnataka
tuwapongeze kwa kutuonyesha hasara mliosababishia taifa...badala ya kutuomba samahani kama kweli ni wazalendo.
 
WA TZ bhn nchi ya kwenu, Mali za kwenu, Acacia wako kwenu, Wameiba mali yenu, Nashangaa sana mnavyosambaza woga kwa wananchi., Ili iweje..?? Kama mtu kaamua na kasema anaweza mpeni walau support bhas....

Sipati picha km TZ leo hii ikiingia vitani sidhani kama kutakua na wazalendo wa kufia nchi hii....!?? Yaan hatuna umoja hata kidogo..!! Muda mwingine hua naona bora chama kimoja tu kingebaki, Upinzani walifanya vizuri lkn kwa hii sumu walowapa wananchi nawalaumu sana..!!
siasa+sayansi+sheria+UTAIFA
 
Hivi kipindi hicho wapinzani wanatoa hoja za kusaidia kuinusuru nchi na huo wizi mpaka mkawafukuza bungeni ndo ulikuwa uzalendo!? Au huyo Magufuli mnayemuona kama mkombozi wenu yeye hakushiriki kuitikia ndioooooooooo tena kwa mbwembwe zote!?
Heri ya Lowassa yeye alipinga sana. Hoja za kitoto Hizo. Werevu watakuambia kila zama na kitabu chake. Mengine siasa uchwara tu. Piga kazi. Kuwa mzalendo. Acha majungu.
 
WA TZ bhn nchi ya kwenu, Mali za kwenu, Acacia wako kwenu, Wameiba mali yenu, Nashangaa sana mnavyosambaza woga kwa wananchi., Ili iweje..?? Kama mtu kaamua na kasema anaweza mpeni walau support bhas....

Sipati picha km TZ leo hii ikiingia vitani sidhani kama kutakua na wazalendo wa kufia nchi hii....!?? Yaan hatuna umoja hata kidogo..!! Muda mwingine hua naona bora chama kimoja tu kingebaki, Upinzani walifanya vizuri lkn kwa hii sumu walowapa wananchi nawalaumu sana..!!
Kwani nani amewaruhusu watuibie sio serikali hii ya ccm? Mnataka tuwe wazalendo wakati mnakula hela zao mbn hamkuonesha uzalendo tule wote?
 
Watanzania wananiangusha sana jamani. Tulishaambiwa mmiliki wa Acacia ni Mossad lakini hakufua dafu, eti wataalamu waliobobea ushit, na hao tukiwamaliza, mtakuja kutwambia Acacia wamemleta Referee Collina kuja kuzungumza na JPM na mijitu itakuja kuweka post ikiuliza "mara hii tutatoka kweli?" Nasema ivi, tutatoka mara zote kwa hawa majambazi. Anyways hio bodi haiji hapa kutaka kuitetea Acacia, hio bodi ni kama washauri tu.
 
Watanzania wananiangusha sana jamani. Tulishaambiwa mmiliki wa Acacia ni Mossad lakini hakufua dafu, eti wataalamu waliobobea ushit, na hao tukiwamaliza, mtakuja kutwambia Acacia wamemleta Referee Collina kuja kuzungumza na JPM na mijitu itakuja kuweka post ikiuliza "mara hii tutatoka kweli?" Nasema ivi, tutatoka mara zote kwa hawa majambazi. Anyways hio bodi haiji hapa kutaka kuitetea Acacia, hio bodi ni kama washauri tu.
Waliowapa madini hao wazungu ndio wahangaike nao wengine walionya tangu mapema wakapuuzwa sasa endeleeni nao
 
Waliowapa madini hao wazungu ndio wahangaike nao wengine walionya tangu mapema wakapuuzwa sasa endeleeni nao
Walioonya mapema wamekuwa watetezi wa majambazi. Upepo umebadilika hafla naona.... ngoja nimalize kahawa yangu nikiona mkieneza vitisho. Kama wamelivuruga CCm basi ndio hao hao wanaolitengeza, hao wengine walokuwa wapingaji sasa wamekuwa watetezi wa wezi wa taifa.
 
Wapumbavu pekee ndiyo wanaoliombea taifa hili lisifanikiwe.

Hatutokubali na sisi kutiwa katika kapu la wapiga kofi na Wenye kinga ndio walio tufikisha hapa na kulifanya Taifa la Tanzania kuwa maskini na majuha.

Tuangalie maisha ya hao wenye kinga na rasilimali zao zakutisha ? Mimi sito kuwa mmoja wa wabebaji matapishi yao wenyewe, wao wale raha sisi tuendelee kula ziko No mimi sito kuwa katika Lorry hilo la watu wajinga .

Tumechoka kufa kiholela holela kwa matibabu,elimu mbovu, umaskini huku tukibiwa Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi .

Mimi kwangu mwiko kuupigia kofi ujinga wa uchama kwa kujiteketeza mwenyewe kwa umaskini.
 
We jamaa bana! Unataka kila MTU ashikiliwe akili hapa Tz? Dah bado tunasafari ndefu sana
WEWE NDYO HUNA AKL KILA KITU UNAPINGA TUAMBIE UNACHOKIJUA ILI IWE NI BADALA YA HIKI UNACHOITA WEWE NI UWONGO. MAANA KWA UJUAJI WENU HATA DAKTARI AKIKUAMBIA UNA KANSA UTASEMA UNA JIPU NA UTABISHANA NAYE SANA TU
 
Back
Top Bottom